Barnaba aeleza kwanini hutumia muda mfupi kuandika nyimbo zake
Barnaba amesema kuandika nyimbo zake kwa muda mfupi tu ni kipaji alichopewa na Mungu. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa humchukua dakika 30 tu kuandika nyimbo zake au za wasanii wengine. “Unajua nyimbo zangu huwa naandika kwa kutumia dakika chache sana kama wimbo wangu huu mpya niliandika kwa kutumia dakika 30 lakini zingine zote huwa ni […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLDAVIDO AELEZA ANAVYOCHANGANYA NYIMBO ZAKE AKIWA NJE
9 years ago
GPLPAM D AELEZA NYIMBO ZAKE MBILI ZILIVYOBADILISHA MAISHA YAKE
9 years ago
Bongo512 Oct
Diamond aeleza kwanini ‘alidedicate’ tuzo zake za Afrimma kwa Tiffah
10 years ago
Bongo504 Oct
Stamina aeleza kwanini remix ya ‘Number 1′ ilihit kuliko remix za nyimbo zingine za Bongo
9 years ago
Bongo504 Sep
Nahreel aeleza kwanini hajachukua wasanii tofauti na washikaji zake wale wale kufundisha kwenye chuo chake, ‘TIMS’
9 years ago
Habarileo09 Oct
'Tatizo la umeme ni la muda mfupi'
SERIKALI imesema tatizo la kukatika kwa umeme ni la muda mfupi na kwamba linafanyiwa kazi kupata ufumbuzi wa kudumu.
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Mapigano yasita muda mfupi tu Gaza
10 years ago
Habarileo24 Dec
DC: Muda wa kujenga maabara ulikuwa mfupi
MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Saidi Amanzi amesema muda waliokuwa wamepewa awali na Rais Jakaya Kikwete wa kuhakikisha wanajenga maabara katika shule zote za sekondari ulikuwa hautoshi.
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Matajiri hulala muda mfupi kuliko masikini?