Shilole aachia ngoma yake mpya kwenye Leo Tena inaitwa Malele
Msanii wa Bongo Fleva,Shilole akiwa na mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena,Husna Abdul wakati akiachia ngoma yake mpya iitwayo Malele.
![](http://api.ning.com/files/zXiKii5t5tsTjKMChG*Bzvu7Fb6PZIByXyueOCJrqa6FUwSdZIHNJeZClbka7TTuuqTarTO22PUqmX5-g0twq14-yiSZHLEq/shilole2.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/zXiKii5t5tucF*e8eMtukTp-Bp7oWWCLq-wze56mcga8xj9Og67sJ0X9tiQhxZ8HwCvqcOgRQxN6h9*i55jXiGyYiazBkqDg/shilole3.jpg)
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM20 Nov
DIAMOND AACHIA AUDIO&VIDEO YA NGOMA YAKE MPYA IITWAYO NTAMPATA WAPI
Diamond Platinumz wakati akitambulisha ngoma yake mpya iitwayo Ntapata Wapi leo hii kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.
Hapa akichagua barua za wale waliotuma kwa ajili ya watoto wao wanaompenda Diamond na atakayeshinda atatembelewa na msanii huyo nyumbani kwake.
9 years ago
Bongo514 Nov
Music: K.O aachia wimbo mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake
![K.O](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/K.O-300x194.jpg)
Rapper wa Afrika Kusini K.O aka Cashtime ameachia wimbno mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake iitwayo ‘Skhanda Republic’.
K.O alisema video ya wimbo huu anategemea kuiachia mwishoni mwa mwezi huu.
Miezi michache iliyopita K.O ambaye amewahi kushirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘ No Body But Me’ alikuja Tanzania kufanya media tour.
Ding Dong | tayotv Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/rr5-InrpBMQ/default.jpg)
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Chris Brown Aachia Ngoma Mpya Nyingine – Little More
Cover ya album mpya ‘Royalty’ ya Chris Brown
BAADA ya kuachia ngoma zake mfululizo, staa wa muziki wa Pop, Chris Brown ameendeleza mfululizo wake kwa kutoa ngoma mpya ijulikanayo kama Little More ambayo itapatikana kwenye albamu yake mpya ya Royalty atakayoiachia kesho Ijumaa Desemba 18.
Ngoma zake nyingine zilizotangulia kutoka kwenye albamu hiyo ni Zero, Fine By Me, Back to Sleep, Anyway aliyomshirikisha Tayla Parxy pamoja na Wrist aliyomshirikisha Solo Lucci.
Imeandaliwa na Andrew...
10 years ago
Bongo502 Jan
Akon aachia nyimbo 5 mpya kwa mpigo kutoka kwenye album mpya ‘Stadium’
10 years ago
Bongo516 Dec
New Music: Shilole — Malele
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-KrObtalXul4/VJFNIMGHnwI/AAAAAAAABSg/syVIw1OBH0M/s72-c/Shilole.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-B2wnJMH5n_k/VYEaHIQTwqI/AAAAAAAACG4/B5Xz9dwOThs/s72-c/vlcsnap-2015-06-16-20h19m26s13.png)