Sitta: Huu ni mtaji wangu wa urais
>Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema anasubiri kukamilika kwa utaratibu wa CCM wa kugombea urais ili aingie rasmi kwenye mbio hizo kwa kuwa anaridhika na mambo matatu ambayo anasema yanamfanya ashawishike kugombea nafasi hiyo ya juu katika siasa nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Jan
Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
10 years ago
VijimamboKWA MTAJI HUU NDUGU ZETU PALE TANZANIA TUTAENDELEA KUWAPOTEZA SIKU HADI SIKU
10 years ago
Vijimambo26 Jan
HUU NI UJUMBE WANGU KWAKO
![](https://scontent-a-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/s480x480/10420254_757889444286965_1469981421397225592_n.jpg?oh=cd2fa62f3ce129260f85aab0b545b8f7&oe=5555045A)
9 years ago
Bongo Movies30 Sep
Lulu: Napenda Kuangalia ‘Utumbo’ Wangu Kama Huu
Nime Mute hii Video kwa Sababu Maalum Mara nyingi Huwa napenda kuangalia utumbo wangu Kama huu nikiona kuna watu wanajifanya wamevurugwaaa unavurugwa Leo 2015 kweli!?
Watu tulishakuwa machizi yani mpk milembe tuna Gate pass ya bure, sema inafika pahala unajitambua na unaona hakuna faida ya kubaki ulipowahi kuwa...sasa mnavyojifanya mmevurugwa sio kama hatuwaoni...tunawaona sana sema tunaamua kuwa wajinga coz tumeshatoka huko mlipo..!
Between....huyo hairstyle lazima ni ya mchepuko wa Baba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGGKG4IqVHmRBgFwIR8nPsFPR8rn5Y2GWQvW3kjbDgPkUBWP2ai*kETk*IS7QrzAXtGkdDbxxathVlGmbCAQevJ2/sitta.jpg?width=650)
SITTA HUU NDIYO WAKATI MUAFAKA
9 years ago
Vijimambo12 Oct
MCHANGO WANGU WA MAWAZO KWA WA TANZANIA WAKATI HUU WA UCHAGUZI WA 2015.
![](http://www.kwanzaproduction.com/wp-content/uploads/2014/09/cooltext1706975807.png)
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Urais wamponza Sitta
MWENENDO wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, umeanza kutiliwa shaka huku baadhi ya wajumbe wenzake wakidai anateswa na dhambi ya unafiki. Sitta, ambaye aliongoza Bunge la Tisa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Makundi ya urais yamtisha Sitta
USHINDI wa Samuel Sitta kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, umeanza kuwatia hofu wabaya wake kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na sasa ameundiwa zengwe la kumchafua. Tanzania...