Balozi wa Tanzania nchini Malaysia aagana na balozi iddi seif zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-PJtNMZxq__w/UvXVoqdhP5I/AAAAAAAFLs0/A00maSGFGUw/s72-c/unnamed+(47).jpg)
Makamu wa Pili wa Rais Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Balozi Idd Seif akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Malaysia Dkt. Aziz Ponary Mlima alipokwenda kumtembelea Ofisini kwake Zanzibar. Dkt. Mlima alikwenda kujitambulisha na kuwaaga viongozi wa Juu wa Kitaifa Zanzibar, na alikutana na Makamu wa Kwanza Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Seif Shariff Hamad.
Dkt. Mlima aliteuliwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete kwenda kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXcPYJlqNp8/VNNVFWsqMjI/AAAAAAAHB7M/2xGFE32hcLU/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akutana na Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s72-c/446.jpg)
BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI JAPAN NA BALOZI MALAWI NCHINI TANZANIA, PIA AZUNGUMZA NA GAVANA MKUU WA JIMBO LA SIUSTAN NA BALACHESTAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s640/446.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kUUQfzL_m08/VUtWDwYmJSI/AAAAAAAA8qo/9wUVpgBYG3k/s640/456.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xG9UXjRoONk/VUtWEr1lsjI/AAAAAAAA8q0/mS76wPhdk48/s640/458.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aagana na Balozi wa Botswana nchini Tanzania Ikulu Dar, akutana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Botswana nchini Tanzania, anayemaliza muda wake, Oliphant Tuelonyana, aliyefika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Botswana nchini Tanzania, anayemaliza muda wake, Oliphant Tuelonyana,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lmm0fiL-JMY/VEjzJthOegI/AAAAAAAGs6M/SwBeA7Q-Qmc/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA BOTSWANA NCHINI,PIA AKUTANA NA BALOZI WA RWANZA NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lmm0fiL-JMY/VEjzJthOegI/AAAAAAAGs6M/SwBeA7Q-Qmc/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i0DAZLpXP_k/VEjzK1awnMI/AAAAAAAGs6c/eP8mY-ztSAo/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hNQoXGR24Zg/U9Y4emYBfeI/AAAAAAAF7WA/4Bdh1EcaYVY/s72-c/unnamed+(11).jpg)
DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI URUSI, AMKARIBISHA BALOZI MPYA WA UJERUMAN NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-hNQoXGR24Zg/U9Y4emYBfeI/AAAAAAAF7WA/4Bdh1EcaYVY/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FAB2Xd7mm20/U9Y4ehAGwQI/AAAAAAAF7V4/ooixvYJx6UI/s1600/unnamed+(12).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4z3bUidKufM/U3zLGxGHB0I/AAAAAAAFkPg/e2MhfHtU9QU/s72-c/unnamed+(15).jpg)
balozi wa Tanzania nchini Sweeden aagana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-4z3bUidKufM/U3zLGxGHB0I/AAAAAAAFkPg/e2MhfHtU9QU/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-riZMsEEHAKM/U3zLHduo-GI/AAAAAAAFkPk/6KApaze5q98/s1600/unnamed+(16).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4pR4h8KkUo8/VHIWaKQKYEI/AAAAAAACTT0/vin8hHYESsI/s72-c/498.jpg)
BALOZI SEIF IDDI ZIARAN NCHINI CHINA
![](http://1.bp.blogspot.com/-4pR4h8KkUo8/VHIWaKQKYEI/AAAAAAACTT0/vin8hHYESsI/s640/498.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Bh4OZv_YxrI/VHIWZ-cgRWI/AAAAAAACTT4/MWKR4BgWaO0/s640/522.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-KPjCt49MsxQ/VheQ5yBN8xI/AAAAAAABJnU/S9zSKwCMXtg/s72-c/397.jpg)
BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI MPYA WA DENMARK NCHINI TANZANIA, EINAR HEBOGARD JENSEN
![](http://1.bp.blogspot.com/-KPjCt49MsxQ/VheQ5yBN8xI/AAAAAAABJnU/S9zSKwCMXtg/s640/397.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fAmKLi5WSc4/VheQ7P-a0iI/AAAAAAABJnc/Mc5rFM1Z8p8/s640/423.jpg)
Denmark imeahidi kuendelea kuiunga Mkono Zanzibar katika harakati zake za Kiuchumi na...