Video: TID na Q-Chief wazungumzia kazi yao mpya ‘Mkungu wa Ndizi’
Wasanii wakongwe nchini TID na Q-Chief wameachia kazi yao ya pamoja iitwayo ‘Mkungu wa Ndizi.’
Wakiongea na Bongo5, wasanii hao walisema kuwa wimbo huo wenye mahadhi ya pwani una tofauti kubwa na kazi zao za nyuma.
Wamesema wameamua kuileta tena ladha ya muziki wa pwani wa Afrika Mashariki ambayo wanaamini imepotea redioni na pia kuonesha ukongwe wao.
“Hii ngoma mimi naiweka kwenye history kwasababu watu walishasema ‘hivi hawa watakuja kufanya tena kazi pamoja!’, amesema Q-Chief.
Amedai...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6rrkNUm9klY/VFUnfAK5SCI/AAAAAAACSW4/zlCbv9IdWHg/s72-c/JUKWAA%2BLA%2BYANGA%2BPIX%2BNO%2B1.jpg)
YANGA 'YABEBESHWA MKUNGU WA NDIZI' KAITABA BUKOBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6rrkNUm9klY/VFUnfAK5SCI/AAAAAAACSW4/zlCbv9IdWHg/s640/JUKWAA%2BLA%2BYANGA%2BPIX%2BNO%2B1.jpg)
Yanga SC ilimaliza mchezo huo huku wakiwa pungufu, baada ya Nahodha wake, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 80 na mwamuzi Abdallah...
10 years ago
Bongo523 Aug
Video: MB Dogg aezelea ujio mpya, ngoma yake na Q-Chief na bendi yao
9 years ago
Bongo527 Nov
Q-Chief adai ‘Mkungu wa Ndizi’ inahit kimataifa
![Chilla](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Chilla-300x194.jpg)
Q-Chief amedai amepokea pongezi nyingi kutoka mataifa mbalimbali baada ya wimbo wake aliofanya na TID ‘Mkungu wa Ndizi’ kutoka.
Muimbaji huyo amesema ikiwa ni wiki moja tangu aachie wimbo huo, amegundua kuwa umekuwa na mrejesho chanya na mkubwa wa kimataifa kuliko nyimbo zake alizowahi kufanya.
“Mwenyezi Mungu ametenda miujiza,” ameiambia Bongo5. “Sina jibu kwa nini wimbo wangu unanya vizuri zaidi nje, hata mimi nashangaa simu za nje ni nyingi sana kuhusu huu wimbo. Nimepigiwa siku...
9 years ago
Bongo523 Oct
Q-Chief kuwashirikisha TID na Diamond
10 years ago
Bongo510 Feb
TID adai ni tamaa ndio iliyomuondoa Q-Chief Top Band
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Skylight Band wafanya uzinduzi rasmi wa nyimbo yao mpya ya Kariakoo pamoja na kutambulisha Studio yao mpya
![skylight band 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/skylight-band-2.jpg)
Meneja wa Band ya Skylight Aneth Kushaba akielezea kwa kina uzinduzi Rasmi wa wimbo wao Mpya unaokwenda kwa jina la Kariakoo ambapo uzinduzi huo uliambatana na Video pamoja na Audio. Pia ametambulisha Rasmi Studio ya kurekodi Muziki ambapo sasa nyimbo zao watakuwa wanafanyia katika Studio yao.
![skylight band](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/skylight-band.jpg)
Kutoka kushoto ni mmoja wa waimbaji wa Skylight Band Sam Mapenzi, (katikati) ni Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba pamoja na Mwimbaji mwengine wa Skylight Band Joniko Flower wakiwa wanazungumza...
10 years ago
Bongo524 Nov
Navy Kenzo wazungumzia album mpya, ‘Niroge na wimbo mpya ‘Moyoni’
10 years ago
Vijimambo12 Feb
Q Chief : “Mwambie TID aache kuvuta unga watu wote tushaacha sasa hivi..Tell him to do music not to talk about me”
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/q-chief6.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/tid_ray-c.jpg)
* Mwambie huyo Warioba kwamba Mugabe kakasirika kusikia...