Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyimbo 4,000 zawasilishwa kwa Celine Dion baada ya kutangaza anahitaji kuandikiwa nyimbo mpya

Ombi la Celine Dion kuhusu kuandikiwa nyimbo kwaajili ya album yake mpya ya Kifaransa, limepokelewa kwa mafuriko ya nyimbo zilizowasilishwa. Takriban nyimbo 4,000 zilitumwa kwenye website ya Dion na kampuni inayomsimamia hadi kufikia October 5. Mume wa Dion, ambaye pia ni meneja wake, Rene Angeli na CEO wa kampuni ya Les Feeling Productions, Aldo Giampaolo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Ushauri wa Bure Kwa Ali Kiba Baada ya Kutoa Wimbo Mpya, Tafuta Watu wa Kukutungia Nyimbo

Anyways, leo nimepata chance ya kusikiliza nyimbo mpya ya Ali Kiba fasta fasta….I like Ali Kiba’s music but I think he needs to grow kimuziki. Mie naona toka arudi kwenye gemu nyimbo zake zimeshuka kiwango sio nzuri kama za zamani… Au labda tuseme yani nyimbo zake zote ni vile vile yani hazina tofauti.Yani they sound identical.Anabadilisha vitu vidogo vidogo sana…… Nyimbo zake za zamani zilikuwaga nzuri sana , ila pia yawezekana za sasa hivi zinaoneka sio nzuri sababu zimefanana na za...

 

9 years ago

Bongo5

Nina nyimbo nyingi sana so msishtuke kuona natoa nyimbo 2 au 3 kwa mpigo – Wakazi

wakazi2

Rapper Wakazi amesema kuwa mashabiki wake wasishtuke wakiona anaachia nyimbo 2 au 3 kwa mpigo kwasababu ana nyimbo nyingi sana alizorekodi na anazoendelea kurekodi kwaajili ya album zake mbili.

wakazi2

Kupitia Instagram Wakazi amesema kuanzia kesho anaanza kuachia nyimbo hizo kwaajili ya mashabiki wake.

“Nimekuwa studio kwa Muda mrefu nikiandaa Albums zangu mbili, na wakati bado zoezi hilo linaendelea I think it’s only right I start releasing some of the songs for my fans. Nina nyimbo nyingi sana...

 

11 years ago

GPL

ALICHOKISEMA LULU BAADA YA ALI KIBA KUACHIA NYIMBO MPYA

Elizabeth Michael 'Lulu'. Kupitia Account yake ya Instagram msanii wa filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' amefunguka kuhusiana na Ali Kiba kuachia nyimbo mbili kwa mpigo. Muonekano wa alichokisema Elizabeth Michael 'Lulu' Instagram. Hiki  ndicho alichokisema: "Haya sasa.....maelezo hatimaye…

 

10 years ago

Bongo5

Drake aachia nyimbo 3 mpya siku moja baada ya Bday yake (Audio)

Siku moja baada ya kusheherekea siku yake ya kuzaliwa October 24, Drake ambaye ametimiza miaka 28 ameachia ngoma tatu mpya kwa mpigo. Drizzy ameachia nyimbo hizo kupitia website yake ya OvoSound pamoja na akaunti yake ya SoundCloud October 25. Majina ya ngoma hizo ni ‘6 God’, ‘Heat of the Moment’ pamoja na ile iliyovuja hivi […]

 

10 years ago

Mtanzania

Celine Dion amlilia mume wake runingani

Celina na mume wakeNA BADI MCHOMOLO
MWANAMUZIKI nchini Marekani, Celine Dion, amedondosha machozi wakati alipokuwa akihojiwa na kituo cha utangazaji cha ABC kuhusiana na ugonjwa wa kansa unaomsumbua mume wake, Rene Angelil.
Mume wake huyo ambaye ndiye meneja wa kazi zake za muziki, amekuwa akisumbuliwa na kansa kwa muda mrefu na sasa hali yake ni mbaya anashindwa hadi kula.
“Kwa sasa anakula kwa shida mpaka nimsaidie kumlisha, namlisha mara tatu kwa siku hali ambayo inanifanya niwe katika wakati mgumu na kuwa...

 

10 years ago

Bongo5

Akon aachia nyimbo 5 mpya kwa mpigo kutoka kwenye album mpya ‘Stadium’

Baada ya ukimya wa muda mrefu Akon ameachia nyimbo tano mpya kutoka kwenye album yake mpya anayotarajia kuitoa iitwayo “Stadium” ambayo itakuwa na nyimbo za genre tano tofauti. Akon ameachia nyimbo hizo kupitia website yake Akon.com Album ya “Stadium” itakuwa na album tano ndani yake na kila moja itawakilisha genre moja ambazo ni Euro, Pop, […]

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo5

Video: Celine Dion akitumbuiza ‘Hello’ ya Adele kwenye tamasha la kufunga mwaka

Celine dion hello

Mwaka 2015 tumeshuhudia cover nyingi za hit single ya mwanadada wa Uingereza, Adele – Hello. Katika kuuaga mwaka 2015 muimbaji wa ‘My Heart Will Go On’, Celine Dion aliwa-surprise mashabiki waliohudhuria tamasha la kufunga na kukaribisha mwaka mpya 2016 huko Las Vegas, Marekani kwa kutumbuiza live, cover ya wimbo huo licha ya kwamba hajaurekodi. Tazama hapa na utoe maoni yako.

Je unahisi Celine Dion ameitendea haki cover hii?

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia...

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani