Julio adai hatokata tamaa na muziki hata kama haumlipi
Staa wa muziki na mshiriki wa shindano la Big Brother Africa 2012, Julio Batalia, amesema hategemei muziki umlipe kwani bado yupo kwenye hatua za kujitangaza.
Julio ameiambia Bongo5, kuwa ingawa muziki umekuwa wa gharama kubwa katika maandalizi, hana budi kuendelea kufanya hivyo hivyo ili kujitenga.
“Mimi naamini muziki ni process ya muda mrefu,” amesema. “Kwahiyo mafanikio huenda yakachelewa lakini yatakuja tu. Kwahiyo mimi nipo katika stage hiyo sijali sana muziki unilipe kwa sasa kwa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Oct
Maunda Zorro adai hawezi kuendelea kufanya muziki wakati haumlipi
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-WCzzseZj93E/VjQKHUPaVtI/AAAAAAAEDJ4/RI6phq5o0k4/s72-c/12063329_869957319748336_3824875785000184772_n.jpg)
HATA WEWE UNAWEZA KUWA KAMA DULLAH USIKATE TAMAA!!
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xta1/v/t1.0-0/p480x480/12196006_881598785250856_2720597615634440580_n.jpg?oh=9cd5862835137f0baf656b46ee3d7450&oe=56B6E071)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WCzzseZj93E/VjQKHUPaVtI/AAAAAAAEDJ4/RI6phq5o0k4/s640/12063329_869957319748336_3824875785000184772_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_ZxDe-OAH50/VjQJ5jwlegI/AAAAAAAEDJw/ZwQlG5JKVBI/s640/12115859_872280102849391_4449423418057266086_n.jpg)
10 years ago
Bongo510 Feb
TID adai ni tamaa ndio iliyomuondoa Q-Chief Top Band
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q4Epy2fSOltfZh*3iem6vp19d9pCfkJZNNHTit2s194cY*koyenNtDPpTtOnITkcV31*FndG75vz2JtOgJdCnlwJXk2cUsC9/julio.jpg?width=650)
Julio: Tunakwenda Fifa kama alivyofanya Malinzi
9 years ago
Bongo501 Oct
Maunda Zorro ataja sababu iliyomkatisha tamaa na muziki
9 years ago
Bongo528 Sep
Inspekta Haroun: Muziki unahitaji mapambano, sijakata tamaa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AY5n-P37pIXUYNCtDwy27*SBm1XMGgF19nVtZoDo917kHuG8EmqTPwSCJO*U9kMc0AHf1EOmpw2n2guSkNAVUVSqz192piIa/JIDEEEE.jpg?width=650)
HATA WAKIACHA MUZIKI ‘HAWAFI NJAA’
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
10 years ago
Bongo Movies18 Jan
Iyobo: Hata Kama Aunt Amenizidi Umri
DANSA wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo amenyanyua kinywa chake na kusema hata kama mpenzi wake, Aunt Ezekiel amemzidi umri, ataendelea kumpenda hivyohivyo.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL juzikati, Iyobo.
alisema watu wengi wamekuwa wakihoji yeye kumpenda Aunt
ambaye ana umri wa miaka 29, hawajui tu mapenzi hayaangalii umri kwani miaka ni namba tu za kuhesabika.
“Age is just a number, mimi sioni tatizo kuwa na Aunt. Nategemeaanizalie, awe mama wa watoto wangu. Kuhusu wale...