TID adai ni tamaa ndio iliyomuondoa Q-Chief Top Band
Hivi karibuni kupitia kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, Q-Chief alidai kuwa sababu za kujiondoa kwenye bendi ya TID, Top Band ni baada ya muimbaji huyo wa ‘Zeze’ kumdhulumu mamilioni ya shilingi kutoka kwenye album ya bendi hiyo. Hata hivyo TID akiongea kwenye kipindi hicho hicho, amedai kuwa hiyo si sababu sahihi na kwamba […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Hii ndio kauli ya Louis van Gaal iliyomuondoa Chicharito katika klabu ya Man United …
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United anayekipiga katika klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani kwa sasa Javier Hernandez Chicharito amefunguka kwa nini aliamua kuondoka Man United. Chicharito ambaye aliondoka Man United mwaka 2015 baada ya kucheza kwa mkopo wa muda mfupi ndani ya klabu ya Real Madrid. Kwa mara ya kwanza Chicharito ndio anatajwa sababu […]
The post Hii ndio kauli ya Louis van Gaal iliyomuondoa Chicharito katika klabu ya Man United … appeared first on...
9 years ago
Bongo523 Oct
Q-Chief kuwashirikisha TID na Diamond
9 years ago
Bongo514 Nov
Video: TID na Q-Chief wazungumzia kazi yao mpya ‘Mkungu wa Ndizi’
![qchief](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/qchief-300x194.jpg)
Wasanii wakongwe nchini TID na Q-Chief wameachia kazi yao ya pamoja iitwayo ‘Mkungu wa Ndizi.’
Wakiongea na Bongo5, wasanii hao walisema kuwa wimbo huo wenye mahadhi ya pwani una tofauti kubwa na kazi zao za nyuma.
Wamesema wameamua kuileta tena ladha ya muziki wa pwani wa Afrika Mashariki ambayo wanaamini imepotea redioni na pia kuonesha ukongwe wao.
“Hii ngoma mimi naiweka kwenye history kwasababu watu walishasema ‘hivi hawa watakuja kufanya tena kazi pamoja!’, amesema Q-Chief.
Amedai...
10 years ago
Vijimambo12 Feb
Q Chief : “Mwambie TID aache kuvuta unga watu wote tushaacha sasa hivi..Tell him to do music not to talk about me”
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/q-chief6.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/tid_ray-c.jpg)
* Mwambie huyo Warioba kwamba Mugabe kakasirika kusikia...
9 years ago
Bongo521 Dec
Julio adai hatokata tamaa na muziki hata kama haumlipi
![Mshiriki wa BBA Julio](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/05/Mshiriki-wa-BBA-Julio-200x133.jpg)
Staa wa muziki na mshiriki wa shindano la Big Brother Africa 2012, Julio Batalia, amesema hategemei muziki umlipe kwani bado yupo kwenye hatua za kujitangaza.
Julio ameiambia Bongo5, kuwa ingawa muziki umekuwa wa gharama kubwa katika maandalizi, hana budi kuendelea kufanya hivyo hivyo ili kujitenga.
“Mimi naamini muziki ni process ya muda mrefu,” amesema. “Kwahiyo mafanikio huenda yakachelewa lakini yatakuja tu. Kwahiyo mimi nipo katika stage hiyo sijali sana muziki unilipe kwa sasa kwa...
9 years ago
Bongo527 Nov
Q-Chief adai ‘Mkungu wa Ndizi’ inahit kimataifa
![Chilla](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Chilla-300x194.jpg)
Q-Chief amedai amepokea pongezi nyingi kutoka mataifa mbalimbali baada ya wimbo wake aliofanya na TID ‘Mkungu wa Ndizi’ kutoka.
Muimbaji huyo amesema ikiwa ni wiki moja tangu aachie wimbo huo, amegundua kuwa umekuwa na mrejesho chanya na mkubwa wa kimataifa kuliko nyimbo zake alizowahi kufanya.
“Mwenyezi Mungu ametenda miujiza,” ameiambia Bongo5. “Sina jibu kwa nini wimbo wangu unanya vizuri zaidi nje, hata mimi nashangaa simu za nje ni nyingi sana kuhusu huu wimbo. Nimepigiwa siku...
9 years ago
Bongo518 Sep
Q Chief adai ngoma yake mpya ‘Chawa’ itasababisha mtafutano!
9 years ago
Bongo529 Sep
Meneja wa Q-Chief na MB Dog adai ameshatumia zaidi ya mil 300 kwa wasanii hao
10 years ago
Vijimambo16 May
'Bwege' adai wananchi ndio wameochoka kuibeba Serikali ya CCM
Alisema wapo wabunge wanaoitetea serikali, kwa kuibeba, lakini wapo wabunge wanaofanya kazi zao za kuikosoa.
Akichangia hotuba ya mwelekeo wa kazi za serikali, makadirio ya matumizi ya fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge kwa mwaka 2015/16 iliyowasilishwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda,...