HUU NI UJUMBE WANGU KWAKO
UKITENGENEZA MAISHA YAKO USIMSAHAU Mama, Daima Usimdharau Mama, mpende Mama na umtunze sana Mama. Mvumilie sana kwa mapungufu yoyote yale utakayoyaona kwake, hayupo alie mkamilifu kwa% Kumbuka MIEZI 9 ulikaa ndani ya tumbo la Mama, MIAKA 2 au zaid ulikunywa kilicho kifuani mwa Mama!. Kitanda chako kilikua miguu yake, Bembea yako ilikua mgongo wake, na mikojo kwa kadri ulivyo jisikia. Alikubali kuumia ili wewe upate kukua, kila siku uamkapo na ulalapo muombee mama.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Kendrick Lamar ana ujumbe huu kwako; ‘Hard Work’ – (Video)!
Najua nina watu wangu ambao ni mashabiki wakubwa wa muziki wa Kendrick Lamar, kama wewe ni mmoja wapo basi ipokee hii brand new video kutoka kwake. Clip inaitwa ‘Hard Work’ na ndani rapper anaonekana akimshauri rafiki yake kwenye mazingira tofauti umuhimu wa kufanya kazi kwa bidii… Ujumbe huu unaweza kukufa na wewe pia mtu wangu. […]
The post Kendrick Lamar ana ujumbe huu kwako; ‘Hard Work’ – (Video)! appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Bongo516 Jan
Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!
10 years ago
Mwananchi19 Apr
Sitta: Huu ni mtaji wangu wa urais
10 years ago
Bongo Movies30 Sep
Lulu: Napenda Kuangalia ‘Utumbo’ Wangu Kama Huu
Nime Mute hii Video kwa Sababu Maalum Mara nyingi Huwa napenda kuangalia utumbo wangu Kama huu nikiona kuna watu wanajifanya wamevurugwaaa unavurugwa Leo 2015 kweli!?
Watu tulishakuwa machizi yani mpk milembe tuna Gate pass ya bure, sema inafika pahala unajitambua na unaona hakuna faida ya kubaki ulipowahi kuwa...sasa mnavyojifanya mmevurugwa sio kama hatuwaoni...tunawaona sana sema tunaamua kuwa wajinga coz tumeshatoka huko mlipo..!
Between....huyo hairstyle lazima ni ya mchepuko wa Baba...
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Serikali imesikia ujumbe huu wa Ukimwi?
MWISHONI mwa wiki iliyopita, mkutano mkubwa wa wanasayansi na mashirika makubwa ya kimataifa yana
Ezekiel Kamwaga
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
Huu ndiyo Ujumbe wa JB Kwa Wachepukaji
Kadri unavyo jitahidi kuitunza na kuijali nyumba ndogo...ndivyo unavyo hatarisha ndoa yako..Sababu namba mbili wote hutamani kuwa namba moja..Tafakari chukua hatua...Michepuko sio dili....
By Jacob Stephen ‘JB’ @ jb_jerusalemfilms on instagram
9 years ago
Bongo Movies19 Dec
Ujumbe Huu wa Ray Umewagusa Wengi
Mkali wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa mara kadhaa amekuwa akiandika ujumbe mbali mbali kwenyekupitia ukurasa wake mtandaoni kuhusu maisha kwa ujumla.

Ray
Kila mtu amekuwa akizichukulia jumbe hizo kwa namna anavyofikiria yeye mwenyewe lakini huu wa leo umewakuna wengi.
Ray ameandika;
“Katika maisha unapoamua kuwa na mtu ni kwa maisha yako usihitaji mtu kwa ajili ya watu na usipende kuishi kwa macho ya watu hata shetani alikataa mbingu na Mungu hakuilaani mbingu alimlaani yeye...
10 years ago
Vijimambo02 Sep
UJUMBE WANGU KWA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA KATIKA KUELEKEA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI MKUU OCTOBER 25

Kalamu yangu mdomo wangu leo nataka nizungumze na wanahabari wenzangu waandishi na wataangazaji pia nataka mjue kwambaa karama hii au kipaji hiki tumepewa sio kwamba sisi tulistahili sana kuliko wengine hapana ni kwamba tuliaminiwa kwamba tunaweza kutumia midomo yetu na kalamu zetu katika kusema na kuandika ukweli ili tuweze kuelimisha,kutoa habari na hata kuburudisha ikiwezeekana naomba niwashauri tutumie karama zetu vizuri tuache ushabiki ambao hautakuwa na manufaa yeyote kwa...