MAMA WA MTOTO WA MIAKA MIWILI,ASEMA: ‘HATA MIMI NAPENDA KUISHI KAMA WENGINE’
![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-7U6-tWg3W2wUbGCq-J2SKi5NPmEcoFH5NRqJjEj7L5lrS6*epsOnUmf-SW016SW0byQE4h-CGsEY*EDRx55amr/Mama.jpg?width=650)
Stori: Mwandishi Wetu NI kweli kama binadamu hujafa hujaumbika! Maana ya msamiati huu ni kwamba, siku binadamu anapoingia kaburini ndipo kuumbika kwake kulivyo! Selitian Nata (25) mkazi wa Kijiji cha Kisogo Kata ya Vigwaza Wilaya ya Bagamoyo, Pwani amejikuta katika wakati mgumu kufuatia mguu wake wa kushoto kuvimba mfano wa tende kwa ugonjwa ambao bado haujapata tiba. Selitian Nata (25) mkazi wa Kijiji cha Kisogo Kata ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Mama ajeruhi mtoto wake wa miaka miwili
10 years ago
Bongo506 Oct
AY asema mama yake na Sean Kingston humchukulia kama mwanae,’ hata kwenye Instagram yangu ana comment’
11 years ago
GPLDENTI: HATA MIMI NILIPENDA KUWA KAMA NINYI
9 years ago
Bongo509 Nov
Angelina Jolie: Mimi na Brad Pitt tuna matatizo kama wanandoa wengine
![bradjelina_2980307b](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/bradjelina_2980307b-300x194.jpg)
Mastaa nao wapo kama sisi tu.
Angelina Jolie alizungumzia maisha na mume wake Brad Pitt Jumapili ya Nov. 8, na kuweka wazi kuwa mastaa hao nao wana wakati wa shida na raha kama watu wengine kwenye uhusiano.
“Mimi na Brad tuna matatizo kama wanandoa wengine wowote,” Jolie, 40, aliliambia gazeti la The Telegraph wakati akipromote filamu yake mpya, By the Sea. “Tuna siku ambazo hujikasirisha vibaya sana lakini matatizo kwenye filamu hii sio yetu wenyewe.”
Filamu hiyo iliyoongozwa na Jolie...
10 years ago
Bongo520 Aug
Papa Francis asema atakufa baada ya miaka miwili au mitatu
11 years ago
Mwananchi14 Jun
UKATILI: Mtoto ateswa miaka miwili
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaKbPBIekOqTykBdW98cq*yXV7hol7wMo9XPb7q-Gk7RoX8FvGHv00nhFwVLDpa7lM1Tb1ySd0FtdYnP2rF1R93G/Mtoto.jpg?width=640)
MAMA: NISAIDIENI MWANANGU AWE KAMA WATOTO WENGINE
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2zExn--dW5g/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies04 Mar
Nisha: Mimi ni Msanii Wa Filamu,Ila Napenda Muziki
Mwigizaji wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema japo kuwa anafanya sanaa ya uigizaji ila anapenda sana kuwa mwanamuziki.
Nisha aliyasema hayo hivi majuzi alipokuwa kwenye studio za THT pamoja na mastaa wengine wakirekoni wimbo maalumu wa maombolezo ya msiba wa marehemu Captain John Komba.
Kila la kheri Nisha kama kweli unakipaji,...nitafurahi kama ukija kivingine, uwe tofauti na kina shilole na H mama.
Mzee wa Ubuyu