Lulu: Napenda Kuangalia ‘Utumbo’ Wangu Kama Huu
Nime Mute hii Video kwa Sababu Maalum Mara nyingi Huwa napenda kuangalia utumbo wangu Kama huu nikiona kuna watu wanajifanya wamevurugwaaa unavurugwa Leo 2015 kweli!?
Watu tulishakuwa machizi yani mpk milembe tuna Gate pass ya bure, sema inafika pahala unajitambua na unaona hakuna faida ya kubaki ulipowahi kuwa...sasa mnavyojifanya mmevurugwa sio kama hatuwaoni...tunawaona sana sema tunaamua kuwa wajinga coz tumeshatoka huko mlipo..!
Between....huyo hairstyle lazima ni ya mchepuko wa Baba...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies15 Dec
Lulu:Napenda Zaidi Ushauri au Maoni Kuhusu Kazi Zangu Na Sio Mwili Wangu
Mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael“Lulu”ameyasema haya akiwa “GYM” anafanya mazoezi.
“Hii ni Kwa ndugu,jamaa,marafiki na mashabiki....!
Ningependa zaidi kupokea maoni Au ushauri juu Ya kazi zangu(filamu)nifanye nn,niongeze Nn au nipunguze nn....ushauri wa Mwili WANGU ninaomba mniachie mimi na Doctor pengine....mana tunapoelekea kuna watu mtatupangia mpaka style za kulala vitandani,hamshindwi kusema kwasababu Wewe Kioo cha jamii ukilala chali haipendezi “ Lulu alimaliza.
Wengi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-g6wmqPtZDsw/VVR5UEAGppI/AAAAAAABOaQ/sXIxvK8iVzY/s72-c/Elizabeth-Michael-lulu1.jpg)
"LULU: NI KWELI NAPENDA KUTEMBEA NA WANAUME WALIONIZIDI UMRI SABABU HAWANA MAMBO YA KITOTO"
![](http://4.bp.blogspot.com/-g6wmqPtZDsw/VVR5UEAGppI/AAAAAAABOaQ/sXIxvK8iVzY/s640/Elizabeth-Michael-lulu1.jpg)
Akizungumza kwenye The Sporah Show, Lulu amezitaja sababu za kupendelea kutoka na wanaume waliomzidi umri.
SPORAH: Watu wanahisi kwamba Lulu anapenda sana kutembea na watu waliomzidi umri sana,
LULU: That’s true, sio uongo, sio sana, Napenda kudate mtu ambaye anayeweza kusimama kama mpenzi, kama kaka, kama baba, kama kiongozi. Sitakuwa tayari kuwa na ile...
10 years ago
Bongo Movies27 Jan
Faiza: Sipendi Kumuita Mpenzi Wangu “Baby” Napenda Kumuita...
Mwigizaji mrembo wa filamu hapa Bongo,Faiza Ally ameyasema hayo iliwa ni maoni yake juu ya swala la wapenzi kuitana baby.
“Leo kuna wakati nilikua nasikiliza Clouds fm nika sikia kuna wanaume hawapendi kuitwa baby!! wanahisi ni fake na wanaibiwa, kusema kweli mimi binafsi sipendi kumuita mwanaume mzima na akili zake na ndevu zake eti baby siwezi kutamka kwa sababu naona fake na mm mwenyewe sipendi kuitwa baby , kuna majina Mengi Kama honey ,darling mpenzi ni sawa japo mimi siyatumii pia...
10 years ago
Bongo516 Jan
Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-7U6-tWg3W2wUbGCq-J2SKi5NPmEcoFH5NRqJjEj7L5lrS6*epsOnUmf-SW016SW0byQE4h-CGsEY*EDRx55amr/Mama.jpg?width=650)
MAMA WA MTOTO WA MIAKA MIWILI,ASEMA: ‘HATA MIMI NAPENDA KUISHI KAMA WENGINE’
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XSuQTTqbOZI/VN0GjTI3UtI/AAAAAAAHDXI/8SV1y1UCxUc/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Balozi wa Jaymillions ahimiza wateja kuangalia kama namba zao zimeshinda kila siku
![](http://1.bp.blogspot.com/-XSuQTTqbOZI/VN0GjTI3UtI/AAAAAAAHDXI/8SV1y1UCxUc/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KnUxU6Ui0u8/VN0Gj1_DvgI/AAAAAAAHDXM/HODei4m4vOo/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ9miFc0z0-5jvYUIt-NbdefZ1RbO3cp7jh2SVrIQ112z5qQdcFdT6ZtrA9Q4EDOnsYG0DNyMMX6d2OUn4DD5Ynp/002.BALOZI.jpg)
BALOZI WA JAYMILLIONS AHIMIZA WATEJA KUANGALIA KAMA NAMBA ZAO ZIMESHINDA KILA SIKU
10 years ago
Bongo Movies20 Mar
Picha: Ahsante Mungu na Wazazi Wangu Kwakunifanya Mtamu!- Lulu
Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye hakuna anaebisha kuwa amejaaliwa uzuri wa sura na umbo, kupitia ukursa wake wa instagram amemshuruku Mungu na wazazi wake kwa mfanya kuwa zaidi ya mcharo, yaani ni mtamuuuu.
“Ahsante kwa Mungu....Shoutout kwa Mama & Baba Lulu + Make up….u'all knw wat I mean....Kitu Mcharo plus…..(Basi kuna watu wata panic......kufwaaaa 4 me)”-Lulu aliandika na kubandika picha hizo hapo juu.
Jionee neema za Muumba hapo juu, mimi nimempa kumi...
10 years ago
Vijimambo26 Jan
HUU NI UJUMBE WANGU KWAKO
![](https://scontent-a-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/s480x480/10420254_757889444286965_1469981421397225592_n.jpg?oh=cd2fa62f3ce129260f85aab0b545b8f7&oe=5555045A)