Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliye pandikizwa uume,baba mtarajiwa

Daktari wa usapuaji nchini Afrika Kusini amethibitisha kwamba mwanamme wa kwanza aliyepandikizwa uume atakuwa baba hivi karibuni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Diamond Platnumz 'Baba mtarajiwa' aanza kukusanya midoli ya mwanae kuchezea!

Diamond Platnumz kama mwanaume yeyote yule anayetarajia kuwa baba kwa mara ya kwanza tena kupitia mwanamke ampendaye, amepania vilivyo kumkaribisha mwanae kwenye sayari ya dunia.Staa huyo ambaye hivi karibuni alikuwa nchini India, amepost picha akiwa supermarket kununua midoli kadhaa kwaajili ya mwanae huyo ajaye.“Ushamba huu, eti nimeshaanza kununua vitoy vya kuchezea,” ameandika Diamond kwenye picha hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana wa miaka 17 apunguzwa uume

Mvulana mmoja amefanyiwa kile madaktari wanasema ni upasuaji wa kwanza wa kupunguza uume wake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Madaktari kupandikiza uume Marekani

Madaktari katika Hospitali ya chuo kikuu cha Hopkins nchini Marekani wamepanga kufanya upasuaji kwa ajili ya kupandikiza uume kwa mpiganaji wa zamani aliejeruhiwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Upandikishaji wa uume wafaulu A.Kusini

Kundi la madaktari wa upasuaji kutoka Afrika kusini limefanikiwa upandikishaji wa uume wa mwanadamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajikata uume akitaka kuwa mwanamke

Msanii Mrusi aliyecheza katika filamu mashuhuri ya 'Burnt by the Sun 2', alipoteza uume wake baada ya kujikata akitaka kuwa mwanamke.

 

10 years ago

GPL

INAUMA SANA: MTOTO AKATWA UUME!

Deogratias mongela/Ijumaa
MTOTO aitwaye Badru Muhidin mwenye umri wa miaka miwili, amepata pigo kubwa baada ya kukatwa uume wake kimakosa na babu yake aliyekuwa amempeleka kutahiriwa kienyeji huko Mbagala jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita. Mtoto aitwaye Badru Muhidin akiwa na mama yake. Mama mzazi wa mtoto huyo, Mwajuma Hussein ambaye ni mkazi wa Yombo jijini Dar, alisema aliishi na mwanaye peke yake bila baba...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Siwezi kusahau mwanagu alivyokatwa uume’

>Ni furaha ya kila mzazi kupata mtoto mwenye siha  njema na mtimilifu wa viungo. Lakini ilikuwa bahati mbaya kwa Mario Sanga, ambaye licha ya kubarikiwa kupata mtoto wa kiume mwenye afya  bora, aliyekamilika, kufumba na kufumbua mtoto huyo amepata ulemavu ambao ni adhabu  pia upungufu mkubwa kwa mwanaume yeyote duniani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Aelezea kwa nini alikata uume wake

Je unamkumbuka mwanamuziki wa kufoka Andre Johnson ambaye alikata Uume wake mwezi Aprili mjini Los Angeles Marekani?

 

9 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kukabili hisia za umbo dogo la uume

Leo nitafunga mfululizo wa mada juu ya udogo wa maumbile kwa kueleza mambo machache ya kufanya kukabiliana na hali hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani