Q-Chief adai ‘Mkungu wa Ndizi’ inahit kimataifa
Q-Chief amedai amepokea pongezi nyingi kutoka mataifa mbalimbali baada ya wimbo wake aliofanya na TID ‘Mkungu wa Ndizi’ kutoka.
Muimbaji huyo amesema ikiwa ni wiki moja tangu aachie wimbo huo, amegundua kuwa umekuwa na mrejesho chanya na mkubwa wa kimataifa kuliko nyimbo zake alizowahi kufanya.
“Mwenyezi Mungu ametenda miujiza,” ameiambia Bongo5. “Sina jibu kwa nini wimbo wangu unanya vizuri zaidi nje, hata mimi nashangaa simu za nje ni nyingi sana kuhusu huu wimbo. Nimepigiwa siku...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Nov
Video: TID na Q-Chief wazungumzia kazi yao mpya ‘Mkungu wa Ndizi’
![qchief](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/qchief-300x194.jpg)
Wasanii wakongwe nchini TID na Q-Chief wameachia kazi yao ya pamoja iitwayo ‘Mkungu wa Ndizi.’
Wakiongea na Bongo5, wasanii hao walisema kuwa wimbo huo wenye mahadhi ya pwani una tofauti kubwa na kazi zao za nyuma.
Wamesema wameamua kuileta tena ladha ya muziki wa pwani wa Afrika Mashariki ambayo wanaamini imepotea redioni na pia kuonesha ukongwe wao.
“Hii ngoma mimi naiweka kwenye history kwasababu watu walishasema ‘hivi hawa watakuja kufanya tena kazi pamoja!’, amesema Q-Chief.
Amedai...
9 years ago
Bongo518 Sep
Q Chief adai ngoma yake mpya ‘Chawa’ itasababisha mtafutano!
10 years ago
Bongo510 Feb
TID adai ni tamaa ndio iliyomuondoa Q-Chief Top Band
9 years ago
Bongo529 Sep
Meneja wa Q-Chief na MB Dog adai ameshatumia zaidi ya mil 300 kwa wasanii hao
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ka0MdfoApXo/XsKSsz_GrOI/AAAAAAALqr8/AXdHmKElp8gpPIJ_vMPZ0cb8Ik_XuyjaQCLcBGAsYHQ/s72-c/n3-6y8fF_400x400.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6rrkNUm9klY/VFUnfAK5SCI/AAAAAAACSW4/zlCbv9IdWHg/s72-c/JUKWAA%2BLA%2BYANGA%2BPIX%2BNO%2B1.jpg)
YANGA 'YABEBESHWA MKUNGU WA NDIZI' KAITABA BUKOBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6rrkNUm9klY/VFUnfAK5SCI/AAAAAAACSW4/zlCbv9IdWHg/s640/JUKWAA%2BLA%2BYANGA%2BPIX%2BNO%2B1.jpg)
Yanga SC ilimaliza mchezo huo huku wakiwa pungufu, baada ya Nahodha wake, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 80 na mwamuzi Abdallah...
10 years ago
TheCitizen08 Mar
Tanzania’s youngest chief: Chief Adam Abdul
10 years ago
TheCitizen04 Jun
Chief’s grandson wants to be ‘paramount chief’
10 years ago
MichuziMkurugenzi wa Ushirikano wa Kimataifa awashauri vijana kufanya kazi na Mashirika ya Kimataifa