Nyimbo 4,000 zawasilishwa kwa Celine Dion baada ya kutangaza anahitaji kuandikiwa nyimbo mpya
Ombi la Celine Dion kuhusu kuandikiwa nyimbo kwaajili ya album yake mpya ya Kifaransa, limepokelewa kwa mafuriko ya nyimbo zilizowasilishwa. Takriban nyimbo 4,000 zilitumwa kwenye website ya Dion na kampuni inayomsimamia hadi kufikia October 5. Mume wa Dion, ambaye pia ni meneja wake, Rene Angeli na CEO wa kampuni ya Les Feeling Productions, Aldo Giampaolo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-89VClRRtHDY/VPNM0dXObzI/AAAAAAAApOE/izS2OAlxLko/s72-c/ali%2Bkibaa.png)
Ushauri wa Bure Kwa Ali Kiba Baada ya Kutoa Wimbo Mpya, Tafuta Watu wa Kukutungia Nyimbo
![](http://2.bp.blogspot.com/-89VClRRtHDY/VPNM0dXObzI/AAAAAAAApOE/izS2OAlxLko/s640/ali%2Bkibaa.png)
9 years ago
Bongo519 Nov
Nina nyimbo nyingi sana so msishtuke kuona natoa nyimbo 2 au 3 kwa mpigo – Wakazi
![wakazi2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wakazi2-300x194.jpg)
Rapper Wakazi amesema kuwa mashabiki wake wasishtuke wakiona anaachia nyimbo 2 au 3 kwa mpigo kwasababu ana nyimbo nyingi sana alizorekodi na anazoendelea kurekodi kwaajili ya album zake mbili.
Kupitia Instagram Wakazi amesema kuanzia kesho anaanza kuachia nyimbo hizo kwaajili ya mashabiki wake.
“Nimekuwa studio kwa Muda mrefu nikiandaa Albums zangu mbili, na wakati bado zoezi hilo linaendelea I think it’s only right I start releasing some of the songs for my fans. Nina nyimbo nyingi sana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeFs68z8qSVYtQ6VJJcAy*51*CntTAsyoxa-N*Ew0Mwe20aJ-kUidSW5GNEcvuLOl1*wg-XQLLCh*agexb2OL3gB/lulu.png?width=650)
ALICHOKISEMA LULU BAADA YA ALI KIBA KUACHIA NYIMBO MPYA
10 years ago
Bongo526 Oct
Drake aachia nyimbo 3 mpya siku moja baada ya Bday yake (Audio)
10 years ago
Mtanzania26 Mar
Celine Dion amlilia mume wake runingani
NA BADI MCHOMOLO
MWANAMUZIKI nchini Marekani, Celine Dion, amedondosha machozi wakati alipokuwa akihojiwa na kituo cha utangazaji cha ABC kuhusiana na ugonjwa wa kansa unaomsumbua mume wake, Rene Angelil.
Mume wake huyo ambaye ndiye meneja wa kazi zake za muziki, amekuwa akisumbuliwa na kansa kwa muda mrefu na sasa hali yake ni mbaya anashindwa hadi kula.
“Kwa sasa anakula kwa shida mpaka nimsaidie kumlisha, namlisha mara tatu kwa siku hali ambayo inanifanya niwe katika wakati mgumu na kuwa...
10 years ago
Bongo502 Jan
Akon aachia nyimbo 5 mpya kwa mpigo kutoka kwenye album mpya ‘Stadium’
10 years ago
Michuzi15 Jan
9 years ago
Bongo502 Jan
Video: Celine Dion akitumbuiza ‘Hello’ ya Adele kwenye tamasha la kufunga mwaka
![Celine dion hello](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Celine-dion-hello-300x194.jpg)
Mwaka 2015 tumeshuhudia cover nyingi za hit single ya mwanadada wa Uingereza, Adele – Hello. Katika kuuaga mwaka 2015 muimbaji wa ‘My Heart Will Go On’, Celine Dion aliwa-surprise mashabiki waliohudhuria tamasha la kufunga na kukaribisha mwaka mpya 2016 huko Las Vegas, Marekani kwa kutumbuiza live, cover ya wimbo huo licha ya kwamba hajaurekodi. Tazama hapa na utoe maoni yako.
Je unahisi Celine Dion ameitendea haki cover hii?
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia...
10 years ago
GPL26 Oct