Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpya: Kwa mara ya kwanza Picha 25 Harmonize wa ‘Aiyola’ alivyolitikisa jiji la Tanga Dec 25

Harmonize ni moja kati ya wasanii walioibuka kwa kasi katika tasnia ya muziki hapa nchini, achilia uwezo wa kuimba pekee..! bali namna pia anavyoweza kulimiliki jukwaa, ni wengi hawajawahi kumshuhudia msanii huyu pindi awapo stejini, sasa hapa leo nakuweka karibu naye upate kushuhudia baadhi ya matukio yaliyojiri katika show yake ya kwanza aliyoifanya usiku wa […]

The post Mpya: Kwa mara ya kwanza Picha 25 Harmonize wa ‘Aiyola’ alivyolitikisa jiji la Tanga Dec 25 appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Yaliyomkuta Harmonize baada ya kupanda kwenye stage mara ya kwanza Dec 25…(+Video)

Dec 25 2015 Msanii Harmonize kutokea Wasafi Classic Baby (WCB) aliandika historia nyingine katika maisha yake ya muziki, ambapo kwa mara ya kwanza alipanda kwenye stage toka aachie hit song ya ‘Aiyola’ Shangwe lilifanyika Tanga, Tanzania. Licha ya yote, kuna mambo yalitokea na hakuyapenda. Unaweza kubonyeza Play hapa chini kuitazama video yote.  Unataka kutumiwa MSG […]

The post Yaliyomkuta Harmonize baada ya kupanda kwenye stage mara ya kwanza Dec 25…(+Video) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Picha 25 Harmonize wa ‘Aiyola’ alivyowaacha hoi wakazi wa Dodoma

Mkali wa hit singo ya ‘Aiyola‘ kutokea Wasafi Classic Baby (WCB) Harmonize usiku wa Dec 31 aliidondosha burudani kwa wakazi wa Dodoma kwa mara ya kwanza tangu ametambulika na mashabiki katika soko la muziki. Licha ya kufanya bonge la show, pia alitumia nafasi hiyo kutoa baadhi ya zawadi kwa wapenzi na mashabiki wake ambao walifika katika […]

The post Picha 25 Harmonize wa ‘Aiyola’ alivyowaacha hoi wakazi wa Dodoma appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Video Mpya ya Ben Pol ‘Ningefanyaje’ kutambulishwa kwa mara ya kwanza SoundCity Tv Nigeria Dec.12

ben soundcity

Ben Pol amezianza rasmi mbio za kuelekea safari yake ya kimataifa, kwanza kwa kufanikiwa kushoot video yake ya kwanza na director wa nje, Justin Campos wa Afrika Kusini, na sasa video hiyo imepewa baraka za kutambulishwa na kituo kikubwa cha runinga cha Nigeria, SoundCity TV.

ben soundcity

Video ya ‘Ningefanyaje’ aliyomshirikisha muimbaji mrembo wa Kenya, Avril pamoja na Rossie M itatambulishwa kwa mara ya kwanza Jumamosi Dec.12 kwenye kipindi cha Top 10 East saa tano asubuhi saa za Afrika...

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA ALITIKISA JIJI LA TANGA KWA MARA NYINGINE TENA

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia wananchi wakati akiwasili kwenye viwanja wa Indian Ocean, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni,  Oktoba 21, 2015. Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwahutubia wananchi wa jiji la Tanga waliofurika katika viwanja wa Indian Ocean, katika Mkutano wa Kampeni, ...

 

10 years ago

Michuzi

YAMOTO BAND LIVE KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON

 Confirmed...21Feb2015..Yamoto! Yamoto! Yamoto Band Live in the UK For the first Time Ever...When we Say Live, we mean 
Live with Full Band & Dancers...This is one show that's not to be Missed... Sponsored by @officialjestinageorgeblog @bongodeejays@zuriihouseofbeauty
 Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa yamoto band Maromboso na Aslay  baada ya makubaliano ya kuwadhamini band hiyo kuja  kufanya show yao jijini London @maromboso @aslayisihaka Zurii...

 

11 years ago

Dewji Blog

Gari la kifahari la McLaren laonyeshwa kwenye jiji la Monaco kwa mara ya kwanza

mclaren-p1-monaco-1-690x456

Gari ya kifahari kabisa kwa mara ya kwanza kuonekana katika jiji la magari ya kifahari duniani Monaco nchini Ufaransa kama inavyoonekana kwenye picha imesajiliwa Italia na gari la kimichezo na ina mchanganyiko wa vitu vingi kama rangi nyeusi na nyekundu na manjano.

Na modewjiblog, kwa Msaada wa Mtandao

Katika jiji la Monaco ndio mahali magari mengi ya kifahari na yenye kasi ya ajabu na muundo wenye kutumia teknolojia ya juu duniani kutumika sana kuliko majiji mengine ulimwenguni kama vile...

 

10 years ago

Dewji Blog

Yamoto Band kufanya Live Show kwa mara ya kwanza kwenye jiji la London

Screen Shot 2015-02-04 at 21.00.29

YAMOTO BAND  COMFIRMED will performing all their major hits including NITAJUTA, NISEME, WAMBEA, NITAKUPWELEPWETA and many more @ The Royal Regency Banquet Hall, Sat 21 Feb 2015 From 8pm to 3:30am, there are limited VIP Tables available book yours now for ultimate VIP treatment or individual place your booking early to avoid disappointment. Table bookings please call 07405824696/ WhatsApp +44755730494

info@bongodeejays.com or jestinageorge@gmail.com

Ukumbi wa Royal Regency ndio sehemu...

 

10 years ago

GPL

YAMOTO BAND KUFANYA LIVE SHOW KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON‏

YAMOTO BAND COMFIRMED will performing all their major hits including NITAJUTA, NISEME, WAMBEA, NITAKUPWELEPWETA and many more @ The Royal Regency Banquet Hall, Sat 21 Feb 2015 From 8pm to 3:30am, there are limited VIP Tables available book yours now for ultimate VIP treatment or individual place your booking early to avoid disappointment. Table bookings please call 07405824696/ WhatsApp +447557304940…
...

 

10 years ago

Dewji Blog

YAMOTO Band Live kwa mara ya kwanza kwenye jiji la London { Made in East Africa }

   Confirmed…21Feb2015..Yamoto! Yamoto! Yamoto Band Live in the UK For the first Time Ever…When we Say Live, we mean  Live with Full Band & Dancers… This is one show that’s not to be Missed… Sponsored by @officialjestinageorgeblog @bongodeejays@zuriihouseofbeauty  Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa Yamoto Band Maromboso na Aslay  baada ya makubaliano ya kuwadhamini band hiyo kuja  kufanya show yao jijini London @maromboso @aslayisihaka  Zurii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani