FC Barcelona News: 8 March 2020; Lionel Messi tops Cristiano Ronaldo
FC Barcelona News: 8 March 2020; Lionel Messi tops Cristiano Ronaldo Barca BlaugranesBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him Goal.comLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad GIVEMESPORTJordi Alba tells Barcelona fans to respect him after Real Sociedad win Barca BlaugranesLionel Messi Is Now The All-Time Top Scorer In Top Five European Leagues SPORTbibleView Full coverage on Google...
Barca Blaugranes
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Dec
Lionel Messi amgalagaza Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za La Liga
![Ronaldo-Messi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ronaldo-Messi-300x194.jpg)
Lionel Messi ametajwa kama mchezaji bora na kumpiku Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za kila mwaka za La Liga zilizotolewa jijini Barcelona, Jumatatu hii.
Tuzo hizo zilizotolewa siku moja ambayo wawili hao pia walitajwa kwenye majina yaliyochujwa kwenye tuzo ya Ballon d’Or ilikuwa moja kati ya mbili zilizochukuliwa na staa huyo wa Argentina.
Naye kocha wa Barcelona, Luis Enrique alitajwa kama kocha wa mwaka.
Messi pia alishinda mshambuliaji bora huku Neymar akishinda mchezaji bora wa...
5 years ago
Mirror Online08 Mar
Lionel Messi overtakes Cristiano Ronaldo to set new record with goal vs Real Sociedad
5 years ago
Mirror Online28 Mar
Jamie Carragher blasts 'stupid' Lionel Messi claim in Cristiano Ronaldo debate
5 years ago
Mirror Online20 Feb
Erling Haaland's latest record sees striker usurp Lionel Messi and Cristiano Ronaldo
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Cristiano Ronaldo na Lionel Messi: Ni nani atakayewarithi nyota wa mchezo wa kandanda duniani muongo huu?
5 years ago
Mirror Online10 Apr
Lionel Messi slams claims of Barcelona transfer exit and Ronaldinho bail as 'fake news'
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Lionel Messi amgaragaza Ronaldo tuzo za Globe
EMIRATES, DUBAI
NYOTA wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi, amemgaragaza mpinzani wake, Cristiano Ronaldo wa Real Madrid katika tuzo za Globe Soccer, ambapo Messi amefanikiwa kuchukua mchezaji bora wa mwaka.
Tuzo hizo ambazo zimetolewa juzi mjini Dubai, Messi aliibuka kinara wa tuzo hizo huku Ronaldo akishika nafasi ya pili.
Wakati huo huo, klabu ya Barcelona ilifanikiwa kuchukua klabu bora ya mwaka kutokana na kukusanya mataji mengi msimu uliopita, huku Josep Bartomeu akichukua rais bora wa...
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Pique: Barcelona bila Lionel Messi hakuna kitu
BARCELONA, HISPANIA
BEKI wa Barcelona, Gerard Pique, amesema klabu hiyo bila ya mshambuliaji wake, Lionel Messi, haiwezi kufika kokote.
Barcelona juzi ilikubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Sevilla katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania, ambapo kwa sasa klabu hiyo inashika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi na wapinzani wao Real Madrid ikishika nafasi ya nne.
Messi kwa sasa ni majeruhi ambapo atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili hivyo kwa sasa klabu hiyo imeanza kuyumba kutokana na...
9 years ago
StarTV18 Aug
BARCELONA YA LIONEL MESSI YAPOTEZA KOMBE LA KWANZA MSIMU HUU….
![2B72BF8600000578-3201312-image-a-9_1439846291599](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/2B72BF8600000578-3201312-image-a-9_1439846291599.jpg)