Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAM D KUZALIWA UPYA NEW MAISHA

MKALI wa ngoma ya Nimempata, Pamela Daffa ‘Pam D’ anatarajiwa kuzaliwa upya katika bonge la pati litakalofanyika ndani ya Maisha Club, Novemba 9, jijini Dar. Akipiga stori na Over The Weekend, Pam D alisema kuwa siku hiyo atatambulishwa rasmi kwenye gemu ya Bongo Fleva kwa kusindikizwa na mastaa kibao kama Mesen Selekta, Mirror, Bonge la Nyau, Stereo, Y-Tony na wengine kibao. Pam D akionekana katika pozi. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PAM D AFANYA KWELI MAISHA CLUB

Pam D akiwa na rafiki yake kwenye red carpet. Pam D,  akiwa na Miss Talent Nicole pamoja na MC Pilipili. ...mwenye blauzi nyekundu akiwa na wacheza shoo wake.…

 

9 years ago

GPL

PAM D AELEZA NYIMBO ZAKE MBILI ZILIVYOBADILISHA MAISHA YAKE

Mtangazaji wa Global TV Online na muimbaji Pamela Daffa 'Pam D'. Pamela Daffa 'Pam D' akiwa katika mapozi tofauti. MTANGAZAJI na muimbaji Pamela Daffa aka Pam D amesema nyimbo zake mbili zimempa…

 

10 years ago

GPL

Hip Hop kuzaliwa upya Dar Live

Niki wa Pili Mwandishi Wetu, Dar es Salaam NYOTA mbalimbali wa Muziki wa Hip Hop Bongo, leo Jumamosi wanatarajiwa kufanya shoo kali katika Tamasha la Rap ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. R.O.M.A. Akizungumza na Championi Jumamosi, mratibu wa tamasha hilo, Nickson George, aliwataja baadhi ya wasanii hao kuwa ni Niki wa Pili, R.O.M.A, Stamina, Young Killer, Godzillah, Adam Mchomvu,...

 

10 years ago

GPL

PAM D KUTIMKIA NIGERIA!

Staa anayekimbiza na Wimbo wa Nimempta, Pam D akiwa katika pozi. MSANII aliyefunga mwaka kwa shangwe kupitia goma la Nimempata, Pamela Daffa ‘Pam D’ yuko mbioni kutimkia nchini Nigeria, Showbiz linamchongo kamili. Kwa mujibu wa Pam D, safari hiyo itafanyika ndani ya mwezi huu huku lengo kuu ni kwenda kufanya ngoma na msanii mkubwa mmojawapo nchini humo. “Ninafuraha kwani malengo yangu huenda yakatimia na kuwa...

 

10 years ago

GPL

NAY, PAM D WAGANDANA KIMAHABA

Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata
YA leo siyo ya kesho! Wakati Juni 9, mwaka jana, nyota wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki  ‘Nay wa Mitego’ alisherehekea siku ya kuzaliwa kwake ‘bethidei’ kwa mbwembwe kubwa ambayo iliandaliwa na mzazi mwenzake, Siwema pale Kimara Barudi, Dar, mwaka huu ziii huku akinaswa kimahaba na Mbongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’, Ijumaa lina kila kitu. Nyota wa...

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani