Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barnaba aeleza kwanini hutumia muda mfupi kuandika nyimbo zake

Barnaba amesema kuandika nyimbo zake kwa muda mfupi tu ni kipaji alichopewa na Mungu. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa humchukua dakika 30 tu kuandika nyimbo zake au za wasanii wengine. “Unajua nyimbo zangu huwa naandika kwa kutumia dakika chache sana kama wimbo wangu huu mpya niliandika kwa kutumia dakika 30 lakini zingine zote huwa ni […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DAVIDO AELEZA ANAVYOCHANGANYA NYIMBO ZAKE AKIWA NJE

Mwanamuziki nyota wa Nigeria, Davido. MWANAMUZIKI nyota wa Nigeria, Davido, amesema ukosefu wa mafuta nchini humo uliotokea miezi ya Mei na Juni mwaka huu  ambao ulisababisha matatizo makubwa, ulimfanya alazimike kuahirisha kutoa albamu yake mpya hivi karibuni. Akizungumza na televisheni ya Notjustok, Davido alisema pia kwamba huwa anachanganya lugha za nyimbo zake akiwa nje ya Nigeria, hususan Marekani, ambako hutegemea...

 

9 years ago

GPL

PAM D AELEZA NYIMBO ZAKE MBILI ZILIVYOBADILISHA MAISHA YAKE

Mtangazaji wa Global TV Online na muimbaji Pamela Daffa 'Pam D'. Pamela Daffa 'Pam D' akiwa katika mapozi tofauti. MTANGAZAJI na muimbaji Pamela Daffa aka Pam D amesema nyimbo zake mbili zimempa…

 

9 years ago

Bongo5

Diamond aeleza kwanini ‘alidedicate’ tuzo zake za Afrimma kwa Tiffah

Diamond amesema alikuwa na ndoto siku moja akipata tuzo ya mafanikio ya kazi zake aielekeze kwa mtoto wake, Latiffah. Muimbaji huyo aliyeshinda tuzo tatu za Afrimma Jumapili hii ameiambia ya XXL ya Clouds FM kuwa amefanya hivyo kwa sababu mafanikio yake yanachangiwa na mtoto wake huyo. “Unajua ilikuwa ni moja ya ndoto zangu, kwamba hiyo […]

 

10 years ago

Bongo5

Stamina aeleza kwanini remix ya ‘Number 1′ ilihit kuliko remix za nyimbo zingine za Bongo

Msanii wa Hip Hop kutoka Morogoro, Stamina ametoa sababu ya nyimbo nyingi za bongo zinazofanyiwa remix kutofanya vizuri hapa nyumbani. Stamina aliitolea mfano remix ya ‘Number One’ ya Diamond na Davido kwa kudai kuwa msanii huyo alijua timing pamoja na thamani ya msanii aliyefanya naye. “Diamond remix yake ilifanya vizuri kwasababu kwanza nyimbo ilikuwa hit, […]

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel aeleza kwanini hajachukua wasanii tofauti na washikaji zake wale wale kufundisha kwenye chuo chake, ‘TIMS’

Kile chuo cha muziki ambacho producer Nahreel wa The Industry amesema anakifungua ‘TIMS’, kitakuwa na walimu ambao ni washikaji zake tuliozoea kuwaona pamoja. Wapo wasanii na maproducer wengi wenye ujuzi na ufahamu mkubwa wa muziki Tanzania, lakini Nahreel amewachagua wakina Nikki WA Pili, Aika, Vee Money kuwanoa wanafunzi wa ‘TIMS’ bila kuhitaji wasanii tofauti na […]

 

9 years ago

Habarileo

'Tatizo la umeme ni la muda mfupi'

SERIKALI imesema tatizo la kukatika kwa umeme ni la muda mfupi na kwamba linafanyiwa kazi kupata ufumbuzi wa kudumu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano yasita muda mfupi tu Gaza

Shambulio la Israil Gaza lauwa wengi na makubaliano ya kusitisha mapigano ili kuopoa maiti, hayadumu hata saa mbili zilizopangwa

 

10 years ago

Habarileo

DC: Muda wa kujenga maabara ulikuwa mfupi

MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Saidi Amanzi amesema muda waliokuwa wamepewa awali na Rais Jakaya Kikwete wa kuhakikisha wanajenga maabara katika shule zote za sekondari ulikuwa hautoshi.

 

10 years ago

Mwananchi

Matajiri hulala muda mfupi kuliko masikini?

Wewe ni mtu wa kulala sana? Saa moja usiku upo kitandani, unaamka saa nne asubuhi. Inawezekana ukaendelea kulalamika na kuwanyooshea wengine kidole kwamba ni ‘wachawi’ wanaozuia mafanikio yako, huku wao wakivuna mafanikio.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani