Wewe ni Kijana Chini ya Miaka 40? Ujumbe Huu wa Ray Ukufikie
Watu wengi hawajui kwa nini wazungu huwa wanasema LIFE BEGINS AT 40. Yaani maisha yako ya kweli yataanza ukifika umri wa Miaka 40. Wakati ambapo unatakiwa uwe na elimu uliyoihitaji.. Uwe na familia yako tayari.. Uwe na kwako tayari siyo umepanga bado.. Uwe na usafiri binafsi.. Uwe na kitu chako cha kukuingizia pesa na si kutegemea ajira peke yake. At 40!
At 40 unatakiwa uwe umeshapata exposure kwa kusafiri huku na kule dunia hii kujua wengine walioendelea zaidi wanaishi vipi na wewe...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies28 Jul
Ujumbe Huu wa Shamsa Ford Ukufikie Ewe Mwanafunzi
Kila mtu anapenda kuwa maarufu haswa wanafunzi kwasababu ndo wanaongoza kunipigia simu kutaka kuwa waigizaji. Lakini ushawahi kujiuliza faida na hasara ya umaarufu? Ili kuwa maarufu si lazima uwe muigizaji au mwanamziki,ukisoma kwa bidii nina uhakika kupitia elimu yako unaweza ukawa maarufu Tanzania nzima au Duniani kote.
Mfano unaweza ukawa Dk maarufu,Mwanasheria maarufu ,Raisi wa nchi,au Rubani maarufu..wewe uliyepata nafasi ya kusoma uzingatie masomo yako faida utaiona baadae...Dunia ya...
10 years ago
Bongo Movies19 Jun
Ujumbe: Kama Wewe ni Kijana, Monalisa Ana Hili Kwa Ajili Yako
"Kijana,ichunge sana LEO yako.Hujui kESHO utafanya nini au utakuwa nani.KESHO itakapofika watu watakuhukumu kwa JANA yako ambayo ni LEO.Chunga sana LEO yako ndio inayokutengenezea KESHO yako." YVONNE CHERRIE
Roho yangu imenisukuma tu kukuandikia ujumbe huu..pengine nitaokoa LEO ya mtu fulani..Kila la kheri
Monalisa on Instagram
9 years ago
Bongo Movies19 Dec
Ujumbe Huu wa Ray Umewagusa Wengi
Mkali wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa mara kadhaa amekuwa akiandika ujumbe mbali mbali kwenyekupitia ukurasa wake mtandaoni kuhusu maisha kwa ujumla.
![Ray](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/RAY2334.jpg)
Ray
Kila mtu amekuwa akizichukulia jumbe hizo kwa namna anavyofikiria yeye mwenyewe lakini huu wa leo umewakuna wengi.
Ray ameandika;
“Katika maisha unapoamua kuwa na mtu ni kwa maisha yako usihitaji mtu kwa ajili ya watu na usipende kuishi kwa macho ya watu hata shetani alikataa mbingu na Mungu hakuilaani mbingu alimlaani yeye...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LVtCTa5sHAM/VZQmWbysgxI/AAAAAAAAFqU/gfZ2698-B2U/s72-c/makongoro%2Bnyerere.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49Z*8WMRV-*hLwiQ6QhmY0JRa8La62sUexmm2BK57VR5*lKq5I4MI0As1y0zAzfvdSLd2VhrVRUG3hUG9YXKf1Ic/BACKAMANI.gif?width=650)
KIJANA AMSAKA RAY C AMUOE
10 years ago
Vijimambo31 Jan
KITENDO HIKI CHA ZUA MJADALA HUKO TANZANIA JITIRIRISHE HAPA CHINI NA WEWE UNALA KUSEMA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-uIE8R_9QiEM%2FVM0si9WfljI%2FAAAAAAADWok%2FHirMj-faaOw%2Fs1600%2Fkobe-butt-slap.jpeg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-vbBO5U7qlto%2FVM0skeh6QoI%2FAAAAAAADWos%2FJinZI0CKTZ0%2Fs1600%2F6a00d8341c630a53ef00e553d9b5ac8833-800wi.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-4hv-AHeYnrc%2FVM0slkd_mVI%2FAAAAAAADWo0%2Fpv59yeGIUdI%2Fs1600%2Fimages.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Uongozi wa Simba na Maguri wote kwa pamoja wametoa kauli juu ya tukio hilo na...
10 years ago
Bongo Movies24 Jun
Ujumbe: Tutafute Pesa Sio Kusengenyana-Ray
Pesa Ni Sabuni Ya Roho Hata Kama Mdogo Utaitwa Mzee Hata Kama Una Sura Ya Kawaida Utaitwa Handsome Boy Hata Kama Una Roho Mbaya Utaambiwa Una Roho Nzuri . SASA VIJANA WENZANGU TUPAMBANE KUTAFUTA PESA NA C KUSENGENYANA.. (MONEY TALKS)
raythegreatest on instagram
10 years ago
Vijimambo29 Apr
Wewe Ni Binti Mrembo Na Unajiamini? Basi Chukua Mchongo Huu
![](http://api.ning.com/files/NpAlVAvTs3Pwhwv1q52kRCqZBNkwB-rnxWQ0nD3NlG3ZPoTK-AY9MSoaeO92v14pGWwLVEWZ5ukuRz7KbphCAfVXBXSjX0OG/ADDSWAHIL.jpg?width=750)
Kuna watu ambao wanavipaji vya hali ya juu katika uigizaji lakini umekuwa ukijiuliza utaonyesha vipi kipaji chako ikiwa ni pamoja na kupata kipato chako kitakachoweza kukufanya uishi na kufanya mambo yako kwa hali nzuri.
Utapata nafasi ya kujulikna na mastaa wengine ambao wao tayari wameshafanikiwa, utaonekana kupitia TV Show hii.
Lakini bado upo kwenye Dilema lakiji huu ndio mchongo wa kuchangamkia kwa sasa!! Swali ni moja tu.....
Wewe ni binti mrembo na unajitambua? Basi tunakuhitaji uwe...
10 years ago
Vijimambo26 Jan
HUU NI UJUMBE WANGU KWAKO
![](https://scontent-a-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/s480x480/10420254_757889444286965_1469981421397225592_n.jpg?oh=cd2fa62f3ce129260f85aab0b545b8f7&oe=5555045A)