Tuzo Fifa:Ronaldo,Messi,Neuer nani bora?
Fifa imewataja Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Manuel Neuer kuwania Tuzo ya mchezaji bora wa Dunia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo502 Dec
Nani kuibuka mwanasoka bora? Ni Ronaldo, Messi au Neuer?
9 years ago
Bongo528 Aug
Messi awashinda Ronaldo na Suarez tuzo ya mwanasoka bora Ulaya
10 years ago
TheCitizen12 Jan
Ronaldo hopes to hold off Messi, Neuer to retain Ballon d’Or
11 years ago
Bongo512 Jul
FIFA yataja wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kombe la dunia 2014 ‘World Cup Golden Ball Award’, Neymar na Messi waingia
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Lionel Messi amgaragaza Ronaldo tuzo za Globe
EMIRATES, DUBAI
NYOTA wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi, amemgaragaza mpinzani wake, Cristiano Ronaldo wa Real Madrid katika tuzo za Globe Soccer, ambapo Messi amefanikiwa kuchukua mchezaji bora wa mwaka.
Tuzo hizo ambazo zimetolewa juzi mjini Dubai, Messi aliibuka kinara wa tuzo hizo huku Ronaldo akishika nafasi ya pili.
Wakati huo huo, klabu ya Barcelona ilifanikiwa kuchukua klabu bora ya mwaka kutokana na kukusanya mataji mengi msimu uliopita, huku Josep Bartomeu akichukua rais bora wa...
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Cristiano Ronaldo na Lionel Messi: Ni nani atakayewarithi nyota wa mchezo wa kandanda duniani muongo huu?
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Messi aanza kumfunika Ronaldo kimahesabu, achukua tuzo 2
Michel Platini akimkabidhi tuzo Lionel Messi, huku Cristiano Ronaldo akishuhudia tukio hilo.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ile kauli ya dalili ya mvua ni mawingu ndiyo inayoonekana na kwa staa wa Barcelona, Lionel Messi (pichani kushoto), ikiwa ni siku moja tangu Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kutaja majina matatu ya wachezaji watakaowania tuzo hiyo, nyota ya Messi imeanza kung’aa baada ya kutwaa tuzo mbili (2) katika utoaji wa tuzo za Ligi ya Hispania La Liga.
Katika sherehe hizo...
9 years ago
Bongo501 Dec
Lionel Messi amgalagaza Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za La Liga
![Ronaldo-Messi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ronaldo-Messi-300x194.jpg)
Lionel Messi ametajwa kama mchezaji bora na kumpiku Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za kila mwaka za La Liga zilizotolewa jijini Barcelona, Jumatatu hii.
Tuzo hizo zilizotolewa siku moja ambayo wawili hao pia walitajwa kwenye majina yaliyochujwa kwenye tuzo ya Ballon d’Or ilikuwa moja kati ya mbili zilizochukuliwa na staa huyo wa Argentina.
Naye kocha wa Barcelona, Luis Enrique alitajwa kama kocha wa mwaka.
Messi pia alishinda mshambuliaji bora huku Neymar akishinda mchezaji bora wa...
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Ronaldo atwaa tuzo ya FIFA Duniani 2015