PAM D KUTIMKIA NIGERIA!
Staa anayekimbiza na Wimbo wa Nimempta, Pam D akiwa katika pozi. MSANII aliyefunga mwaka kwa shangwe kupitia goma la Nimempata, Pamela Daffa ‘Pam D’ yuko mbioni kutimkia nchini Nigeria, Showbiz linamchongo kamili. Kwa mujibu wa Pam D, safari hiyo itafanyika ndani ya mwezi huu huku lengo kuu ni kwenda kufanya ngoma na msanii mkubwa mmojawapo nchini humo. “Ninafuraha kwani malengo yangu huenda yakatimia na kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-Gkjy662rssE/VXLU8it4McI/AAAAAAAAB7M/lOh3cthwy6w/s72-c/falcao_pa.jpg)
FALCAO MBIONI KUTIMKIA CHELSEA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gkjy662rssE/VXLU8it4McI/AAAAAAAAB7M/lOh3cthwy6w/s400/falcao_pa.jpg)
10 years ago
Mtanzania11 May
SAKATA LA MSUVA KUTIMKIA SAUZI ;Yanga yaishtaki Bidvest
ABDUCADO EMMANUEL, DAR NA MICHAEL MAURUS, MTWARA
SAKATA la winga wa timu ya Yanga, Simon Msuva kwenda kufanya majaribio Afrika Kusini kwenye timu ya Bidvest Wits bila ruhusa ya uongozi wake, limechukua sura mpya baada ya mabingwa hao wa Ligi Kuu ya Vodacom kuishtaki timu hiyo kwenye Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).
Msuva aliyerejea nchini juzi baada ya kumaliza majaribio hayo na kudaiwa kufanya vizuri, alitorokea nchini humo Jumatatu iliyopita usiku bila kuafikiana na uongozi wa...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-SekNICT8b4A/VZAj0sNtiLI/AAAAAAAACTU/7MVWdHUptSg/s72-c/Petr-Cech-Arsenal.jpg)
ROMAN ABRAMOVICH AMRUHUSU PETR CECH KUTIMKIA ARSENAL
![](http://1.bp.blogspot.com/-SekNICT8b4A/VZAj0sNtiLI/AAAAAAAACTU/7MVWdHUptSg/s400/Petr-Cech-Arsenal.jpg)
Ijumaa iliyopita, Sky Sports walidai kwamba Cech angesaini Emirates siku hiyo, lakini haikutokea.Mashabiki wa Arsenal wamechoka kusikia tetesi inayotangaza kwamba watamsajili golikipa wa Chelsea, Petr Cech, lakini siku ya kufanya hivyo haijulikani.Kwa wiki kadhaa, taarifa zimekuwa zikitoka kuwa Cech anaweza kusaini leo, lakini hiyo leo haifiki.
Hii inazua wasiwasi kama kweli Cech atajiunga na Arsenal majira haya ya kiangazi kwa dau la paundi milioni 11.Hata hivyo, Jose Mourinho hapendi kuona...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w-fW3VeDRmc/XsKFXJho9ZI/AAAAAAALqqo/b9ySt1WXpkk9cmbZYFtt_cS_pQcoJGWIQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-05-16-17h44m38s345.png)
Chadema wadai kutostushwa na madiwani wao kutimkia CCM
Na Amiri kilagalila,Njombe Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Njombe kimesema hakijashtushwa na taarifa za Madiwani wao watatu wa wilaya ya Makete kutangaza kuhamia Chama cha Mapinduzi CCM kwa kuwa walishakuwa na taarifa za kuwa wamekuwa wakitishwa kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Njombe Rose Mayemba amesema kuwa licha ya madiwani hao kutotoa sababu hizo hadharani lakini kama chama kilishapata taarifa hizo kwa muda mrefu kwamba wamekuwa...
10 years ago
Bongo524 Nov
Kama ingefeli, ‘Pesa’ ingekuwa ngoma ya mwisho ya Mr Blue, alipanga kutimkia Ulaya
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OeshQo7zTe4/Vb4CYjg7VTI/AAAAAAAHtSk/tbJ2WmzvmU0/s72-c/ApxOlgXxuzB9Xl3JlKZI3gnzfX4Y2JpnwD5UmM5dF9nH.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ......: NAIBU WAZIRI WA KAZI NA AJIRA, DKT. MAKONGORO MAHANGA KUTIMKIA CHADEMA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-OeshQo7zTe4/Vb4CYjg7VTI/AAAAAAAHtSk/tbJ2WmzvmU0/s640/ApxOlgXxuzB9Xl3JlKZI3gnzfX4Y2JpnwD5UmM5dF9nH.jpg)
11 years ago
GPL27 Jul
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXGRZ-D1mccIhzCdMzHldgXVXqNy2HARn0iTFsHbntg69AyYvAsyO9RpcKx4gCKp13TI6KugvhmmrkZDaOZ6rGFy/IMG20141105WA0000.jpg?width=650)