Andre Schurrle aeleza hisia zake
Mchezaji wa zamani wa Chelsea Andre Schurrle amesema alipata mshangao kuona ujumbe wa maandishi kuwa medali inamsubiri yeye
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Feb
Juan Quadrado atua Chelsea, Fletcher wa Man U atimkia West Brom, Andre Schurrle ameuzwa Wolfsburg
![image](http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2015/02/image1-634x400.jpg)
![image](http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2015/02/image2.jpg)
Jose Mourinho alikuwa akidai kwamba hawangesajili mchezaji yeyote wakati huu, lakini wametoa pauni milioni 23.3 kumnasa mchezaji huyo, na kufanya jumla ya fedha zilizotumiwa na klabu za ligi kuu kwenye usajili huu kufikia pauni milioni 130.
Matumizi hayo ni sawa na ya kipindi kama hiki msimu uliopita, lakini ni madogo zaidi ya Januari 2011 yaliyokuwa...
10 years ago
Bongo Movies12 Jun
Linah Azianika Hisia Zake kwa Wema
Msanii wa muziki Linah Sanga, ambaye anapambanishwa kwa sasa na staa wa filamu Wema Sepetu kutokana na kitendo cha mwigizaji huyo kuanzisha mahusiano na mwanaume aliyekuwa ni mpenzi wa Linah kipindi cha nyuma, ameamua kutoa ya moyoni.
Linah ameieleza eNewz kuwa, licha ya yote yaliyotokea kati yao, kwa upande wake anamchukulia Wema kama mtu mwingine wa kawaida, akieleza kuwa hana kinyongo naye, akieleza dhahiri kuwa anaelewa kuwa staa huyo ana madhaifu yake kama ilivyo kwa binadamu mwingine...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsukbo4pASH22mxbhSUzJTux3J-Of6JFmBLM-3lNHNCIfwkHONMDMGq5A664jHUQ8H*z0WuX-XqsBOK7P0lwptB7u/mahaba.jpg)
ACHA KUMUUMIZA MOYO WAKE, THAMINI HISIA ZAKE!-2
10 years ago
Mtanzania11 Aug
Honeymoon aeleza siri ya tuzo zake za ZIFF
JULIET MORI NA LETICIA BWIRE (TUDARCO)
MSHINDI wa tuzo mbili za kimataifa za filamu alizozipata katika Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF), Honeymoon Mohammed, amesema filamu bora inatokana na uandishi wa muswada (script), mandhari nzuri pamoja na uwezo wa msanii husika.
Tuzo hizo alizopata kutokana na filamu yake ya ‘Daddy’s Wedding’ ni filamu yenye picha bora na mwongozaji bora wa filamu.
Akizungumza katika mkutano ulioandaliwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) jana,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k7T1dgUl1FaUrYffK49q*Ko93PJcj73QljORVTBKUidMRORyJqbXjd6QSgjHRUGemSIR-ptKSqZSaMjbnwsqO-O/davidop1602x903.jpg?width=650)
DAVIDO AELEZA ANAVYOCHANGANYA NYIMBO ZAKE AKIWA NJE
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/PAM-D-1.jpg)
PAM D AELEZA NYIMBO ZAKE MBILI ZILIVYOBADILISHA MAISHA YAKE
9 years ago
Bongo512 Oct
Diamond aeleza kwanini ‘alidedicate’ tuzo zake za Afrimma kwa Tiffah
10 years ago
Bongo530 Sep
Barnaba aeleza kwanini hutumia muda mfupi kuandika nyimbo zake
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/sXUZNx4-URk/default.jpg)