Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora BBC Afrika 2015
Wacheji watano ambao wanagombea tuzo ya BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla maalum iliyoandaliwa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Mshindi wa tuzo hiyo mwaka 2014 Yacine Brahimi, yupo kwenye orodha hiyo pamoja na Pierre-Emerick Aubameyang, André Ayew, kutoka Ghana, Sadio Mané na Yaya wote wa Ivory Coast.
Mshindi ataamuliwa na mashabiki wa soka Afrika ambao watapewa fursa kupiga kura hadi tarehe 30, Novemba.
Unaweza kupiga kura mtandaoni kwa kubofya hapa au kwa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora Afrika 2015
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Watano kuwania mwanasoka bora Afrika
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI
NYOTA watano wa soka ambao wanawania tuzo ya BBC mwaka 2015, wamewekwa hadharani juzi katika hafla maalumu iliyoandaliwa Johannesburg nchini Afrika Kusini.
Nyota hao ni pamoja na mshindi wa tuzo hiyo mwaka 2014, Yacine Brahimi kutoka nchini Algeria, Pierre-Emerick Aubameyang kutoka nchini Gabon, Andre Ayew, kutoka Ghana, Sadio Mane na Yaya Toure wa Ivory Coast.
Mshindi ataamuliwa na mashabiki wa soka Afrika ambao watapewa fursa ya kupiga kura hadi ifikapo tarehe...
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Toure ashinda tuzo ya BBC ya mwanasoka bora Afrika
10 years ago
Bongo512 Oct
Mbwana Samatta ateuliwa kuwania tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika, ni wachezaji wanaocheza soka la ndani
10 years ago
Bongo503 Nov
Samatta aingia kwenye Top 10 ya wanaowania tuzo ya mwanasoka bora Afrika (Based in Africa) 2015

Mchezaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, ameingia kwenye orodha ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika.
Samatta ambaye pia anaichezea klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, anawania tuzo ya mchezaji bora Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (African Player of the Year (Based in Africa) 2015.
Mshindi wa tuzo hiyo ataamuliwa kwa kura zitakazopigwa na makocha pamoja na wakurugenzi wa ufundi wa nchi wanachama wa shikirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF).
Tuzo hiyo...
10 years ago
Habarileo04 Nov
Samatta awania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta ni miongoni mwa wachezaji 10 wanaowania tuzo ya Mchezaji Bora wa mwaka kwa wachezaji wanaocheza soka Afrika.
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
SPORT NEWS: Haya ndiyo majina matano ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika ya BBC 2015
Na Rabi Hume
Shirika la Utangazaji la Wingereza limetangaza majina matano (5) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2015.
Katika orodha hiyo pia yupo mchezaji aliyetwa tuzo hiyo msimu uliopita, Yacine Brahimi anayekipiga katika katika klabu ya Porto inayoshiriki ligi kuu ya Ureno na timu ya Taifa ya Algeria.
Majina kamili ya wachezaji hao;
1. Pierre – Emerick Aubameyang (Gabon, Borussia Dortmund)
2. Andre Ayew (Ghana, Swansea)
3. Sadio Mane (Senegal,...
10 years ago
Bongo527 Apr
Tuzo ya Mwanasoka bora wa England 2015 imeenda kwa wachezaji hawa
10 years ago
GPL
DIAMOND NDANI YA LAGOS, AKAGUA JUKWAA ATAKALOPAFOMU KESHO KWENYE TUZO ZA MWANASOKA BORA AFRIKA