Aliye pandikizwa uume,baba mtarajiwa
Daktari wa usapuaji nchini Afrika Kusini amethibitisha kwamba mwanamme wa kwanza aliyepandikizwa uume atakuwa baba hivi karibuni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hKe6f7iwA48/VNuTfyXcQBI/AAAAAAAAGRM/UFZlkL-v0eY/s72-c/Diamond%2BPlatnumz%2B%27Baba%2Bmtarajiwa%27.jpg)
Diamond Platnumz 'Baba mtarajiwa' aanza kukusanya midoli ya mwanae kuchezea!
![](http://1.bp.blogspot.com/-hKe6f7iwA48/VNuTfyXcQBI/AAAAAAAAGRM/UFZlkL-v0eY/s640/Diamond%2BPlatnumz%2B%27Baba%2Bmtarajiwa%27.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6yjNok5D68Q/VNuTHVTWnpI/AAAAAAAAGRE/GRxV3DsVQsE/s1600/Diamond%2BPlatnumz.jpg)
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Kijana wa miaka 17 apunguzwa uume
Mvulana mmoja amefanyiwa kile madaktari wanasema ni upasuaji wa kwanza wa kupunguza uume wake.
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Madaktari kupandikiza uume Marekani
Madaktari katika Hospitali ya chuo kikuu cha Hopkins nchini Marekani wamepanga kufanya upasuaji kwa ajili ya kupandikiza uume kwa mpiganaji wa zamani aliejeruhiwa
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Upandikishaji wa uume wafaulu A.Kusini
Kundi la madaktari wa upasuaji kutoka Afrika kusini limefanikiwa upandikishaji wa uume wa mwanadamu.
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Ajikata uume akitaka kuwa mwanamke
Msanii Mrusi aliyecheza katika filamu mashuhuri ya 'Burnt by the Sun 2', alipoteza uume wake baada ya kujikata akitaka kuwa mwanamke.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJNS9npCA7NQ4*5fPqZPjNZAGJxC16kIde*f0pXScJXev29iORY5wbE5T83JR7yY8iEIeGHZMjBqMTVuDJrUXPw6/Back.jpg)
INAUMA SANA: MTOTO AKATWA UUME!
Deogratias mongela/Ijumaa
MTOTO aitwaye Badru Muhidin mwenye umri wa miaka miwili, amepata pigo kubwa baada ya kukatwa uume wake kimakosa na babu yake aliyekuwa amempeleka kutahiriwa kienyeji huko Mbagala jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita. Mtoto aitwaye Badru Muhidin akiwa na mama yake. Mama mzazi wa mtoto huyo, Mwajuma Hussein ambaye ni mkazi wa Yombo jijini Dar, alisema aliishi na mwanaye peke yake bila baba...
10 years ago
Mwananchi21 Jul
‘Siwezi kusahau mwanagu alivyokatwa uume’
>Ni furaha ya kila mzazi kupata mtoto mwenye siha njema na mtimilifu wa viungo. Lakini ilikuwa bahati mbaya kwa Mario Sanga, ambaye licha ya kubarikiwa kupata mtoto wa kiume mwenye afya bora, aliyekamilika, kufumba na kufumbua mtoto huyo amepata ulemavu ambao ni adhabu pia upungufu mkubwa kwa mwanaume yeyote duniani.
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Aelezea kwa nini alikata uume wake
Je unamkumbuka mwanamuziki wa kufoka Andre Johnson ambaye alikata Uume wake mwezi Aprili mjini Los Angeles Marekani?
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Jinsi ya kukabili hisia za umbo dogo la uume
Leo nitafunga mfululizo wa mada juu ya udogo wa maumbile kwa kueleza mambo machache ya kufanya kukabiliana na hali hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania