Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samatta aingia kwenye Top 10 ya wanaowania tuzo ya mwanasoka bora Afrika (Based in Africa) 2015

sam

Mchezaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, ameingia kwenye orodha ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika.

sam

Samatta ambaye pia anaichezea klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, anawania tuzo ya mchezaji bora Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (African Player of the Year (Based in Africa) 2015.

Mshindi wa tuzo hiyo ataamuliwa kwa kura zitakazopigwa na makocha pamoja na wakurugenzi wa ufundi wa nchi wanachama wa shikirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF).

Tuzo hiyo...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Samatta awania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika

MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta ni miongoni mwa wachezaji 10 wanaowania tuzo ya Mchezaji Bora wa mwaka kwa wachezaji wanaocheza soka Afrika.

 

10 years ago

Bongo5

Mbwana Samatta ateuliwa kuwania tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika, ni wachezaji wanaocheza soka la ndani

Mshambuliaji wa Taifa Stars na klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, Mbwana Samatta ameteuliwa kuwania tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika inayowahusu wachezaji wanaochezea vilabu vya ndani ya Afrika. Orodha hiyo imetolewa jana Jumapili na shirikisho la soka barani Afrika, CAF. Samatta aliiwezesha TP Mazembe hivi karibuni kuingia kwenye fainali ya michuano ya mabingwa […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora Afrika 2015

Wagombea watano wa tuzo la BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla maalum iliyoandaliwa Johannesburg.

 

9 years ago

Bongo5

Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora BBC Afrika 2015

151113145647_afoty_2015_512x288_bbc

Wacheji watano ambao wanagombea tuzo ya BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla maalum iliyoandaliwa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.

151113145647_afoty_2015_512x288_bbc

Mshindi wa tuzo hiyo mwaka 2014 Yacine Brahimi, yupo kwenye orodha hiyo pamoja na Pierre-Emerick Aubameyang, André Ayew, kutoka Ghana, Sadio Mané na Yaya wote wa Ivory Coast.

Mshindi ataamuliwa na mashabiki wa soka Afrika ambao watapewa fursa kupiga kura hadi tarehe 30, Novemba.

Unaweza kupiga kura mtandaoni kwa kubofya hapa au kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

CAF yatangaza majina ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji Bora Afrika 2015

Andre-Dede-Ayew

Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo za Caf mwaka huu, Andrew Ayew.

Shirikisho la Soka barani Africa limeyataja majina 10 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika kwa mwaka wa 2015. Katika majina hayo pia ameorodheshwa mchezaji bora kwa mwaka 2014, Mchezaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast na klabu ya Mnachester City.

Kwa upande wa taifa nchi ya Algeria na Ivory Coast yamefanikiwa kuingiza wachezaji wawili kila moja kwa upande wa Algeria wachezaji ambao wameingia katika...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND NDANI YA LAGOS, AKAGUA JUKWAA ATAKALOPAFOMU KESHO KWENYE TUZO ZA MWANASOKA BORA AFRIKA

Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akilikagua jukwaa atakapopiga shoo hapo kesho kwenye zoezi la utoaji tuzo za Mchezaji Bora wa Afrika katika Jiji la Lagos nchini Nigeria. (Picha na Facebook)

 

10 years ago

Dewji Blog

SPORT NEWS: CAF yatangaza majina ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji Bora Afrika 2015

Andre-Dede-AyewMmoja wa wachezaji wanaowania tuzo za Caf mwaka huu, Andrew Ayew..

Shirikisho la Soka barani Africa limeyataja majina 10 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika kwa mwaka wa 2015. Katika majina hayo pia ameorodheshwa mchezaji bora kwa mwaka 2014, Mchezaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast na klabu ya Mnachester City.

Kwa upande wa taifa nchi ya Algeria na Ivory Coast yamefanikiwa kuingiza wachezaji wawili kila moja kwa upande wa Algeria wachezaji ambao wameingia katika...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND NDANI YA LAGOS NCHINI NIGERIA, AKAGUA JUKWAA ATAKALOPAFOMU KESHO KWENYE TUZO ZA MWANASOKA BORA AFRIKA

Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akilikagua jukwaa atakapopiga shoo hapo kesho kwenye zoezi la utoaji tuzo za Mchezaji Bora wa Afrika katika Jiji la Lagos nchini Nigeria.

 

9 years ago

Dewji Blog

SPORT NEWS: Haya ndiyo majina matano ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika ya BBC 2015

Wachezaji wanaoeania tuzo hiyo

Na Rabi Hume

Shirika la Utangazaji la Wingereza limetangaza majina matano (5) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2015.

Katika orodha hiyo pia yupo mchezaji aliyetwa tuzo hiyo msimu uliopita, Yacine Brahimi anayekipiga katika katika klabu ya Porto inayoshiriki ligi kuu ya Ureno na timu ya Taifa ya Algeria.

Majina kamili ya wachezaji hao;

1. Pierre – Emerick Aubameyang   (Gabon, Borussia Dortmund)

2. Andre Ayew   (Ghana, Swansea)

3. Sadio Mane    (Senegal,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani