DIAMOND NDANI YA LAGOS, AKAGUA JUKWAA ATAKALOPAFOMU KESHO KWENYE TUZO ZA MWANASOKA BORA AFRIKA
![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdgRKtgNGUal5F5WF4SdbLY*BeOLx3u*qe3AutEKH3QpA6hQYIMYhhnwcPYrFnFVtFzW7PpxvbYUs8NH4*mxAed3/platnumz.jpg?width=650)
Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akilikagua jukwaa atakapopiga shoo hapo kesho kwenye zoezi la utoaji tuzo za Mchezaji Bora wa Afrika katika Jiji la Lagos nchini Nigeria. (Picha na Facebook)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Jan
DIAMOND NDANI YA LAGOS NCHINI NIGERIA, AKAGUA JUKWAA ATAKALOPAFOMU KESHO KWENYE TUZO ZA MWANASOKA BORA AFRIKA
![](http://api.ning.com/files/9nG191KtIdgRKtgNGUal5F5WF4SdbLY*BeOLx3u*qe3AutEKH3QpA6hQYIMYhhnwcPYrFnFVtFzW7PpxvbYUs8NH4*mxAed3/platnumz.jpg?width=650)
9 years ago
Bongo512 Oct
Mbwana Samatta ateuliwa kuwania tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika, ni wachezaji wanaocheza soka la ndani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pCnj1SuHrlrG9ZySt2hJla*hucoCtmdQx6mmAvbMdXYBCu*58iePdNYsBmrgflOizksOkfFxCV6hEr7uiaHJSklMVeH4Vc2M/diamond1.jpg?width=650)
DIAMOND PLATNUMZ KUFANYA MAKAMUZI KATIKA UTOAJI TUZO ZA MWANASOKA BORA WA AFRIKA NCHINI NIGERIA LEO
9 years ago
Bongo503 Nov
Samatta aingia kwenye Top 10 ya wanaowania tuzo ya mwanasoka bora Afrika (Based in Africa) 2015
![sam](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/sam-300x194.jpg)
Mchezaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, ameingia kwenye orodha ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika.
Samatta ambaye pia anaichezea klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, anawania tuzo ya mchezaji bora Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (African Player of the Year (Based in Africa) 2015.
Mshindi wa tuzo hiyo ataamuliwa kwa kura zitakazopigwa na makocha pamoja na wakurugenzi wa ufundi wa nchi wanachama wa shikirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF).
Tuzo hiyo...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Dk. Shein kukabidhi Tuzo kwa Wanamichezo Bora Tanzania ndani ukumbi wa Diamond Jubilee hapo kesho
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein.
MAANDALIZI kwa ajili ya Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania, zinazotolewa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) yamekamilika.
Tuzo hizo zitatolewa kesho Ijumaa kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam, kuanzia saa 12 jioni, ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein.
Wanamichezo mbalimbali wanatarajiwa kupewa tuzo hizo kutokana...
9 years ago
Habarileo04 Nov
Samatta awania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta ni miongoni mwa wachezaji 10 wanaowania tuzo ya Mchezaji Bora wa mwaka kwa wachezaji wanaocheza soka Afrika.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qMwTuxyzgLs/VKgz2SxJ5jI/AAAAAAAA8YA/pTs6lazGYyA/s72-c/DiamondPlatinum.jpg)
DIAMOND ATEULIWA KUTUMBUIZA TUZO ZA MWANASOKA BORA CAF
![](http://3.bp.blogspot.com/-qMwTuxyzgLs/VKgz2SxJ5jI/AAAAAAAA8YA/pTs6lazGYyA/s1600/DiamondPlatinum.jpg)
Wanaowania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika:
1. Ahmed...
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Toure ashinda tuzo ya BBC ya mwanasoka bora Afrika
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora Afrika 2015