Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Akon aachia nyimbo 5 mpya kwa mpigo kutoka kwenye album mpya ‘Stadium’

Baada ya ukimya wa muda mrefu Akon ameachia nyimbo tano mpya kutoka kwenye album yake mpya anayotarajia kuitoa iitwayo “Stadium” ambayo itakuwa na nyimbo za genre tano tofauti. Akon ameachia nyimbo hizo kupitia website yake Akon.com Album ya “Stadium” itakuwa na album tano ndani yake na kila moja itawakilisha genre moja ambazo ni Euro, Pop, […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Music: K.O aachia wimbo mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake

K.O

Rapper wa Afrika Kusini K.O aka Cashtime ameachia wimbno mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake iitwayo ‘Skhanda Republic’.

K.O

K.O alisema video ya wimbo huu anategemea kuiachia mwishoni mwa mwezi huu.

Miezi michache iliyopita K.O ambaye amewahi kushirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘ No Body But Me’ alikuja Tanzania kufanya media tour.

Ding Dong | tayotv

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

9 years ago

Bongo5

Justin Bieber atoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Purpose’

Akiwa ameshatoa nyimbo mbili (What Do You Mean & Sorry) kutoka kwenye album yake mpya ‘Purpose’ ambayo itatoka mwezi Ujao, mshindi wa tuzo 5 za MTV EMA, Justin Bieber ametoa orodha ya nyimbo 19 zitakazokuwemo kwenye album hiyo. Wasanii aliowashirikisha kwenye baadhi ya nyimbo hizo ni pamoja na Nas, Big Sean, Travis Scott, Ariana Grande […]

 

10 years ago

Bongo5

Wizkid kuachia album mpya aliyowashirikisha Tyga, Akon na Wale

Star wa Nigeria, Wizkid ameshare cover ya album yake mpya anayotarajia kuiachia. Album hiyo ameiita jina lale halisi ‘Ayo’ ikimaanisha furaha (Joy). Jina kamili la mwimbaji huyo wa ‘Show You The Money’ ni Ayodeji Ibrahim Balogun. Katika album hiyo yenye nyimbo 18 na wimbo mmoja wa ziada (bonus), amewashirikisha wasanii mbalimbali wa Nigeria pamoja na […]

 

9 years ago

MillardAyo

Ya nne kutoka kwenye album mpya ya Chris Brown, ‘Picture Me Rollin’ imenifikia, itazame hapa!- (Video)

Baada ya kuachia video ya ‘Anyway’ jana December 17 2015,  Chris Brown amerudi na nyingine mpya ikiwa ni muendelezo wa pale ilipoishia kwenye video ya awali. Wimbo unaitwa ‘Picture Me Rollin’ na miondoko ya wimbo huu unafanana na ile ya Dr. Dre kwenye ngoma yake ya mwaka 1993 ‘Let Me Ride’… Video mpya ya Chris […]

The post Ya nne kutoka kwenye album mpya ya Chris Brown, ‘Picture Me Rollin’ imenifikia, itazame hapa!- (Video) appeared first on...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo5

Video: Adele aachia single mpya ‘Hello’ na tracklist ya album yake ijayo ‘25’

Mwimbaji wa Uingereza, Adele amerejea na wimbo mpya, video mpya pamoja na album mpya anayotarajia kuitoa mwezi ujao. ‘Hello’ ndio single yake ya kwanza aliyoiachia kutoka kwenye album yake mpya. Album hiyo iitwayo ‘25’ itatoka November 20. Track list to Adele’s ‘25’: 1. Hello 2. Send My Love (To Your New Lover) 3. I Miss […]

 

10 years ago

Bongo5

New Song: Chris Brown aachia single mpya inayobeba jina la album yake ‘X’

Kuelekea Septemba 16, tarehe ambayo Chris Brown anatarajia kuachia album yake mpya, Jana (August 22) ameachia single mpya inayobeba jina la album hiyo ‘X’. X imetengenezwa na producer aitwaye Diplo.

 

11 years ago

Bongo5

Album mpya ya 2face ‘The Ascension’ yaingia kwenye orodha ya Billboard ya album zinazouza zaidi duniani

Jarida la muziki la Marekani, Billboard Magazine limeitaja album mpya na ya sita ya muimbaji wa Nigeria, 2face Idibia, ‘The ‘Ascension miongoni mwa album zilizouza zaidi wiki hii duniani. ‘The ‘Ascension ” imekamata nafasi ya 12 kwenye chart billboard. Mafanikio hayo yamepokelewa kwa furaha kubwa na mke wake Annie Macaulay-Idibia aliyetumia mtandao wa Instagram kuelezea […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani