Yaliyomkuta Harmonize baada ya kupanda kwenye stage mara ya kwanza Dec 25…(+Video)
Dec 25 2015 Msanii Harmonize kutokea Wasafi Classic Baby (WCB) aliandika historia nyingine katika maisha yake ya muziki, ambapo kwa mara ya kwanza alipanda kwenye stage toka aachie hit song ya ‘Aiyola’ Shangwe lilifanyika Tanga, Tanzania. Licha ya yote, kuna mambo yalitokea na hakuyapenda. Unaweza kubonyeza Play hapa chini kuitazama video yote. Unataka kutumiwa MSG […]
The post Yaliyomkuta Harmonize baada ya kupanda kwenye stage mara ya kwanza Dec 25…(+Video) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Mpya: Kwa mara ya kwanza Picha 25 Harmonize wa ‘Aiyola’ alivyolitikisa jiji la Tanga Dec 25
Harmonize ni moja kati ya wasanii walioibuka kwa kasi katika tasnia ya muziki hapa nchini, achilia uwezo wa kuimba pekee..! bali namna pia anavyoweza kulimiliki jukwaa, ni wengi hawajawahi kumshuhudia msanii huyu pindi awapo stejini, sasa hapa leo nakuweka karibu naye upate kushuhudia baadhi ya matukio yaliyojiri katika show yake ya kwanza aliyoifanya usiku wa […]
The post Mpya: Kwa mara ya kwanza Picha 25 Harmonize wa ‘Aiyola’ alivyolitikisa jiji la Tanga Dec 25 appeared first on...
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Video ya Harmonize na mashabiki kwenye stage Dodoma January 1 2016
Mwimbaji Harmonize wa single ya ‘Aiyola‘ akiwa ni mwimbaji wa kwanza kutambulishwa kwenye lebo ya WCB inayomilikiwa na mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz, January 1 2016 alifanya show yake ya pili toka ameitoa Aiyola, kila kitu nimekuwekea kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post Video ya Harmonize na mashabiki kwenye stage Dodoma January 1 2016 appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo512 Dec
Video Mpya ya Ben Pol ‘Ningefanyaje’ kutambulishwa kwa mara ya kwanza SoundCity Tv Nigeria Dec.12
Ben Pol amezianza rasmi mbio za kuelekea safari yake ya kimataifa, kwanza kwa kufanikiwa kushoot video yake ya kwanza na director wa nje, Justin Campos wa Afrika Kusini, na sasa video hiyo imepewa baraka za kutambulishwa na kituo kikubwa cha runinga cha Nigeria, SoundCity TV.
Video ya ‘Ningefanyaje’ aliyomshirikisha muimbaji mrembo wa Kenya, Avril pamoja na Rossie M itatambulishwa kwa mara ya kwanza Jumamosi Dec.12 kwenye kipindi cha Top 10 East saa tano asubuhi saa za Afrika...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Kama ulimis kilichofanywa na Alikiba, Diamond na Harmonize kwenye stage Xmas hii !
Mastaa wengi wa bongofleva wamepiga show kwenye area tofauti Xmas hii, nilizoweza kukurekodia ni hizi pia ikiwemo ya msanii kutoka lebo ya Diamond >> Harmonize, nyingine ni ya Diamond mwenyewe Dar live Mbagala Dar es salaam na ya Alikiba Escape One Mikocheni Dar es salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard […]
The post Kama ulimis kilichofanywa na Alikiba, Diamond na Harmonize kwenye stage Xmas hii ! appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Utata kwenye stage ya fainali za Miss Universe Marekani baada ya mshindi kukosewa.. (+Video)
Unaweza kukosea ukaomba radhi lakini watu wasiwe wepesi kukusamehe au kukuelewa kwamba umejikwaa kibinadamu… utata na kelele ziliibuka kwenye stage ya Planet Hollywood, Las Vegas Marekani saa chache zilizopita. Noma zaidi ni kwamba ishu haikuishia kwenye stage wala ukumbini, watu wakaingia mitandaoni kila mmoja akiongea la kwake huku wengi wakionekana kama hawajachukulia poa kosa la MC […]
The post Utata kwenye stage ya fainali za Miss Universe Marekani baada ya mshindi kukosewa.. (+Video)...
9 years ago
Bongo526 Nov
Album ya Adele ‘25’ kuuza nakala milioni 3 Marekani pekee kwenye wiki ya kwanza
Album mpya ya Adele, 25 inatarajiwa kuuza nakala milioni 3 nchini Marekani katika wiki yake ya kwanza kwa mujibu wa kampuni ya Nielsen Music.
Hadi November 24 album hiyo ilikuwa imeuza kopi milioni 2.8. Miongoni mwa hizo, milioni 1.45 zimeuzwa mtandaoni kwenye iTunes.
25 imeshazidi hadi rekodi ya mauzo ya album kwa wiki mbili tangu kampuni ya Nielsen ilivyoanza kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991.
Rekodi ya awali ilishikiliwa na album ya *NSYNC, No Strings Attached iliyouza kopi 2,416,000...
9 years ago
Bongo514 Dec
Mr Blue aupiga kibuti ubahili, awekeza kwa mara ya kwanza kwenye video yake ‘Baki Nami’
Mr Blue Kabayser ana video nyingi alizowahi kufanya lakini amekiri kuwa video mpya ‘Baki Nami’ ndio ya kwanza kuwekeza pesa yake mwenyewe.
Blue amesema kuwa kazi zote zilizopita amekuwa akifanya kwa ‘kuunga unga’ na kusaidiwa na washikaji zake bila yeye kutoa chochote, kitu ambacho kilisababisha asiwe anapata kazi bora.
Ameongeza kuwa ‘Baki na Mimi’ ndiyo video iliyomsumbua kukamilisha visa vyote alivyoviimba, sehemu ya gharama ikiwa ni kukodisha limousine yenye gharama ya shilingi milioni...
9 years ago
Bongo528 Sep
Video: Avril asimulia kwa mara ya kwanza jinsi alivyoanguka kwenye swimming pool wakati akitumbuiza Dar