Kano wapokea mwaka mpya mara ya kwanza
Nchini Nigeria kwa mara ya kwanza mafataki yalirushwa kupokea mwaka mpya kaskazini mwa nchi hiyo lenye waislamu wengi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo514 Jan
Wizkid kuja Tanzania mwaka huu kwa mara ya kwanza
10 years ago
Dewji Blog01 Mar
Maggid Mjengwa: John Komba Nilimwona Kwa Mara Ya Kwanza Mwaka 1981..
Ndugu zangu,
Nimepokea kwa masikitiko habari za kifo cha ghafla cha msanii mhamasishaji John Komba.
Nilikuwa kijana mdogo sana nilipomwona kwa mara ya kwanza John Komba akitumbuiza ukumbi wa DDC Magomeni Kondoa mwaka 1981.
Nilimwona John Komba na kikundi chake cha Kwaya ya JKT Mgulani. Alikuwa kijana mwembamba. Alikuwa mwanzoni kabisa mwa nyota yake kuanza kung’aa kuwarithi wasanii wahamasishaji wa tangu enzi za TANU, akina Mzee Makongoro na Chalamila.
Hata kwa masikio ya utotoni, nilimwona...
10 years ago
Bongo502 Oct
Mwana FA kutumbuiza kwa mara ya kwanza kwenye Fiesta mwaka huu mjini Singida
9 years ago
Bongo513 Oct
Davido aigiza kwa mara ya kwanza kwenye filamu mpya ya Nollywood, tazama Trailer
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Mpya: Kwa mara ya kwanza Picha 25 Harmonize wa ‘Aiyola’ alivyolitikisa jiji la Tanga Dec 25
Harmonize ni moja kati ya wasanii walioibuka kwa kasi katika tasnia ya muziki hapa nchini, achilia uwezo wa kuimba pekee..! bali namna pia anavyoweza kulimiliki jukwaa, ni wengi hawajawahi kumshuhudia msanii huyu pindi awapo stejini, sasa hapa leo nakuweka karibu naye upate kushuhudia baadhi ya matukio yaliyojiri katika show yake ya kwanza aliyoifanya usiku wa […]
The post Mpya: Kwa mara ya kwanza Picha 25 Harmonize wa ‘Aiyola’ alivyolitikisa jiji la Tanga Dec 25 appeared first on...
9 years ago
Bongo512 Dec
Video Mpya ya Ben Pol ‘Ningefanyaje’ kutambulishwa kwa mara ya kwanza SoundCity Tv Nigeria Dec.12
![ben soundcity](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ben-soundcity-300x194.jpg)
Ben Pol amezianza rasmi mbio za kuelekea safari yake ya kimataifa, kwanza kwa kufanikiwa kushoot video yake ya kwanza na director wa nje, Justin Campos wa Afrika Kusini, na sasa video hiyo imepewa baraka za kutambulishwa na kituo kikubwa cha runinga cha Nigeria, SoundCity TV.
Video ya ‘Ningefanyaje’ aliyomshirikisha muimbaji mrembo wa Kenya, Avril pamoja na Rossie M itatambulishwa kwa mara ya kwanza Jumamosi Dec.12 kwenye kipindi cha Top 10 East saa tano asubuhi saa za Afrika...
10 years ago
Vijimambo01 Jan
Heri ya Mwaka Mpya - Karibu Ibada ya Kwanza 2015 - Jumapili 01/04/2015 Kuanzia Saa tisa na nusu alasiri
Ibada ya Kiswahili Columbus inawakaribisha wote kwenye ibada ya kwanza ya Kiswahili kwa mwaka mpya wa 2015.
Karibuni wote tumwabudu Mungu na kumshukuru baraka zake ambazo zimetufikisha mwaka mpya.
Tafadhali mkaribishe rafiki/jirani yako. Mbarikiwe!
![Heri ya Mwaka Mpya! Ibada ya Kiswahili Columbus inawakaribisha wote kwenye ibada ya kwanza ya Kiswahili kwa mwaka mpya wa 2015. Karibuni wote tumwabudu Mungu na kumshukuru baraka zake ambazo zimetufikisha mwaka mpya. Tafadhali mkaribishe rafiki/jirani yako. Mbarikiwe!](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/UvO5wOXEsaHp0RsLa6A3IlNblTNHlte9RKKnlgJcRgZHRLHPFBBUiEY-Y9K0okmeWcL0dSK9cQhwS0MGgZm6eiFJwEheyGF8lgfqYFms1C_MrrHWBXmW1n-wTANFwUEv3A0RxDEqm96uV52cVej3nAsFIEUDxOymZYdLNNVHBBUxXGvLHIxIV6IOY_BP9CZ4w46FV7JyMpVEai5WZK1_iZtcOhshkWkEhTnMDa_Q6pilSo8AOM6xqYC_Tk9Ti8Mx_3qyPmZCtyBDSKwlvTnAmoIYU_xHx-KerdOi9CbddFgCntood8pvNkH1fLSUK7X5GnrgBMf4cwgf=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/q90/p235x350/1939524_849965588395753_7505627267144143561_n.jpg?oh=88621761a202daa559bfca32c6366523&oe=55433E0E&__gda__=1429298227_d3cbbf1c7a8d755f337bda3af9de7152)
11 years ago
MichuziWABUNGE WAPOKEA MAPENDEKEZO YA MFUMO WA BAJETI KWA MWAKA 2014/2015 KATIKA UKUMBI WA MWAL. NYERERE,JIJINI DAR
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Jimbo la Kano Nigeria lampata Amir mpya baada ya kutimuliwa kwa mtangulizi wake kwa 'kukosa heshima'