Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Messi aikata kauli ya Manuel Neuer

MessiBARCELONA, HISPANIA
SIKU moja kaba ya mchezo wa juzi wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya Barcelona dhidi ya Bayern Munich, mlinda mlango wa Bayern, Manuel Neuer, alisema kuwa katika mchezo huo atahakikisha Messi hapati bao.
Neuer alisema, atamuonesha kuwa yeye ni nani katika soka na jinsi anavyoweza kulinda lango kama ilivyokuwa katika mchezo wa fainali Kombe la Dunia mwaka jana.
“Nitamuonesha mimi na yeye nani zaidi, nitahakikisha hapati bao kama ilivyo katika fainali za kombe...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Ronaldo hopes to hold off Messi, Neuer to retain Ballon d’Or

>Cristiano Ronaldo is the favourite to win the Ballon d’Or for the second year in succession at Monday’s gala ceremony in Zurich ahead of Manuel Neuer and Lionel Messi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo Fifa:Ronaldo,Messi,Neuer nani bora?

Fifa imewataja Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Manuel Neuer kuwania Tuzo ya mchezaji bora wa Dunia.

 

10 years ago

Bongo5

Nani kuibuka mwanasoka bora? Ni Ronaldo, Messi au Neuer?

Fifa imetoa orodha ya mwisho ya wachezaji watatu wanaowania tuzo ya mwanasoka bora duniani maarufu kwa jina la FIFA Ballon d’Or 2014. Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Manuel Neuer ndio wachezaji walioteuliwa kuwania tuzo ya FIFA Ballon d’Or 2014. Watatu hao ndiyo wameingia fainali na mshindi atapatikana Januari 12, 2015. Wachezaji hao ni Cristiano Ronaldo […]

 

9 years ago

MillardAyo

Kauli ya Sergio Aguero kama unafikiria kuwa Lionel Messi atajiunga na Man City …

Staa wa kimataifa wa Argentina anayekipiga katika klabu ya Manchester City, Sergio Kun Aguero amekiri kuwa angependa kumuona mshambuliaji wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi akijiunga na Manchester City japokuwa anaamini sio rahisi kufanya uamuzi huo. Ni zaidi ya mara mbili Lionel Messi anahusishwa kuhitajika na Man City, hata siku za […]

The post Kauli ya Sergio Aguero kama unafikiria kuwa Lionel Messi atajiunga na Man City … appeared first on...

 

10 years ago

BBCSwahili

Manuel ''Chelsea ni timu ndogo''

Kocha wa Man City Manuel Pellegrini ameikashifu Chelsea kwa kucheza kama'' timu ndogo'' timu hizo zilipotoka sare

 

11 years ago

TheCitizen

Neuer and Schurrle vital for Germany

Pride and relief were etched on to the faces of two of Germany’s match-winners at the Estadio Beira-Rio on Monday evening in the wake of their dramatic Round of 16 triumph over a strong Algeria side.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 28.03.2020: Neuer, Stones, Bonucci, Sancho, Godin

Mshambuliaji wa Borussia Dortmund na England Jadon Sancho, 20, anafaa kuchukua fursa na kujiunga na Manchester United, kulingana na mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo Dimitar Berbatov. (Sun)

 

5 years ago

The Sun

8am Chelsea news LIVE: Coutinho transfer target, Neuer UPDATE, and Premier League won’t restart in May

8am Chelsea news LIVE: Coutinho transfer target, Neuer UPDATE, and Premier League won’t restart in May  The SunThe Chelsea Season So Far | September 19/20  Chelsea Football ClubThe Chelsea loan star who could give Frank Lampard a big dilemma this summer  Football.London11pm Chelsea news LIVE: Blues target Coutinho, Neuer transfer UPDATE, Premier League won’t restart in May  The SunChelsea what ifs: David Luiz stays to fight for his place  The Pride of LondonView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani