Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa-IPTL

SONY DSC

Katibu na Mshauri Mkuu wa Makapuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Bw. Joseph Makandege, (mwenye suti nyeusi kushoto) akimkabidhi Mwinjilisti wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba Wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Bi Martha Musa Kivuyo (mwenye nguo nyeupe), mfano wa hundi ya Shilingi milioni 10 kati ya Silingi milioni 20 (Tsh 20m/-) iliyotolewa na kampuni ya IPTL/PAP, kusaidia kwaya ya Patano la Usharika wa Likamba...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

‘Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa’

WANANCHI wametakiwa kuwa makini na kauli za wanasiasa, kwani si kila kitu wanachosema ni cha kweli kwa kuwa baadhi yao hupotosha jamii kwa maslahi yao binafsi. Akizungumza wakati wa harambee...

 

10 years ago

Michuzi

Wananchi waaswa kuwa makini na kauli za wanasiasa-IPTL

Katibu na Mshauri Mkuu wa Makapuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Bw. Joseph Makandege, (mwenye suti nyeusi kushoto) akimkabidhi Mwinjilisti wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba Wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Bi Martha Musa Kivuyo (mwenye nguo nyeupe), mfano wa hundi ya Shilingi milioni 10 kati ya Silingi milioni 20 (Tsh 20m/-) iliyotolewa na kampuni ya IPTL/PAP, kusaidia kwaya ya Patano la Usharika wa Likamba...

 

9 years ago

Michuzi

WANANCHI KUWENI MAKINI NA WANAOCHOCHEA CHUKI-BALOZI SEIF IDDI

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Wananchi wa Kijiji cha Kwale Wilaya ya Micheweni wakati alipowasili kuzungumza nao. Balozi Seif akizungumza na Wananchi na Wana
CCM wa Kijiji cha Kwale Wilaya ya Micheweni akitekeleza ahadi aliyotoa
kwa Wazee Waasisi wa Kijiji hicho ya kufika kusalimiana nao. Baadhi ya Wananchi na wanaCCM wa Kijiji cha Kwale
wakifuatilia Hotuba ya Balozi Seif hayupo pichani alipofika Kjijini
hapo kusalimiana nao.
MAKAMU wa Pili wa Rais wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

RC: Wakulima kuweni makini na mikataba

WAKULIMA wa zao la mpunga, mkoani Mbeya wametakiwa kuwa makini wanapotaka kuingia mikataba na makampuni mbalimbali yanayojihusisha na kilimo sambamba na benki zinazotoa mikopo ambayo lengo lao kubwa ni kutaka...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wanasheria kuweni makini na mikataba’

Wanasheria wa Serikali wametakiwa kutetea masilahi ya umma wakati wa kusaini mikataba na wawekezaji katika sekta ya gesi na mafuta.

 

11 years ago

Mwananchi

NHC: Kuweni makini na madalali

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limewatahadharisha wananchi kujiepusha na watu wanaojifanya madalali katika utoaji wa nyumba zake mpya.

 

10 years ago

Habarileo

‘Kuweni makini wakati wa Uchaguzi Mkuu’

WAKATI nchi ikielekea kwenye mchakato wa kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa na Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge na Madiwani, waumini wa dini ya Kiislamu nchini wametakiwa kuwa makini na wanasiasa ambao wamekuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na utulivu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasaka ajira ugenini kuweni makini-IOM

Shirika la Kimataifa la Wahamiaji (IOM), limewaonya watu wanaopenda kwenda kufanya kazi katika nchi nyingine, dhidi ya ongezeko la mashirika yanayosafirisha binadamu kwa kivuli cha kutoa misaada ya kibinadamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani