Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MARIAM MARTHA - Mimi Ni Mama (Official Video Song) - Mimi Ni Mama

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mama:'Mimi huwahami wanangu kwa Kondomu'

Mama mmoja mjini Nairobi amechukua tahadhari kuwalinda vijana wake kwa kuwapa Kondomu ili kuwalinda dhidi ya maradhi ya Ukimwi

 

9 years ago

Raia Tanzania

9 years ago

Global Publishers

9 years ago

Mtanzania

Mama Lowassa: Kwanini wamtungie mume wangu uongo? Waniulize mimi

0D6A4964NA AGATHA CHARLES, DAR ES SALAAM

MKE wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Regina, amesema anashindwa kuelewa ni kwanini watu wanatunga uongo kuhusu mumewe.

Akizungumza katika mkutano na wanawake kutoka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Regina alisema yeye ni mtu pekee anayemfahamu mumewe kuliko  mwingine yeyote.

“Huyu ni mume wangu, namfahamu kulikoni mtu mwingine yeyote… ni mchapakazi, ni mtu anayethamini utu, mpenda maendeleo, asiyependa unyanyasaji. Nashindwa...

 

5 years ago

CCM Blog

MAUAJI YA KIBARI RWANDA: 'MIMI NI MAMA-NILIUWA WAZAZI WA BAADHI YA WATOTO'

Fortunate MukankurangaHaki miliki ya pichaNATALIA OJEWSKAMaelfu ya wanawake walishiriki mauaji ya kimbari ya Rwanda 1994 lakini jukumu lao halijakuwa likizungumziwa, hali inayofanya maridhiano na familia zao kuwa ngumu.Mwanahabari Natalia Ojewska amekuwa akizungumza na baadhi ya wanawake hao gerezani.Kitu kilichoanza kama shughuli ya kawaida ya wanawake kuenda mtoni kuteka maji ya kutayarisha kiamsha kinywa, kiliishia kumfanya Fortunate Mukankuranga kutekeleza mauaji.Akiwa amevalia sare za wafungwa huku akiongea...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya kimbari Rwanda: ‘Mimi ni mama – niliuwa wazazi wa baadhi ya watoto'

Maelfu ya wanawake walishiriki mauaji ya kimbari ya Rwanda 1994 lakini jukumu lao halijakuwa likizungumziwa, hali inayofanya maridhiano na familia zao kuwa ngumu.

 

11 years ago

GPL

MAMA WA MTOTO WA MIAKA MIWILI,ASEMA: ‘HATA MIMI NAPENDA KUISHI KAMA WENGINE’

Stori: Mwandishi Wetu NI kweli kama binadamu hujafa hujaumbika! Maana ya msamiati huu ni kwamba, siku binadamu anapoingia kaburini ndipo kuumbika kwake kulivyo!
Selitian Nata (25) mkazi wa Kijiji cha Kisogo Kata ya Vigwaza Wilaya ya  Bagamoyo, Pwani amejikuta katika wakati mgumu kufuatia mguu wake wa kushoto kuvimba mfano wa tende kwa ugonjwa ambao bado haujapata tiba. Selitian Nata (25) mkazi wa Kijiji cha Kisogo Kata ya...

 

9 years ago

Vijimambo

H.Mama ft AT - Mkazurure (Official NEW Video HD)


Haya sasa yule mwigizaji Flora Mvungi a.k.a H MAMA naye kaanza kuimba. Hii ni video ya wimbo wake mpya uitwao MKAZURURE na amemshirikisha AT. Utazame hapa halafu tuambie anafaa kuwa mwimbaji au abaki na Bongo movies tu.. SHARE na wengine waone

 

9 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani