INTRODUCING NYIMBO MPYA KUTOKA KWA Y JAY
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo502 Jan
Akon aachia nyimbo 5 mpya kwa mpigo kutoka kwenye album mpya ‘Stadium’
Baada ya ukimya wa muda mrefu Akon ameachia nyimbo tano mpya kutoka kwenye album yake mpya anayotarajia kuitoa iitwayo “Stadium” ambayo itakuwa na nyimbo za genre tano tofauti. Akon ameachia nyimbo hizo kupitia website yake Akon.com Album ya “Stadium” itakuwa na album tano ndani yake na kila moja itawakilisha genre moja ambazo ni Euro, Pop, […]
11 years ago
Michuzi26 May
9 years ago
Bongo517 Oct
Nyimbo 4,000 zawasilishwa kwa Celine Dion baada ya kutangaza anahitaji kuandikiwa nyimbo mpya
Ombi la Celine Dion kuhusu kuandikiwa nyimbo kwaajili ya album yake mpya ya Kifaransa, limepokelewa kwa mafuriko ya nyimbo zilizowasilishwa. Takriban nyimbo 4,000 zilitumwa kwenye website ya Dion na kampuni inayomsimamia hadi kufikia October 5. Mume wa Dion, ambaye pia ni meneja wake, Rene Angeli na CEO wa kampuni ya Les Feeling Productions, Aldo Giampaolo […]
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UsYWTYrzLqE/VFIMk-eGxoI/AAAAAAAAw_Q/R05k9VaNUp8/s72-c/sj%2B2.jpg)
NYIMBO MPYA YA MSANII CHIPUKIZI KUTOKA MKOA WA MBEYA SJ IITWAYO KUMBE MAPENZI
Tone Multimedia Group Kupitia Mtandao wetu wa Mbeya yetu Blog tumezimia kuanza kuwasaidia wasanii Chipukizi kutoka Mkoa wa Mbeya na Mikoa mingine ya Jirani kimuziki kwa Kutambulisha kazi zao mbalimbali ili wadau pia mpate kuwafahamu.Tunaanza kumtambulisha kwenu Msanii wa nyimbo za kizazi kipya yaani Bongo Flava kwa jina lake halisi ni Shuku na jina la kisanii anaitwa SJ kijana ambaye yupo chini ya Mdhamini wake Mkuu Jacob Mwaisango ambaye aliona kipaji chake na kuamua kumsaidia kwa Hali na...
10 years ago
Michuzi07 Oct
10 years ago
Michuzi13 Feb
11 years ago
Michuzi24 Mar
Introducing Jay Ram wa Texas Amarillo, Marekani
Jay Ram ni Msanii Chipukizi ambae anaishi inchini Marekani katika mji wa Texas Amarillo, Jay Ram amesha achia wimbo wake wakwanza unao enda kwa jina la Honey aki featuring Daddy Face. Na hii ningoma yake ya pili ambayo amechia video yake ambayo inakwenda kwa jina la UNANIWEZA. video imetengenezwa na PDK FILMS.
LINK HII HAPA YA VIDEO: http://youtu.be/gWqOln5C6JA
LINK HII HAPA YA VIDEO: http://youtu.be/gWqOln5C6JA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania