Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DENTI: HATA MIMI NILIPENDA KUWA KAMA NINYI

Kijana Amos Ng’arare Sasi mwenye umri wa miaka 21, mkazi wa Kijiji cha Kizaru, Kata ya Mryaza, Musoma vijijni anyesumbuliwa na uvimbe. Ni mateso makubwa.
Kwa karibu miaka 17 sasa, kijana Amos Ng’arare Sasi mwenye umri wa miaka 21, mkazi wa Kijiji cha Kizaru, Kata ya Mryaza, Musoma vijijni anataabika kwa ugonjwa ambao umempeleka katika hospitali nyingi bila mafanikio. Kama angeendelea na masomo yake vizuri, hivi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMA WA MTOTO WA MIAKA MIWILI,ASEMA: ‘HATA MIMI NAPENDA KUISHI KAMA WENGINE’

Stori: Mwandishi Wetu NI kweli kama binadamu hujafa hujaumbika! Maana ya msamiati huu ni kwamba, siku binadamu anapoingia kaburini ndipo kuumbika kwake kulivyo!
Selitian Nata (25) mkazi wa Kijiji cha Kisogo Kata ya Vigwaza Wilaya ya  Bagamoyo, Pwani amejikuta katika wakati mgumu kufuatia mguu wake wa kushoto kuvimba mfano wa tende kwa ugonjwa ambao bado haujapata tiba. Selitian Nata (25) mkazi wa Kijiji cha Kisogo Kata ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Hivi huu mkanganyiko ni mimi tu au na ninyi mnauona?

Wahenga walisema anayeshindana na wakati atagonga ukuta

 

11 years ago

GPL

HATA KAMA YUKO MBALI, UNAWEZA KUWA KARIBU NAYE! - 3

TUNAENDELEA kujifunza mbinu za kumsogeza mwenzi wako karibu. Tumeshaona mengi katika matoleo yaliyopita. Rafiki zangu, wakati mwingine majukumu ya kikazi husababisha wenzi au wanandoa wakaa mbalimbali. Jambo hilo huwa changamoto kubwa sana kwa wengi, hushindwa kujua namna ya kuboresha uhusiano wao ili waweze kuendelea kuwa na uhusiano wenye nguvu. Katika matoleo yaliyopita tuliona jinsi mwanamke anavyoweza kufanya kwa mwanaume...

 

9 years ago

Vijimambo

HATA WEWE UNAWEZA KUWA KAMA DULLAH USIKATE TAMAA!!

Hiyu ni Dulla Starfitness wa Brooklyn. NY  ndoto zake kuwa bingwa wa NPC Brooklyn Grand Prix, katika mashindano yaliyo fanyika mwezi wa kumi  Dulla aliingia kwenye top 5. Sasa anajifua zaidi hili atimize ndoto zake za kuwa champion wa Bikini and Physique kwenye mashindano yanayokuja.
Mashindano yaliyopita akiwa na vazi la ufukweni.

 

11 years ago

GPL

HATA KAMA YUKO MBALI, UNAWEZA KUWA KARIBU NAYE! - 2

UMBALI katika uhusiano, mara nyingi husababisha hofu. Fikra za usaliti hutawala sana kwa wenzi wanaoishi mbali. Lakini vipi, mwenzako asisafiri au asiishi mbali kwa kuhofia hayo wakati kitendo hicho kinasababishwa na jukumu la kikazi? Ndugu zangu, baadhi yetu, kama hatutakuwa makini, umbali huweza kuchochea usaliti. Lakini kuna njia ambazo zikitumika kwa usahihi, husaidia kuliweka penzi hai na kuzidi kuwa na mshawasha mkubwa....

 

9 years ago

GPL

DENTI ATOKWA MAGAMBA KAMA YA NYOKA

MATESO! Mtoto aitwaye Chacha Robert (15), (pichani), mkazi wa Musoma, Mara anateseka na ugonjwa wa ajabu wa kuota magamba kama ya nyoka sehemu ya mwili hali inayomsababishia kutengwa na jamii.....Soma zaidi===>http://bit.ly/1KiyJNS

 

10 years ago

GPL

WEMA; HATA MIMI NINGEKUWA AUNT EZEKIEL NINGEGOMBANA NA WEWE

Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu.
Oscar ndauka
LICHA ya kupatana, habari ya mjini kwa sasa ni ugomvi mkali, wenye visa  vya kushangaza kati ya mastaa wawili wa sinema za Bongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel.Hii ‘kapo’ siku za karibuni, ilikuwa nzuri kwa maana ya urafiki wao mkubwa.Urafiki wa Wema na Aunt ulianza pale Wema alipoutengua urafiki wake na staa mwingine wa fani hiyo, Kajala Masanja. Wema Sepetu...

 

9 years ago

Raia Mwema

Hata kama ni jiwe tutalichagua!

KURA za maoni zilizotolewa kuonyesha Dk.

Privatus Karugendo

 

9 years ago

Dewji Blog

Mimi ndiye rais wa awamu ya tano, stishwi na mafuriko, hata Papa John II watu walifurika kumwona

press

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ukombozi wa Umma (CHAUMA) Hashim Rungwe akizungumza na waandishi wa habari wa Star TV, TBC na ITV juu ya hali ya kampeni ilivyo hadi sasa.(PICHA NA HILLARY SHOO).

Na Hillary Shoo, SINGIDA

ZIKIWA zimebaki siku 27 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi cha Chama  cha Ukombozi wa Umma CHAUMA, Hashim Rungwe, ametoa tathimini yake juu ya mwenendo wa kampeni pamoja na matumaini yake katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani