Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: TID na Q-Chief wazungumzia kazi yao mpya ‘Mkungu wa Ndizi’

qchief

Wasanii wakongwe nchini TID na Q-Chief wameachia kazi yao ya pamoja iitwayo ‘Mkungu wa Ndizi.’

Wakiongea na Bongo5, wasanii hao walisema kuwa wimbo huo wenye mahadhi ya pwani una tofauti kubwa na kazi zao za nyuma.

Wamesema wameamua kuileta tena ladha ya muziki wa pwani wa Afrika Mashariki ambayo wanaamini imepotea redioni na pia kuonesha ukongwe wao.

“Hii ngoma mimi naiweka kwenye history kwasababu watu walishasema ‘hivi hawa watakuja kufanya tena kazi pamoja!’, amesema Q-Chief.

Amedai...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

YANGA 'YABEBESHWA MKUNGU WA NDIZI' KAITABA BUKOBA

 MASHABIKI WAINGILIA KATI CANAVARO KULIMWA RED, MWAMUZI AONDOKA CHINI YA ULINZIMSHAMBULIAJI Paul Ngway, leo ameiwezesha timu yake ya Kagera Sugar, kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu yaa Tanzania Bara, uliopigwa kwenye Uwanja wa kaitaba mjini Bukoba. Bao hilo pekee lilipatikana katika dakika ya 52.
Yanga SC ilimaliza mchezo huo huku wakiwa pungufu, baada ya Nahodha wake, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 80 na mwamuzi Abdallah...

 

10 years ago

Bongo5

Video: MB Dogg aezelea ujio mpya, ngoma yake na Q-Chief na bendi yao

MB Dogg amesaini mkataba mpya na kampuni ya QS Mhonda J ambayo ndiyo iliyomsainisha pia Q-Chief hivi karibuni. Wawili hao wataanzisha bendi ya pamoja ya kampuni yao, QS Music Band pamoja na waimbaji wengine. Akiongea na Bongo5 TV, MB Dogg amesema wiki ijayo wimbo alioshirikishwa na Q-Chief utaachiwa rasmi huku ngoma yake mwenyewe iitwayo ‘Herufi […]

 

9 years ago

Bongo5

Q-Chief adai ‘Mkungu wa Ndizi’ inahit kimataifa

Chilla

Q-Chief amedai amepokea pongezi nyingi kutoka mataifa mbalimbali baada ya wimbo wake aliofanya na TID ‘Mkungu wa Ndizi’ kutoka.

Chilla

Muimbaji huyo amesema ikiwa ni wiki moja tangu aachie wimbo huo, amegundua kuwa umekuwa na mrejesho chanya na mkubwa wa kimataifa kuliko nyimbo zake alizowahi kufanya.

“Mwenyezi Mungu ametenda miujiza,” ameiambia Bongo5. “Sina jibu kwa nini wimbo wangu unanya vizuri zaidi nje, hata mimi nashangaa simu za nje ni nyingi sana kuhusu huu wimbo. Nimepigiwa siku...

 

9 years ago

Bongo5

Q-Chief kuwashirikisha TID na Diamond

Q-Chief amesema tayari amesharekodi wimbo wa pamoja na swahiba wake TID na sasa yupo kwenye mazungumzo na Diamond Platnumz kuhakikisha anaibariki pia ngoma hiyo. Q amesema baada ya kuona wamemaliza tofauti zao, alimshauri TID kufanya wimbo wa pamoja kama wasanii wakongwe wa muziki wa Bongo Flava. “Nimerekodi na TID ambaye tulikuwa tuna mgogoro ndani ya […]

 

10 years ago

Bongo5

TID adai ni tamaa ndio iliyomuondoa Q-Chief Top Band

Hivi karibuni kupitia kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, Q-Chief alidai kuwa sababu za kujiondoa kwenye bendi ya TID, Top Band ni baada ya muimbaji huyo wa ‘Zeze’ kumdhulumu mamilioni ya shilingi kutoka kwenye album ya bendi hiyo. Hata hivyo TID akiongea kwenye kipindi hicho hicho, amedai kuwa hiyo si sababu sahihi na kwamba […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band wafanya uzinduzi rasmi wa nyimbo yao mpya ya Kariakoo pamoja na kutambulisha Studio yao mpya

skylight band 2

Meneja  wa Band ya Skylight Aneth Kushaba akielezea kwa kina uzinduzi Rasmi wa wimbo wao Mpya unaokwenda kwa jina la Kariakoo ambapo uzinduzi huo uliambatana na Video pamoja na Audio. Pia ametambulisha Rasmi Studio ya kurekodi Muziki ambapo sasa nyimbo zao watakuwa wanafanyia katika Studio yao.

skylight band

Kutoka kushoto ni mmoja wa waimbaji wa Skylight Band Sam Mapenzi, (katikati) ni Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba pamoja na Mwimbaji mwengine wa Skylight Band Joniko Flower wakiwa wanazungumza...

 

10 years ago

Bongo5

Navy Kenzo wazungumzia album mpya, ‘Niroge na wimbo mpya ‘Moyoni’

Kundi la Navy Kenzo linajiandaa kuachia wimbo wake mpya ‘Moyoni’ wiki hii huku pia likijiandaa kutoa album mpya, ‘Niroge’ mapema mwakani. Procuder Nahreel amesema maandalizi ya album mpya yako mbioni kufikia tamati. “Hii album itatoka January mwakani, maandalizi ni mazuri mpaka sasa hivi, nyimbo nane tayari, ambazo katika nyimbo nane hizo moja wapo tumemshirikisha Joh […]

 

10 years ago

Vijimambo

Q Chief : “Mwambie TID aache kuvuta unga watu wote tushaacha sasa hivi..Tell him to do music not to talk about me”

Kama ni mfatiliaji wa kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds Tv, utakuwa umekutana na interview ya T.I.D a.k.a Myama a.k.a Mzee Warioba akijibu swali la mtangazaji wa kipindi hicho “Casto Dickson” lililohusu sababu kubwa ya kuvunjika kwa Top Band,ambapo kwa TID alisema Q Chilla alikuwa na tamaa.*kama atadanganya mbele ya jamii kwamba nimempa chake na ye chake amekitumia tofauti kunichoresha sidhani kama ni mtu mzuri kwangu, ni mtu mbaya……
* Mwambie huyo Warioba kwamba Mugabe kakasirika kusikia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani