Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Neuer and Schurrle vital for Germany

Pride and relief were etched on to the faces of two of Germany’s match-winners at the Estadio Beira-Rio on Monday evening in the wake of their dramatic Round of 16 triumph over a strong Algeria side.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

1st African Tourism Exhibition in Germany „Soul & Spirit of AFRICA“ 17th - 20th July (4days) Tübingen, Germany



Ladies and Gentlemen,Exhibitors,
It's an honour for me to inform you about the 1st African Tourism tradefair in Germany "Soul and Spirit of Africa " with focused on AFRICA ONLY! This tradefair is  initiated and organized by AfrikAktiv org. in cooperation with chamber of commerce and Industry , International African Festival Tübingen and supported by  African Ambassadors in Germany, Lord major and city of Tübingen / Reutlingen 1st African Tourism Exhibition tradefair  "Soul and Spirit of...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea kumuuza mchezaji Schurrle

Chelsea imekubali kumuuza mshambuliaji wake Andre Schurrle ili kupata ufadhili wa kumsajili Juan Cuadrado.

 

10 years ago

BBCSwahili

De Gea, Reid, Schurrle,Fletcher wawindwa

Kuna mvutano miongoni mwa Vilabu mbalimbali kuwawania Wachezaji Nyota

 

10 years ago

BBCSwahili

Andre Schurrle aeleza hisia zake

Mchezaji wa zamani wa Chelsea Andre Schurrle amesema alipata mshangao kuona ujumbe wa maandishi kuwa medali inamsubiri yeye

 

10 years ago

Mtanzania

Messi aikata kauli ya Manuel Neuer

MessiBARCELONA, HISPANIA
SIKU moja kaba ya mchezo wa juzi wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya Barcelona dhidi ya Bayern Munich, mlinda mlango wa Bayern, Manuel Neuer, alisema kuwa katika mchezo huo atahakikisha Messi hapati bao.
Neuer alisema, atamuonesha kuwa yeye ni nani katika soka na jinsi anavyoweza kulinda lango kama ilivyokuwa katika mchezo wa fainali Kombe la Dunia mwaka jana.
“Nitamuonesha mimi na yeye nani zaidi, nitahakikisha hapati bao kama ilivyo katika fainali za kombe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo Fifa:Ronaldo,Messi,Neuer nani bora?

Fifa imewataja Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Manuel Neuer kuwania Tuzo ya mchezaji bora wa Dunia.

 

10 years ago

TheCitizen

Ronaldo hopes to hold off Messi, Neuer to retain Ballon d’Or

>Cristiano Ronaldo is the favourite to win the Ballon d’Or for the second year in succession at Monday’s gala ceremony in Zurich ahead of Manuel Neuer and Lionel Messi.

 

10 years ago

Bongo5

Nani kuibuka mwanasoka bora? Ni Ronaldo, Messi au Neuer?

Fifa imetoa orodha ya mwisho ya wachezaji watatu wanaowania tuzo ya mwanasoka bora duniani maarufu kwa jina la FIFA Ballon d’Or 2014. Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Manuel Neuer ndio wachezaji walioteuliwa kuwania tuzo ya FIFA Ballon d’Or 2014. Watatu hao ndiyo wameingia fainali na mshindi atapatikana Januari 12, 2015. Wachezaji hao ni Cristiano Ronaldo […]

 

10 years ago

Vijimambo

Juan Quadrado atua Chelsea, Fletcher wa Man U atimkia West Brom, Andre Schurrle ameuzwa Wolfsburg

imageimageChelsea wamemsajili winga Juan Cuadrado kutoka Fiorentina, katika biashara kubwa zaidi iliyofanyika siku ya mwisho ya usajili wa dirisha dogo.

Jose Mourinho alikuwa akidai kwamba hawangesajili mchezaji yeyote wakati huu, lakini wametoa pauni milioni 23.3 kumnasa mchezaji huyo, na kufanya jumla ya fedha zilizotumiwa na klabu za ligi kuu kwenye usajili huu kufikia pauni milioni 130.

Matumizi hayo ni sawa na ya kipindi kama hiki msimu uliopita, lakini ni madogo zaidi ya Januari 2011 yaliyokuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani