Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cristiano Ronaldo na Lionel Messi: Ni nani atakayewarithi nyota wa mchezo wa kandanda duniani muongo huu?

Huku tukielekea katika muongo mpya, BBC Sport anauliza ni nani atakayechukua mahal pao Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kama viongozi wa soka duniani?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Lionel Messi amgalagaza Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za La Liga

Ronaldo-Messi

Lionel Messi ametajwa kama mchezaji bora na kumpiku Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za kila mwaka za La Liga zilizotolewa jijini Barcelona, Jumatatu hii.

Ronaldo-Messi

Tuzo hizo zilizotolewa siku moja ambayo wawili hao pia walitajwa kwenye majina yaliyochujwa kwenye tuzo ya Ballon d’Or ilikuwa moja kati ya mbili zilizochukuliwa na staa huyo wa Argentina.

Naye kocha wa Barcelona, Luis Enrique alitajwa kama kocha wa mwaka.

Messi pia alishinda mshambuliaji bora huku Neymar akishinda mchezaji bora wa...

 

5 years ago

Barca Blaugranes

FC Barcelona News: 8 March 2020; Lionel Messi tops Cristiano Ronaldo

FC Barcelona News: 8 March 2020; Lionel Messi tops Cristiano Ronaldo  Barca BlaugranesBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him  Goal.comLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad  GIVEMESPORTJordi Alba tells Barcelona fans to respect him after Real Sociedad win  Barca BlaugranesLionel Messi Is Now The All-Time Top Scorer In Top Five European Leagues  SPORTbibleView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Mirror Online

Jamie Carragher blasts 'stupid' Lionel Messi claim in Cristiano Ronaldo debate

Jamie Carragher blasts 'stupid' Lionel Messi claim in Cristiano Ronaldo debate  Mirror OnlineMessi, Ronaldo and world’s best paid footballers set for wage cuts  Financial Times‘Stupid to suggest Messi needs move from Barcelona’ – Carragher doesn’t rank Ronaldo higher for having changed clubs  GoalJadon Sancho turns 20 with better stats as a teenager than Lionel Messi and Cristiano Ronaldo  Daily MailLiverpool target Jadon Sancho’s stats are ahead of Ronaldo and Messi at same age  Rousing the...

 

5 years ago

Mirror Online

Lionel Messi overtakes Cristiano Ronaldo to set new record with goal vs Real Sociedad

Lionel Messi overtakes Cristiano Ronaldo to set new record with goal vs Real Sociedad  Mirror OnlineBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him  Goal.comLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad  GIVEMESPORTReal Madrid will be without two stars at Real Betis  The Real Champs'When the club is weak, these things come up' - Pique defends Sarabia after Barca win  Goal.comView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Mirror Online

Erling Haaland's latest record sees striker usurp Lionel Messi and Cristiano Ronaldo

Erling Haaland's latest record sees striker usurp Lionel Messi and Cristiano Ronaldo  Mirror OnlineWhat if Erling Haaland had joined Arsenal, Chelsea or Tottenham in the January transfer window  Football.LondonUEFA Champions League Highlights: PSG, Borussia Dortmund, Liverpool and Atletico Madrid matches from Round of 16 first leg  Goal.comFrankenstein Footballer Erling Haaland Is a Forward Composited of the Best Strikers' Qualities  90minReal Madrid: 5 players who must step up in the...

 

9 years ago

Mtanzania

Lionel Messi amgaragaza Ronaldo tuzo za Globe

MessiEMIRATES, DUBAI

NYOTA wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi, amemgaragaza mpinzani wake, Cristiano Ronaldo wa Real Madrid katika tuzo za Globe Soccer, ambapo Messi amefanikiwa kuchukua mchezaji bora wa mwaka.

Tuzo hizo ambazo zimetolewa juzi mjini Dubai, Messi aliibuka kinara wa tuzo hizo huku Ronaldo akishika nafasi ya pili.

Wakati huo huo, klabu ya Barcelona ilifanikiwa kuchukua klabu bora ya mwaka kutokana na kukusanya mataji mengi msimu uliopita, huku Josep Bartomeu akichukua rais bora wa...

 

9 years ago

StarTV

BARCELONA YA LIONEL MESSI YAPOTEZA KOMBE LA KWANZA MSIMU HUU….

2B72BF8600000578-3201312-image-a-9_1439846291599 Baada ya miaka 31 kupita, Athletic Bilbao wametwaa kombe la kwanza baada ya kuinyuka Barcelona kwa ushindi wa jumla wa magoli 5-1 katika mechi mbili za fainali ya Spanish Super Cup. Jana usiku, Barcelona wamelazimishwa sare ya 1-1 katika mchezo wa marudiano wa kombe hilo uliopigwa dimba la Camp Nou, wakati katika mechi ya kwanza walikula kichapo cha 4-0Lionel Messi aliwafungia Barca goli la kuongoza dakika ya 43′ na kufufua matumaini ya kupindua matokeo ya awali, lakini yule yule...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Lionel Messi aonesha control hatari ya mpira kwenye kipindi cha mchezo cha Japan

Lionel Messi anajulikana kwa uwezo wa kuchezea mpira na control za hatari. Kipindi cha michezo cha Japan kilitaka kujaribu zaidi uwezo wake kwa kumtaka aupige mpira kwenye nguzo yenye urefu wa futi 60 na kisha kuupokea upande wa pili. Akionesha kufanya hivyo kwa rahisi kabisa, Messi aliupiga mpira huo mara mbili na kuucontrol bila wasiwasi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo Fifa:Ronaldo,Messi,Neuer nani bora?

Fifa imewataja Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Manuel Neuer kuwania Tuzo ya mchezaji bora wa Dunia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani