Kama ingefeli, ‘Pesa’ ingekuwa ngoma ya mwisho ya Mr Blue, alipanga kutimkia Ulaya
Huenda Mr Blue asingesikika tena kwenye muziki kutokana na maisha kwenda kombo na kwamba ‘Pesa’ ingekuwa ngoma yake ya mwisho. Akizungumza kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, rapper huyo alidai kuwa kama ngoma yake ‘Pesa’ ingebuma, angeachana kabisa na muziki na kuzamia Ulaya. “Pesa kama Pesa ilikuwa ni project yangu ya mwisho,” alisema […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Kila mwamba ngoma akivutia kwake, mwisho ngoma hupasuka
Vijana hawakati tamaa. Baada ya kuandika maneno yote yale wiki jana, huyu kijana ameona sasa njia ya kufuatilia ni kuandika kila wakati.
10 years ago
Bongo520 Nov
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Mbu0z2Enabc/default.jpg)
Diamond akimtaja Zari kwenye wimbo wa Mr Blue 'Pesa'
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/Diamond-Br.jpg?resize=456%2C264)
10 years ago
Vijimambo11 Feb
DOGO ALIYE KATAZWA KUTOA NGOMA NA MR BLUE KAIACHIA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-n4tGIGXsRTI%2FVMpFR3_8dpI%2FAAAAAAAAHBw%2FOsrAtKivb1w%2Fs1600%2FIMG_3774%252Bcopy.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Bongo522 Sep
Diamond au Alikiba? Mr Blue aeleza yupi anayependa kufanya naye ngoma
Kihistoria, Diamond na Alikiba ni wadogo zake Mr Blue. Wakati Mr Blue anatamba na ngoma zake ikiwemo Mapozi, hakuna aliyekuwa akiwafahau wawili hao. Na kuna wakati Blue aliwahi kusimulia namna alivyokerwa na tabia ya Diamond ya kutembea na ex wake akiwe Wema na Najma. Hata Hivyo rapper huyo wa Pesa, amesema anawakubali wote Alikiba na […]
9 years ago
Michuzi31 Oct
9 years ago
Mwananchi01 Sep
Usajili siku ya mwisho Ulaya
Manchester United yamnasa
Martial
Manchester United imemnasa mshambuliaji wa Monaco, Anthony Martial baada kupewa ruhusu kuondoka katika kambi ya Ufaransa na kusafiri kwenda England, lilithibisha Shirikisho la Soka la Ufaransa (FFF).
10 years ago
Bongo516 Sep
Nisher ataja pesa aliyolipwa kama director kwenye video ya kwanza kutengeneza
Kila kitu kikubwa huanzia kwenye hatua ya chini, kama ni msanii basi lazima utakuta wakati anaanza alifanya show nyingi za bure, kama ni producer wa muziki basi utakuta ametenegezea wasanii wengi mastaa nyimbo bure ili ajitangaze. Safari ya director wa video Nisher kutoka Arusha pia ilianzia katika hatua za kufanya video bure hadi sasa amefikia […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania