Mechi kuonyeshwa runingani mara ya kwanza Somalia
Mechi ya mpira wa kandanda ya klabu za nyumbani itapeperushwa moja kwa moja kupitia runinga kwa mara ya kwanza katika historia ya Somalia leo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
YVONE CHAKA CHAKA: Mtoto wa kwanza mweusi runingani Afrika Kusini
YVONE Chaka Chaka ni mwimbaji machachari mwenye sauti nyororo inayosindikizwa na haiba usoni mwake. Alizaliwa katika mji wa Dobsonville huko Soweto, nchini Afrika Kusini mwaka 1965, ambaye aliweka rekodi ya...
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Somalia yalenga kushiriki mechi za CAF
Rais wa shirikisho la soka Somalia Adbi Qani anatumai kwamba taifa lake litashiriki katika michuano ya kombe la Afrika mwaka 2019
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Jeshi lashinda mechi ya kihistoria Somalia
Historia imeandikwa katika ulimwengu wa soka Somalia baada ya mechi ya nyumbani kuonyeshwa moja kwa moja kwenye runinga.
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Mtihani wa kwanza Somalia katika miaka 25
Wanafunzi nchini Somalia wanafanya mtihani wao wa kwanza katika kipindi cha miaka 25 tangu kuporomoka kwa serikali ya pamoja
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/TIFFAH-DIAMOND-4.jpg?width=650)
KWA MARA YA KWANZA TIFFAH LIVE!
Staa wa Bongo Fleva,  Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mzazi mwenzake Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’ wakimtoa mtoto wao, Latiffah Nasibu 'Princes Tiffah'. Sherehe yake ya 40 usipime, Zari, Diamond waandika historia Na waandishi wetu YAMETIMIA! Baada ya kutoonekana sura kwa zaidi ya siku 40 tangu azaliwe, hatimaye mtoto wa mkali wao ndani ya Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Latifah...
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Sudan Kusini kucheza mechi ya kwanza Kombe la Dunia
Sudan Kusini inajiandaa kucheza mechi yake ya kwanza kabisa ya kufuzu kwa Kombe la Dunia itakapokutana na Mauritania Jumatano.
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Kikongwe aona bahari kwa mara ya kwanza
Wiki kadhaa kabla ya kufika miaka 101, Ruby Holt ameona Bahari kwa mara ya kwanza.
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Kano wapokea mwaka mpya mara ya kwanza
Nchini Nigeria kwa mara ya kwanza mafataki yalirushwa kupokea mwaka mpya kaskazini mwa nchi hiyo lenye waislamu wengi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmph9LxthDCOKl-N1Ze8TlRfMTwQwgkyoP1IkDgKFlVArFdsi0aWYH74J4UhNuIkCqlyK4I8zpvqBoOMlUMLdjn/WOLPER.jpg)
KWA MARA YA KWANZA: WOLPER ANASWA LIVE!
Stori: shakoor jongo
KABANG! Baada ya kutoonekana katika pozi za kimahaba kwa muda mrefu, kwa mara ya kwanza, staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ‘Gambe’ amenaswa ‘live’ na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu, Risasi Jumamosi limesheheni. Jacqueline Wolper Massawe ‘Gambe’ amenaswa ‘live’ na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu. Kwa muda mrefu Wolper...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania