DAVIDO AELEZA ANAVYOCHANGANYA NYIMBO ZAKE AKIWA NJE
![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k7T1dgUl1FaUrYffK49q*Ko93PJcj73QljORVTBKUidMRORyJqbXjd6QSgjHRUGemSIR-ptKSqZSaMjbnwsqO-O/davidop1602x903.jpg?width=650)
Mwanamuziki nyota wa Nigeria, Davido. MWANAMUZIKI nyota wa Nigeria, Davido, amesema ukosefu wa mafuta nchini humo uliotokea miezi ya Mei na Juni mwaka huu ambao ulisababisha matatizo makubwa, ulimfanya alazimike kuahirisha kutoa albamu yake mpya hivi karibuni. Akizungumza na televisheni ya Notjustok, Davido alisema pia kwamba huwa anachanganya lugha za nyimbo zake akiwa nje ya Nigeria, hususan Marekani, ambako hutegemea...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/PAM-D-1.jpg)
PAM D AELEZA NYIMBO ZAKE MBILI ZILIVYOBADILISHA MAISHA YAKE
10 years ago
Bongo530 Sep
Barnaba aeleza kwanini hutumia muda mfupi kuandika nyimbo zake
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Pe4JuzwJAow/VRpRPH6XqtI/AAAAAAAArBo/IQHO8nOCTOU/s72-c/larry.jpg)
TAZAMA VIDEO YA DAVIDO AKIMPONDA DIAMOND KUWA NYIMBO ZAKE HAZIPIGWI WIKI HII ALIPOKUWA KENYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pe4JuzwJAow/VRpRPH6XqtI/AAAAAAAArBo/IQHO8nOCTOU/s1600/larry.jpg)
When asked by Larry whether East African music receives airplay in Nigeria, Davido gave a brutally honest NO. He even admitted that this collabo with Diamond ‘Number One’ is not played in Nigeria. As true as it may be, that came out badly from a guy who was about to perform in Kenya.
9 years ago
Bongo510 Oct
Kala Jeremiah adai nyimbo zake haziitaji kusafiri nje kufanya video
9 years ago
Bongo517 Dec
Davido aikana ‘mimba’ ya Masogange, aeleza kwa urefu
![12356375_1643542822563037_1171860322_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12356375_1643542822563037_1171860322_n-300x194.jpg)
Davido amelazimika kuandika maelezo marefu kwenye Twitter kukanusha kuwa ndiye aliyempa ujauzito Agnes Masogange (japo hatujathibitisha iwapo ni kweli mrembo huyo huyo ana mimba).
Staa huyo wa Nigeria amedai kuwa boyfriend wa Masogange amekuwa akimpigia simu kwa fujo kulalamikia tetesi hizo kuwa huenda akawa analea mimba isiyo yake.
“Sijali kuhusu kile blog zinaandika, ukweli au uongo lakini pindi mtu anaponipigia simu kila muda kutoka nchi nyingine akilia kuhusu mchumba wake kuona habari...
9 years ago
Bongo509 Oct
Black Rhino aeleza faida za msanii kurekodi nyimbo nyingi na kuziweka maktaba
9 years ago
Bongo510 Nov
Nahreel aeleza maana ya ‘Above In A Minute’ ambayo husikika kwenye nyimbo za Navy Kenzo
![Nahreel](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/04/Nahreel-200x200.jpeg)
Ukisikiliza baadhi ya nyimbo za kundi la Navy Kenzo ikiwemo ‘Game’ kuna maneno wanapenda kuyasema, “Above In A Minute”, lakini inawezekana hujui ni kwasababu gani wanapenda kuyatumia au yana maana gani kwao.
Mbali na nyimbo, hata post zao za mitandao ya kijamii, Nahreel na aika huwa wanaweka hashtag ya #AboveInAMinute kwenye post zao nyingi.
Mwimbaji wa Navy Kenzo ambaye pia ni producer wa The Industry, Emmanuel Mkono maarufu kama Nahreel amesema kuwa “ABOVE IN A MINUTE” ni jina la...
9 years ago
Bongo528 Oct
Nyimbo 3 mpya za Weusi hazitatoka tena wiki hii, Nikki Wa Pili aeleza sababu