HATA WEWE UNAWEZA KUWA KAMA DULLAH USIKATE TAMAA!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-WCzzseZj93E/VjQKHUPaVtI/AAAAAAAEDJ4/RI6phq5o0k4/s72-c/12063329_869957319748336_3824875785000184772_n.jpg)
Hiyu ni Dulla Starfitness wa Brooklyn. NY ndoto zake kuwa bingwa wa NPC Brooklyn Grand Prix, katika mashindano yaliyo fanyika mwezi wa kumi Dulla aliingia kwenye top 5. Sasa anajifua zaidi hili atimize ndoto zake za kuwa champion wa Bikini and Physique kwenye mashindano yanayokuja.
Mashindano yaliyopita akiwa na vazi la ufukweni.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55K4t5txsPh9WXMhOr4f8dPB8GEBzOS4MuIU-uH-3D8-4egQxTd6PtzsWmvm-e9HjSKZ8rDaUiOM6slLpZagaOUN/mahaba.jpg?width=650)
HATA KAMA YUKO MBALI, UNAWEZA KUWA KARIBU NAYE! - 3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOR*mum7Vja67kobCnQ8NhNBJ2afF77BfhOIKGmHhYAjKle8B5k7fm-6eGCU8ccUXiFT0G*TD-qz0vh6dn1QkVve/mahaba.jpg?width=650)
HATA KAMA YUKO MBALI, UNAWEZA KUWA KARIBU NAYE! - 2
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZHwlIMnY51KXHspB1rmh2d3gvbrzQclbk8dPGg6h9V-e4LNWKQAWHJ5NLASFpw8za-ykag6U4Akh4cw5S-*WnUYlRjsKfOAk/blackcoupleondate.png?width=650)
SHOGA; HATA WEWE UNAWEZA KUMTOA ‘OUT’ MUMEO!
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Hata wewe unaweza kuungana na Diva the Bawse siku ya Christmas kuikamilisha hii..
Kwa wale watu wa ‘Ala za Roho’ ya Clouds FM najua jina la Diva sio geni kwao, mtu wa nguvu kabisa ambaye huwa anadondosha love stories kuanzia saa nne usiku Jumatatu mpaka Alhamisi. Love yake inaendelea na yuko tayari kuisogeza kwa watu wengine pia, Christmas ni Ijumaa ijayo, siku chache zimebaki kuifikia lakini mrembo Diva kaona […]
The post Hata wewe unaweza kuungana na Diva the Bawse siku ya Christmas kuikamilisha hii.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo521 Dec
Julio adai hatokata tamaa na muziki hata kama haumlipi
![Mshiriki wa BBA Julio](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/05/Mshiriki-wa-BBA-Julio-200x133.jpg)
Staa wa muziki na mshiriki wa shindano la Big Brother Africa 2012, Julio Batalia, amesema hategemei muziki umlipe kwani bado yupo kwenye hatua za kujitangaza.
Julio ameiambia Bongo5, kuwa ingawa muziki umekuwa wa gharama kubwa katika maandalizi, hana budi kuendelea kufanya hivyo hivyo ili kujitenga.
“Mimi naamini muziki ni process ya muda mrefu,” amesema. “Kwahiyo mafanikio huenda yakachelewa lakini yatakuja tu. Kwahiyo mimi nipo katika stage hiyo sijali sana muziki unilipe kwa sasa kwa...
9 years ago
Vijimambo16 Oct
MAMBO YA WIKIEND HAYO KAMA WEWE KAPO YA NGUVU HII INAKUHUSU UNAWEZA KUTUPIA HIVI KIROHO SAFI TU
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/10/16/20/2D69540600000578-3276444-image-m-18_1445024476540.jpg)
Kama wewe couple ya nguvu weekend hii unaweza kutupia kama hivi ukiwa na mama mwenye nyumba wako kiroho safi. Wale wenye wivu wajinyoge na toilet paper habari ndiyo hii jipendeni kwani maisha ni hapa hapa dunia.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/10/14/16/2D611DED00000578-0-Cute_The_Project_Runway_star_was_also_checking_out_her_art_deale-a-8_1444834902461.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 May
10 years ago
CloudsFM19 Nov
KALA JEREMIAH: NIMEOTESHWA KUANDIKA “USIKATE TAMAA”
Staa wa Hip Hop,Kala Jeremiah ambaye hivi karibuni alilamba mkataba wa kuwa balozi wa kampuni moja ya vinywaji kwa mwaka wa pili mfululizo.
Kala Jeremiah ana mipango ya kuachia ngoma mpya inaitwa ‘’Usikate Tamaa’’, ina aminika kuwa itashika kushika katika level za Dear god, Kala anasema idea ya ngoma hiyo imeanzia ndotoni.