Balozi wa Jaymillions ahimiza wateja kuangalia kama namba zao zimeshinda kila siku
Balozi wa Promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania Hilary Daud”Zembwela” (kulia) akisalimiana na Mshindi wa kwanza wa shilingi milioni 100 kupitia promosheni hiyo mkazi wa Kilolo mkoani Iringa Uwezo Magedenge (22)mara alipomtembelea hotelini kwake alipofikia jijini Dar es Salaam kabla ya kukabidhiwa kitita chake wiki iliyopita na kurudi mkoani Iringa. Mshindi wa kwanza wa shilingi milioni 100 kupitia promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ,Uwezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBALOZI WA JAYMILLIONS AHIMIZA WATEJA KUANGALIA KAMA NAMBA ZAO ZIMESHINDA KILA SIKU
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF ATEMBELEA KIJIJI CHA FUKUCHANI KUANGALIA MAAFA YALIYOWAKUMBA WANANCHI BAADA YA NYUMBA ZAO KUEZULIWA NA UPEPO MKALI
10 years ago
VijimamboWATEJA WA SELCOM KUJINYAKULIA TSH 100,000 KILA SIKU
10 years ago
GPLWATEJA WA AIRTEL KUSHINDA GARI MOJA KILA SIKU
9 years ago
Vijimambo10 years ago
MichuziWateja wote wa Vodacom Tanzania kuperuzi intaneti bure kwa masaa 2 kila siku asubuhi
Promosheni hii imeanzishwa kutokana na kuonenakana kuwepo kwa mahitaji makubwa ya matumizi ya data katika kupata taarifa kupitia mtandao wa intaneti.Vodacom Tanzania siku zote imekuwa mstari wa mbele kubuni huduma...
10 years ago
GPLWATEJA WA VODACOM CHANGAMKIA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS
10 years ago
MichuziZAIDI YA BILIONI 29 ZINAWASUBIRI WATEJA WA VODACOM KUPITIA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS
Akiongea baada ya kumalizika kwa droo ya sita ya promosheni hiyo ambayo ilifanyikiwa kupata washindi wa muda wa maongezi kufikia idadi ya 947 na kutokufanikiwa kupata mshindi wa fedha taslimu na kubakia na idadi ileile ya washindi watano waliojishindia...
9 years ago
MichuziWateja wa Airtel kuangalia vipindi vya television kupitia simu za mkononi
Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando akionyesha huduma mpya ya "Airtel TV" inavyofanya kazi wakati wa uzinduzi wa huduma hiyoitakayowawezesha wateja wa Airtel kuangalia vipindi katika vituombalimbali vya television kupitia simu zao za mkononi, akishuhudia niMeneja huduma za ziada wa Airtel,Prisca Tembo.Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya "Airtel TV" itakayowawezesha wateja wa Airtel kuangalia vipindi katika vituo...