Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC: Wakulima kuweni makini na mikataba

WAKULIMA wa zao la mpunga, mkoani Mbeya wametakiwa kuwa makini wanapotaka kuingia mikataba na makampuni mbalimbali yanayojihusisha na kilimo sambamba na benki zinazotoa mikopo ambayo lengo lao kubwa ni kutaka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Wanasheria kuweni makini na mikataba’

Wanasheria wa Serikali wametakiwa kutetea masilahi ya umma wakati wa kusaini mikataba na wawekezaji katika sekta ya gesi na mafuta.

 

11 years ago

Mwananchi

Kuweni makini na mikataba kazi nje ya nchi - ushauri

>Wananchi wametakiwa kuwa makini na mikataba ya kazi waipatayo nje ya nchi ili kukabiliana na changamoto ya usafirishaji haramu wa binadamu.

 

11 years ago

Mwananchi

NHC: Kuweni makini na madalali

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limewatahadharisha wananchi kujiepusha na watu wanaojifanya madalali katika utoaji wa nyumba zake mpya.

 

10 years ago

Habarileo

‘Kuweni makini wakati wa Uchaguzi Mkuu’

WAKATI nchi ikielekea kwenye mchakato wa kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa na Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge na Madiwani, waumini wa dini ya Kiislamu nchini wametakiwa kuwa makini na wanasiasa ambao wamekuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na utulivu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa’

WANANCHI wametakiwa kuwa makini na kauli za wanasiasa, kwani si kila kitu wanachosema ni cha kweli kwa kuwa baadhi yao hupotosha jamii kwa maslahi yao binafsi. Akizungumza wakati wa harambee...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF kuweni makini mzunguko wa pili wa ligi

Mzunguko wa pili na mwisho wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2013/14 unaanza Jumamosi ijayo kwa timu mbalimbali kushuka viwanjani kuwania pointi tatu muhimu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa-IPTL

SONY DSC

Katibu na Mshauri Mkuu wa Makapuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Bw. Joseph Makandege, (mwenye suti nyeusi kushoto) akimkabidhi Mwinjilisti wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba Wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Bi Martha Musa Kivuyo (mwenye nguo nyeupe), mfano wa hundi ya Shilingi milioni 10 kati ya Silingi milioni 20 (Tsh 20m/-) iliyotolewa na kampuni ya IPTL/PAP, kusaidia kwaya ya Patano la Usharika wa Likamba...

 

11 years ago

Mwananchi

Wasaka ajira ugenini kuweni makini-IOM

Shirika la Kimataifa la Wahamiaji (IOM), limewaonya watu wanaopenda kwenda kufanya kazi katika nchi nyingine, dhidi ya ongezeko la mashirika yanayosafirisha binadamu kwa kivuli cha kutoa misaada ya kibinadamu.

 

11 years ago

GPL

WATOA HUDUMA HII KUWENI MAKINI NA MASHIMO BARABARANI

Dada huyu akipata huduma ya kubebwa kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha. ...Mbebaji na mbebwa wote ndani ya maji baada ya kudondoka.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani