DOGO ALIYE KATAZWA KUTOA NGOMA NA MR BLUE KAIACHIA
Ni upcoming wa muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania maarufu kwa jina la ‘Msami’ ambaye aliwahi kupigwa biti na Mr Blue kwa madai ya kwamba Blue hataki Dogo atoe ngoma zake kisa sauti zao zinafanana.Hivyo basi Dogo msami kashindwa kuvumilia na kuamua kuachia ngoma moja inayoitwa ‘Hajawahi’ ukisikiliza nilazima ucheke maana unaweza ukazania ni Mr. Blue kabisa ngoma imetengezwa na Producer Mo fire katika studio ya Fire music. Sikiliza hapa:
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM31 Mar
Dogo Aslay:Mkubwa Fella ndiye mtunzi wa ngoma ya ‘nitakupwelepweta’
Mkali kutoka kwenye bendi mahiri hapa nchini ya Yamoto Ban,Aslay Isihaka ‘Dogo Aslay’amemtaja mtunzi wa ngoma ya yenye mashairi yenye utata ambayo inafanya vyema kwenye vituo vya redio na tv ya ‘‘nitakupwelepweta’kuwa ni mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanae,Said Fella’’Mkubwa Fella’’.
Alisema kuwa ngoma hiyo siyo kwamba ujumbe wake wameimbiwa wanawake peke yao kama ambavyo watu wengi wanavyohani lakini pia wanaume watu wazima wenye tabia ya kutembea na wasichana na wavulana wenye umri...
10 years ago
Bongo522 Sep
Diamond au Alikiba? Mr Blue aeleza yupi anayependa kufanya naye ngoma
10 years ago
Bongo524 Nov
Kama ingefeli, ‘Pesa’ ingekuwa ngoma ya mwisho ya Mr Blue, alipanga kutimkia Ulaya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2PtAZ8RXsWbIWDdaoo8jbNo7K4KsAUSmW12JZW-v38uBOvLNtkoDtVOzsua3m*NBOtc8o5Mjfq5IMlwdWrHZPHX/3dogolilanaHilal3.jpg?width=650)
DOGO LILA NA DOGO HILAL WAKIFANYA YAO NDANI YA DAR LIVE
10 years ago
Bongo531 Aug
Lady Jaydee ajibu habari ya gazeti la udaku kuwa na uhusiano na ‘Dogo Dogo’
9 years ago
Bongo503 Dec
Wasanii tunaogopa kutoa ngoma hovyo – Linex
![11821781_479761088871687_536245769_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11821781_479761088871687_536245769_n-300x194.jpg)
Linex amesema mwaka huu hatatoa tena wimbo ili apate muda wa kujipanga zaidi kwaajili ya mwaka ujao.
Linex amekiri kuwa kuna baadhi ya wasanii sasa hivi wamekuwa waoga wa kutoa nyimbo zao hovyo kutokana na muziki kubadilika.
“Game inahitaji mipango sasa hivi, yaani manyimbo yapo kibao tu ndani ila sasa kutoa ndio inakuwa shida,” ameiambia Bongo5.
“Sasa hivi hata ukiangalia wasanii wanaogopa kutoa single hovyo kama zamani. Sasa hivi unahitaji kufanya muziki ambao utanufaika nao yaani hata...
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Aliye pandikizwa uume,baba mtarajiwa
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Aliye waua Waingereza wawili kunyongwa