Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kijana wa miaka 17 apunguzwa uume

Mvulana mmoja amefanyiwa kile madaktari wanasema ni upasuaji wa kwanza wa kupunguza uume wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kijana adaiwa kubaka mtoto wa miaka 16

MKAZI wa kitongoji cha Misunkumilo mjini Namanyere, Zacharia Katembo (21) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Nkasi kwa madia ya kumbaka mtoto.

Mshitakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo Jumanne wiki hii, mbele ya Hakimu Ramadhani Mgalamalira, ambapo alikana mashitaka ya kubaka mtoto mwenye umri wa miaka 16.

Hakimu Mgalamalira aliahirisha shauri hilo hadi Machi 23, mwaka huu, litakapotajwa tena. Pia aliamuru mshitakiwa kurejeshwa rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana mwenye miaka 4 akatwa mguu Kenya

Familia ya kijana mwenye umri wa miaka minne aliyepigwa risasi na polisi huko Mombasa inasema amekatwa mguu

 

10 years ago

Habarileo

Kijana jela miaka 30 kwa kumlawiti mwanafunzi

Pingu.MAHAKAMA ya Wilaya ya Tabora imehukumu Masudi Nassor (20) kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mwanafunzi wa kike wa shule ya msingi mwenye umri wa miaka tisa.

 

11 years ago

CloudsFM

Kijana amuua mtoto wa miaka 9 na ‘kutafuna ubongo’

Moshi. Mkazi mmoja wa Moshi amemuua mwanafunzi wa darasa la 3 kule Samanga leo na kisha 'kula ubongo' wa mtoto huyo katika tukio la kutisha lililostua wakazi wa mji huu.

Kijana huyu aliyefahamika kwa jina la Lawrence Mramba, 20, alimshambulia mtoto huyo mwenye umri wa miaka 9 kwa panga wakati akienda shule mnamo saa 1 asubuhi Ijumaa, akampasua kichwa na kisha akaanza kutafuna ‘vipande vya ubongo wake.’

Mara baada ya kitendo hicho cha kushtusha, Mramba, aliyeonekana kuwa na matatizo ya...

 

10 years ago

GPL

KIJANA WA KIUME ANAYEVIZIMIKIA VIBIBI VYA ZAIDI YA MIAKA 60

Kyle Jones (31) akiwa na mpenzi wake, Karen, anasema huvutiwa tu na wanawake wanaomzidi umri kwa makumi kadhaa ya miaka. Huyu ndiye Kyle, kijana mtanashati anayeachwa hoi na penzi la vibibi vizee.…

 

10 years ago

Mwananchi

Wazazi wamfunga mnyororo kijana kwa miaka mitatu

>Unakumbuka masaibu ya mtoto, hayati Nasra Mvungi aliyeishi kwenye boksi miaka mitatu? Mkazi wa Mbondole, Wilaya ya Ilala, Uwesu Mansuri (28) naye ameishi kwa kufungwa mnyororo mguuni na wazazi wake kwa miaka mitatu kwa madai ya kulinda usalama wake.

 

9 years ago

GPL

MIAKA 10 YA MATESO KITANDANI, KIJANA ASEMA: NAKIONA KIFO HIVIHIVI

Mustapha Haruna akiwa amevimba tumbo na kulazwa hospitali ya rufaa Bugando, Mwanza. Gabriel Ng’osha na Haruni Sanchawa Eeh! Mungu tenda miujiza! Ni maneno ambayo unaweza kuyasema ukimuona Mustapha Haruna (32), mkazi wa Ndala mkoani Shinyanga anayesumbuliwa na tumbo kujaa maji baada ya moyo wake kupanuka. CHANZO CHA UGONJWA Akizungumza na Uwazi, kwa njia ya simu kutoka mkoani Shinyanga mama mzazi wa Mustapha,  Hidaya Mrisho...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wewe ni Kijana Chini ya Miaka 40? Ujumbe Huu wa Ray Ukufikie

Watu wengi hawajui kwa nini wazungu huwa wanasema LIFE BEGINS AT 40. Yaani maisha yako ya kweli yataanza ukifika umri wa Miaka 40. Wakati ambapo unatakiwa uwe na elimu uliyoihitaji.. Uwe na familia yako tayari.. Uwe na kwako tayari siyo umepanga bado.. Uwe na usafiri binafsi.. Uwe na kitu chako cha kukuingizia pesa na si kutegemea ajira peke yake. At 40!

At 40 unatakiwa uwe umeshapata exposure kwa kusafiri huku na kule dunia hii kujua wengine walioendelea zaidi wanaishi vipi na wewe...

 

11 years ago

Mwananchi

YATISHA: Kijana afyatuka, amuua mtoto wa miaka 9 na ‘kutafuna ubongo’

Mkazi mmoja wa Moshi amemuua mwanafunzi wa darasa la 3 kule Samanga leo na kisha kula ubongo wa mtoto huyo katika tukio la kutisha lililostua wakazi wa mjii huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani