WANANCHI KUWENI MAKINI NA WANAOCHOCHEA CHUKI-BALOZI SEIF IDDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2oRUA-niL6s/Ve3kG3TeH0I/AAAAAAAH3Mo/ZeR2vftPDeU/s72-c/305.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Wananchi wa Kijiji cha Kwale Wilaya ya Micheweni wakati alipowasili kuzungumza nao.
Balozi Seif akizungumza na Wananchi na Wana
CCM wa Kijiji cha Kwale Wilaya ya Micheweni akitekeleza ahadi aliyotoa
kwa Wazee Waasisi wa Kijiji hicho ya kufika kusalimiana nao. Baadhi ya Wananchi na wanaCCM wa Kijiji cha Kwale
wakifuatilia Hotuba ya Balozi Seif hayupo pichani alipofika Kjijini
hapo kusalimiana nao.
MAKAMU wa Pili wa Rais wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q5SpIk_kUpk/U66hnC1PwHI/AAAAAAAFtVU/9Ib4pUMRb3M/s72-c/967.jpg)
BALOZI SEIF IDDI AZIKUMBUSHA KAMATI ZA MISIKITI NCHINI KUWA MAKINI NA MADARASA YA UCHOCHEZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q5SpIk_kUpk/U66hnC1PwHI/AAAAAAAFtVU/9Ib4pUMRb3M/s1600/967.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nk4LClbfJ9I/U66hgu_ntHI/AAAAAAAFtVE/G4Z1VhxFVfs/s1600/933.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amezikumbusha Kamati za Misikiti hapa nchini kuendelea kuwa imara...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o6rKDu0gOTA/VS1BX2yqfVI/AAAAAAAHRJU/YwsTLvN_Rt0/s72-c/939.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AWAKUMBUSHA WANANCHI KUWAUNGA MKONO VIONGOZI WANAOWASIMAMIA HARAKATI ZA MAENDELEO YAO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-o6rKDu0gOTA/VS1BX2yqfVI/AAAAAAAHRJU/YwsTLvN_Rt0/s1600/939.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1lgCSAeOn3Y/VS1BXgqvJPI/AAAAAAAHRJY/AxDMPhN40es/s1600/940.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
‘Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa’
WANANCHI wametakiwa kuwa makini na kauli za wanasiasa, kwani si kila kitu wanachosema ni cha kweli kwa kuwa baadhi yao hupotosha jamii kwa maslahi yao binafsi. Akizungumza wakati wa harambee...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JJvUYu8vIBs/XuY8UNAej6I/AAAAAAALtzQ/5CTrOmgcoFA0MG4od30OP6vg5GrPFfDiQCLcBGAsYHQ/s72-c/913.jpg)
WANA CCM,WANANCHI WAJITAFAKARI KUMCHAGUA KIONGOZI ATAKAYEWAFAA KUWAONGOZA KIPINDI KIJACHO-BALOZI SEIF ALI IDDI
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema wakati muda wa kuelekea katika uchaguzi Mkuu unakaribia Wana CCM na Wananchi wana fursa nzuri ya kutafakari Kiongozi atakayefaa kuwaongoza katika kipindi kijacho cha Miaka Mitano.
Alisema Viongozi wanaofaa kushika hatamu ya kuwaongoza vyema ni wale wenye uwezo kamili wa kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM inayokwenda kisasa katika mazingira ya Karne ya sasa ya Sayansi na Teknolojia Ulimwenguni.
Balozi Seif Ali Iddi alitoa Kauli...
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa-IPTL
Katibu na Mshauri Mkuu wa Makapuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Bw. Joseph Makandege, (mwenye suti nyeusi kushoto) akimkabidhi Mwinjilisti wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba Wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Bi Martha Musa Kivuyo (mwenye nguo nyeupe), mfano wa hundi ya Shilingi milioni 10 kati ya Silingi milioni 20 (Tsh 20m/-) iliyotolewa na kampuni ya IPTL/PAP, kusaidia kwaya ya Patano la Usharika wa Likamba...
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Balozi Seif Iddi awata kuhama wananchi wanaoishi kwenye nyumba kuu kuu za mji Mkongwe
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiangalia nyumba iliyoporomoka dari na kujeruhi wakazi wake watatu hapo Mtaa wa Ukutani Mjini Zanzibar. Kushoto kwa Balozi Seif ni Mmiliki wa Nyumba Hiyo Bwana Mzee Abdulla Juma.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewaagiza wananchi wanaoishi kwenye nyumba mbovu na zile zilizochakaa ndani ya Mji Mkongwe wa Zanzibar wafanye utaratibu wa kuhama kwenye nyumba hizo mapema iwezekanavyo ili kunusuru maisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X4ovIDcNZyc/XqvHwaaQsxI/AAAAAAALou8/y42n7Uqd5D4akMGYp72UsTXzI7vg1tpcgCLcBGAsYHQ/s72-c/663.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi awaomba Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoa Elimu kwa Wananchi kuhusu mapambano dhidi ya Virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-X4ovIDcNZyc/XqvHwaaQsxI/AAAAAAALou8/y42n7Uqd5D4akMGYp72UsTXzI7vg1tpcgCLcBGAsYHQ/s640/663.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1lfwQBFlQPA/XqvHwQ7EDjI/AAAAAAALou4/CwIBf5JoR1grtJGU4DgldwzJvlJN2JhXgCLcBGAsYHQ/s640/669.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PJtNMZxq__w/UvXVoqdhP5I/AAAAAAAFLs0/A00maSGFGUw/s72-c/unnamed+(47).jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Malaysia aagana na balozi iddi seif zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-PJtNMZxq__w/UvXVoqdhP5I/AAAAAAAFLs0/A00maSGFGUw/s1600/unnamed+(47).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXcPYJlqNp8/VNNVFWsqMjI/AAAAAAAHB7M/2xGFE32hcLU/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akutana na Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...