Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAM D AELEZA NYIMBO ZAKE MBILI ZILIVYOBADILISHA MAISHA YAKE

Mtangazaji wa Global TV Online na muimbaji Pamela Daffa 'Pam D'. Pamela Daffa 'Pam D' akiwa katika mapozi tofauti. MTANGAZAJI na muimbaji Pamela Daffa aka Pam D amesema nyimbo zake mbili zimempa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DAVIDO AELEZA ANAVYOCHANGANYA NYIMBO ZAKE AKIWA NJE

Mwanamuziki nyota wa Nigeria, Davido. MWANAMUZIKI nyota wa Nigeria, Davido, amesema ukosefu wa mafuta nchini humo uliotokea miezi ya Mei na Juni mwaka huu  ambao ulisababisha matatizo makubwa, ulimfanya alazimike kuahirisha kutoa albamu yake mpya hivi karibuni. Akizungumza na televisheni ya Notjustok, Davido alisema pia kwamba huwa anachanganya lugha za nyimbo zake akiwa nje ya Nigeria, hususan Marekani, ambako hutegemea...

 

10 years ago

Bongo5

Barnaba aeleza kwanini hutumia muda mfupi kuandika nyimbo zake

Barnaba amesema kuandika nyimbo zake kwa muda mfupi tu ni kipaji alichopewa na Mungu. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa humchukua dakika 30 tu kuandika nyimbo zake au za wasanii wengine. “Unajua nyimbo zangu huwa naandika kwa kutumia dakika chache sana kama wimbo wangu huu mpya niliandika kwa kutumia dakika 30 lakini zingine zote huwa ni […]

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel aeleza furaha yake kutokana na Top 10 ya MTV Base kuwa na nyimbo 4 za Bongo alizotengeneza yeye

Muziki wa Bongo unaendelea kukua siku hadi siku na kutambulika kimataifa, kutokana na kazi za wasanii wetu kuendelea kushika chati mbalimbali kwenye vituo vikubwa vya kimataifa hadi kufika nafasi za juu. MTV Base wana chati ya video 10 za Afrika iitwayo Official African Chart, na miongoni mwa video zilipo katika chati hiyo wiki hii, 4 […]

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanamume mweye jinsi mbili asimulia maisha yake

Mwanamume mwenye jinsi mbili, amezungumza na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) na kusema kama wazazi wake wangemshauri kuhusu hali hiyo, asingeogopa kujitambulisha ulimwenguni.

 

9 years ago

MillardAyo

Hizi ndio single mbili za Matonya zilizompa mkwanja mrefu katika maisha yake ya muziki…..

Ninajua nina watu wangu ambao mtakuwa na hamu ya kufahamu stori za wasanii waliokuwa wakitamba enzi zile, sasa hapa stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Seif Shaban aka Matonya ambaye amefunguka kuhusiana na single mbili zilizompa mkwanja mrefu katika historia yake ya muziki. Akiongea exclusive interview na ripota wa […]

The post Hizi ndio single mbili za Matonya zilizompa mkwanja mrefu katika maisha yake ya muziki….. appeared first on...

 

10 years ago

GPL

PAM D KUZALIWA UPYA NEW MAISHA

MKALI wa ngoma ya Nimempata, Pamela Daffa ‘Pam D’ anatarajiwa kuzaliwa upya katika bonge la pati litakalofanyika ndani ya Maisha Club, Novemba 9, jijini Dar. Akipiga stori na Over The Weekend, Pam D alisema kuwa siku hiyo atatambulishwa rasmi kwenye gemu ya Bongo Fleva kwa kusindikizwa na mastaa kibao kama Mesen Selekta, Mirror, Bonge la Nyau, Stereo, Y-Tony na wengine kibao. Pam D akionekana katika pozi. ...

 

10 years ago

GPL

PAM D AFANYA KWELI MAISHA CLUB

Pam D akiwa na rafiki yake kwenye red carpet. Pam D,  akiwa na Miss Talent Nicole pamoja na MC Pilipili. ...mwenye blauzi nyekundu akiwa na wacheza shoo wake.…

 

9 years ago

Vijimambo

AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE


Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani