Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Celine Dion amlilia mume wake runingani

Celina na mume wakeNA BADI MCHOMOLO
MWANAMUZIKI nchini Marekani, Celine Dion, amedondosha machozi wakati alipokuwa akihojiwa na kituo cha utangazaji cha ABC kuhusiana na ugonjwa wa kansa unaomsumbua mume wake, Rene Angelil.
Mume wake huyo ambaye ndiye meneja wa kazi zake za muziki, amekuwa akisumbuliwa na kansa kwa muda mrefu na sasa hali yake ni mbaya anashindwa hadi kula.
“Kwa sasa anakula kwa shida mpaka nimsaidie kumlisha, namlisha mara tatu kwa siku hali ambayo inanifanya niwe katika wakati mgumu na kuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Celine Dion akitumbuiza ‘Hello’ ya Adele kwenye tamasha la kufunga mwaka

Celine dion hello

Mwaka 2015 tumeshuhudia cover nyingi za hit single ya mwanadada wa Uingereza, Adele – Hello. Katika kuuaga mwaka 2015 muimbaji wa ‘My Heart Will Go On’, Celine Dion aliwa-surprise mashabiki waliohudhuria tamasha la kufunga na kukaribisha mwaka mpya 2016 huko Las Vegas, Marekani kwa kutumbuiza live, cover ya wimbo huo licha ya kwamba hajaurekodi. Tazama hapa na utoe maoni yako.

Je unahisi Celine Dion ameitendea haki cover hii?

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia...

 

9 years ago

Bongo5

Nyimbo 4,000 zawasilishwa kwa Celine Dion baada ya kutangaza anahitaji kuandikiwa nyimbo mpya

Ombi la Celine Dion kuhusu kuandikiwa nyimbo kwaajili ya album yake mpya ya Kifaransa, limepokelewa kwa mafuriko ya nyimbo zilizowasilishwa. Takriban nyimbo 4,000 zilitumwa kwenye website ya Dion na kampuni inayomsimamia hadi kufikia October 5. Mume wa Dion, ambaye pia ni meneja wake, Rene Angeli na CEO wa kampuni ya Les Feeling Productions, Aldo Giampaolo […]

 

9 years ago

Bongo5

Diva amlilia mpenzi wake aliyefariki miaka 12 iliyopita

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva The Bawse amemlilia mpenzi wake aliyefariki miaka 12 iliyopita. Diva ametumia Instagram kuandika ujumbe mrefu unaosikitisha kueleza ni kwa kiasi gani anamkosa mtu huyo: 12 years My Love 12 years , hata siamini, kama ni kitabu yaan naandika nashindwa Malizia, wanasema kwenye Maisha unapenda Mara Moja tu, ama kweli Mara […]

 

11 years ago

GPL

MUME ADAIWA KUUZA KABURI LA MKE WAKE

Shakoor Jongo na Deogratius Mongela
Hii ndiyo kali ya kufungia mwaka katika zote zilizotokea mwaka 2013! Mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Abrahaman, mkazi wa Kimara-Kilungule, Dar, anadaiwa kuuza kiwanja ambacho ndani yake kuna kaburi marehemu mkewe, Aisha Abdul aliyefariki Julai 21, 2004. MALALAMIKO MEZANI
Wakizungumza na Uwazi kwa nyakati tofauti, watoto wa marehemu ambao wanapingana na tukio hilo la baba yao kuuza eneo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mechi kuonyeshwa runingani mara ya kwanza Somalia

Mechi ya mpira wa kandanda ya klabu za nyumbani itapeperushwa moja kwa moja kupitia runinga kwa mara ya kwanza katika historia ya Somalia leo.

 

10 years ago

GPL

UKWELI KUHUSU HABARI YA DIVA KUTAMKA ZITTO NI MUME WAKE

KATIKA Gazeti la Amani Toleo Namba 829 la Septemba 11-17, 2014, kulichapishwa habari ukurasa wa mbele iliyosomeka: “DIVA: ZITTO NI MUME WANGU.” Ikikolezwa na dondoo ‘Adai ni mke anayetambulika kisheria’ na ‘Asema hayuko tayari kuachana naye kirahisi,’ ambayo uongozi wa gazeti umekusudia kwa nia njema kutoa ukweli juu ya habari hiyo. Loveness Malinzi (Diva). Ufafanuzi huu unalenga kumaliza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani