Q Chief adai ngoma yake mpya ‘Chawa’ itasababisha mtafutano!
Q Chief amedai kuwa amekuwa akipewa tahadhari kuhusu kutoa wimbo wake mpya uitwao’Chawa’ ambao wengi wanahisi utamletea matatizo. Q amedai kuwa wimbo ni kwaajili ya kuondoa ‘chawa’ wa mjini. “Kuna ngoma mpya inaitwa Chawa,” muimbaji huyo alikiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM. “Unajua mjini kuna Chawa wengi kuna jinsi ya kuwapunguza. Chawa ni kama […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Oct
Q Chief kuachia wimbo mpya baada ya uchaguzi, unaitwa ‘Chawa’
10 years ago
Bongo523 Aug
Video: MB Dogg aezelea ujio mpya, ngoma yake na Q-Chief na bendi yao
11 years ago
Michuzi10 Mar
introducing Baraka Da Prince na ngoma yake mpya 'JICHUNGE'
10 years ago
Bongo Movies04 Feb
PICHA: Kitendo ya Dada yake Diamond Kudendeka na Wema Chawa Gumzo Mtandaoni
Siku za hivi karibuni kumeibuka na mtindo mpya wa watu kulishana keki wa kutumia mdomo yaani “Kudendeka”.
Picha ya mrembo na mwigizaji wa filamu Wema Sepetu akilishwa keki kwa mdomo na dada yake Diamond, Esma imeibua mjadala mtandaoni baada ya baadhi ya watu kudai kuwa Wema anataka kumrusha roho Zari ambae awari aliandika ujumbe mtandaoni na kumuita Esma WIFI. Huku wengine wakiona kama ni kawaida kwani kwa kiasi kikubwa Wema ndio aliewawezesha Esma na Petti Man wakafunga ndoa.
Tukio hilo...
9 years ago
Bongo515 Dec
JB adai filamu yake mpya ‘Chungu cha Tatu’ ni ghali zaidi kuwahi kuifanya
![Chungu Cha Tatu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Chungu-Cha-Tatu-300x194.jpg)
Msanii wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’, amesema filamu yake mpya ya ‘Chungu cha Tatu’ aliyofanya na Wema Sepetu imetumia gharama kubwa zaidi kuliko filamu zote zilizowahi kufanywa na kampuni yake ya Jerusalem Films.
Akizungumza na gazeti la Mtanzania hivi karibuni , JB alisema akiisema gharama ya filamu hiyo TRA watataka kujua pesa hizo amezipata wapi.
“Nikisema nitaje gharama iliyotumika na niliyowalipa wasanii nadhani TRA itawafuata, lakini nimetumia gharama kubwa mno naweza...
10 years ago
Bongo504 Feb
Irene Uwoya adai yupo njia panda kuachia filamu yake mpya ‘Kisoda’
10 years ago
CloudsFM15 Dec
Shilole aachia ngoma yake mpya kwenye Leo Tena inaitwa Malele
Msanii wa Bongo Fleva,Shilole akiwa na mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena,Husna Abdul wakati akiachia ngoma yake mpya iitwayo Malele.
![](http://api.ning.com/files/zXiKii5t5tsTjKMChG*Bzvu7Fb6PZIByXyueOCJrqa6FUwSdZIHNJeZClbka7TTuuqTarTO22PUqmX5-g0twq14-yiSZHLEq/shilole2.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/zXiKii5t5tucF*e8eMtukTp-Bp7oWWCLq-wze56mcga8xj9Og67sJ0X9tiQhxZ8HwCvqcOgRQxN6h9*i55jXiGyYiazBkqDg/shilole3.jpg)