Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANASIASA KILA KUKICHA NI KUWADANGANYA WANANCHI NA KUPINGANA NA KAULI ZAO WENYEWE SIASA KAMA HIZI NDIZO ZNAZOIANGAMIZA TANZANIA

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mr Chuz: Hizi ndizo kanuni 10 za maisha yangu ya kila siku

>Mtayarishaji  wa filamu na Mkurugenzi wa Kundi la Tuesday Entertainment Ltd, Tuesday Kihangala maarufu Mr Chuzi, amezitaja sababu zinazomfanya aendelee kuwepo na kufanya vizuri kwenye tasnia licha ya kuwepo kwa tuhuma nyingi na tofauti dhidi yake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa’

WANANCHI wametakiwa kuwa makini na kauli za wanasiasa, kwani si kila kitu wanachosema ni cha kweli kwa kuwa baadhi yao hupotosha jamii kwa maslahi yao binafsi. Akizungumza wakati wa harambee...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa-IPTL

SONY DSC

Katibu na Mshauri Mkuu wa Makapuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Bw. Joseph Makandege, (mwenye suti nyeusi kushoto) akimkabidhi Mwinjilisti wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba Wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Bi Martha Musa Kivuyo (mwenye nguo nyeupe), mfano wa hundi ya Shilingi milioni 10 kati ya Silingi milioni 20 (Tsh 20m/-) iliyotolewa na kampuni ya IPTL/PAP, kusaidia kwaya ya Patano la Usharika wa Likamba...

 

10 years ago

Michuzi

Wananchi waaswa kuwa makini na kauli za wanasiasa-IPTL

Katibu na Mshauri Mkuu wa Makapuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Bw. Joseph Makandege, (mwenye suti nyeusi kushoto) akimkabidhi Mwinjilisti wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba Wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Bi Martha Musa Kivuyo (mwenye nguo nyeupe), mfano wa hundi ya Shilingi milioni 10 kati ya Silingi milioni 20 (Tsh 20m/-) iliyotolewa na kampuni ya IPTL/PAP, kusaidia kwaya ya Patano la Usharika wa Likamba...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

HIZI NDIO MBINU ZA CCM ZA KUIBIA WANANCHI KURA ZAO

Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania wa kutoka Zanzibar na Tanganyika. Ama sina budi ila kumshukuru Allah Salawatu Wasalamu, kwakunipatia uzima, pumzi na wasia wakuweza kuandika Makala hii kwenu nyinyi WAZALENDO WA ZANZIBAR NA TANGANYIKA. Kama tulivosikia katika […]

The post HIZI NDIO MBINU ZA CCM ZA KUIBIA WANANCHI KURA ZAO appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

GPL

WOLPER: NIMECHOKA KUTUKANWA KILA KUKICHA

Stori: GLADNESS MALLYA MOYO unauma! Baada ya kutukanwa matusi ya nguoni kwenye mitandao ya kijamii na blogs, kwa mara ya kwanza staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe amefunguka na kudai kwamba amechoka kutukanwa kila kukicha lakini pamoja na hayo yote hatingishiki kwa lolote. Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe. Habari zilieleza kuwa kwenye mitandao ya kijamii hasa Instagram, Wolper amekuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Okwi: Nilikuwa naomba kila kukicha

SIKU chache baada ya mshambuliaji Emmanuel Okwi kuruhusiwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kukipiga Yanga, amesema alikuwa akiomba kila kukicha utolewe uamuzi sahihi kwake. Okwi alizuiliwa na Shirikisho...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi wa Jaymillions ahimiza wateja kuangalia kama namba zao zimeshinda kila siku

Balozi wa Promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania Hilary Daud”Zembwela” (kulia) akisalimiana na Mshindi wa kwanza wa shilingi milioni 100 kupitia promosheni hiyo mkazi wa Kilolo mkoani Iringa Uwezo Magedenge (22)mara alipomtembelea hotelini kwake alipofikia jijini Dar es Salaam kabla ya kukabidhiwa kitita chake wiki iliyopita na kurudi mkoani Iringa. Mshindi wa kwanza wa shilingi milioni 100 kupitia promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ,Uwezo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani