Album ya Adele ‘25’ kuuza nakala milioni 3 Marekani pekee kwenye wiki ya kwanza
Album mpya ya Adele, 25 inatarajiwa kuuza nakala milioni 3 nchini Marekani katika wiki yake ya kwanza kwa mujibu wa kampuni ya Nielsen Music.
Hadi November 24 album hiyo ilikuwa imeuza kopi milioni 2.8. Miongoni mwa hizo, milioni 1.45 zimeuzwa mtandaoni kwenye iTunes.
25 imeshazidi hadi rekodi ya mauzo ya album kwa wiki mbili tangu kampuni ya Nielsen ilivyoanza kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991.
Rekodi ya awali ilishikiliwa na album ya *NSYNC, No Strings Attached iliyouza kopi 2,416,000...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo511 Dec
Album ya Adele ‘25’ yauza zaidi ya nakala milioni 5 wiki ya tatu
![Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2-300x194.jpg)
Album ya Adele ‘25’ inaendelea kununuliwa kwa kasi, mpaka sasa imeuza zaidi ya nakala milioni 5 Marekani kwenye wiki ya tatu.
Katika wiki mbili za kwanza ‘25’ iliuza nakala milioni 4.49, na inakadiriwa imeuza nakala 510,000 katika wiki ya tatu ya mauzo hivyo kufanya mauzo ya jumla kufikia zaidi ya milioni 5.
Wataalam wanabashiri kuwa hadi kumalizika kwa wiki ya tatu inaweza kuwa imeuza nakala 650,000 kwa wiki hii.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...
9 years ago
Bongo530 Nov
Album ya Adele yavunja rekodi Marekani, yauza nakala milioni 3.38 katika wiki ya kwanza
![adele-new-album](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/adele-new-album-300x194.jpg)
Album mpya ya Adele, 25 imevunja rekodi kwa kuuza nakala milioni 3.38 katika wiki yake ya kwanza nchini Marekani pekee, kwa mujibu wa taarifa za Nielsen Music.
Staa huyo wa Uingereza amevunja rekodi hiyo tangu Nielsen ianze kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991. 25 iliyotoka Novemba 20 imekuwa pia album ya kwanza kuuza nakala nyingi zaidi katika wiki ya kwanza.
Kwa Uingereza, 25 imevunja pia rekodi kwa kuuza nakala 800,000 katika wiki yake ya kwanza.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...
9 years ago
Bongo507 Dec
25 ya Adele yauza nakala milioni 1.11 kwenye wiki ya pili
![Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2-300x194.jpg)
Album mpya ya Adele, 25 imeuza nakala milioni 1.11 katika wiki ya pili iliyomalizika Dec. 3 nchini Marekani.
Katika wiki yake ya pili tayari album hiyo imeuza nakala milioni 4.49.
Awali 25 ilivunja rekodi kwa kuuza nakala milioni 3.38 katika wiki yake ya kwanza.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo521 Nov
Why Adele isn’t streaming her new album ‘25’
![600](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/600-300x194.jpg)
By restricting her new album 25 from streaming services Apple Music and Spotify, Adele is playing to her greatest strength: wide appeal.
The British singer is the rare artist whose allure spans demographic groups, from teenagers on YouTube and Spotify to adults who visit record stores or frequent iTunes. Music executives liken her to a four-quadrant movie, the lingo for blockbusters like The Avengers and Jurassic World that draw in young and old, men and women.
Adele and Sony Corp’s music...
9 years ago
Bongo527 Nov
Umewahi kujiuliza kwanini album za Adele, ‘19’, ‘21’ na ‘25’ zina majina ya namba? Ifahamu sababu
![Adele 25](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Adele-25-300x194.jpg)
Adele Laurie Blue Adkins, anayefahamika zaidi kwa jina lake la kwanza ni muimbaji kutoka Uingereza ambaye ameshatoa album tatu mpaka sasa.
Kuna kitu kimoja ambacho binafsi nilijiuliza na kuamua kufuatilia, kuhusu majina yake ya album zake zote tatu kuwa namba. Album ya kwanza aliita ’19’, iliyofata inaitwa ’21’, na hii mpya ya mwaka huu inaitwa ’25’, hizi namba zina maana gani?
Jibu ni kwamba namba ambazo Adele amekuwa akizitumia kama majina ya album zake ni umri wake.
Wakati anaanza...
10 years ago
Bongo518 Dec
2014 Forest Hills Drive ya J.Cole yawa album ya hip hop iliyouza zaidi kwenye wiki ya kwanza mwaka huu
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Yaliyomkuta Harmonize baada ya kupanda kwenye stage mara ya kwanza Dec 25…(+Video)
Dec 25 2015 Msanii Harmonize kutokea Wasafi Classic Baby (WCB) aliandika historia nyingine katika maisha yake ya muziki, ambapo kwa mara ya kwanza alipanda kwenye stage toka aachie hit song ya ‘Aiyola’ Shangwe lilifanyika Tanga, Tanzania. Licha ya yote, kuna mambo yalitokea na hakuyapenda. Unaweza kubonyeza Play hapa chini kuitazama video yote. Unataka kutumiwa MSG […]
The post Yaliyomkuta Harmonize baada ya kupanda kwenye stage mara ya kwanza Dec 25…(+Video) appeared first on...
9 years ago
Bongo526 Oct
Adele avunja rekodi ya Youtube kwa wimbo wake mpya ‘Hello’ kupata views milioni 25 siku ya kwanza
9 years ago
Bongo518 Dec
Chris Brown ampindua Adele kwenye nafasi ya kwanza iTunes baada ya kuachia ‘Royalty’
![breezy royalty new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/breezy-royalty-new-300x194.jpg)
Album mpya ya Chris Brown, ‘Royalty’ imeingia sokoni kwa kishindo.
Masaa machache toka iachiwe Ijumaa (Dec 18) imefanikiwa kuiondoa ‘25’ ya Adele na kushika namba moja kwenye chati ya album zilizouza kwa haraka kwenye mtandao wa iTunes. ‘25’ ya Adele sasa imeshuka hadi nafasi ya pili kwenye chati hiyo.
‘Royalty’ ni album ya saba kutoka kwa Breezy, iliyofatia baada ya ‘X’ aliyoitoa mwaka mmoja uliopita.
ROYALTY TRACKLISTING
1. “Back to Sleep”
2. “Fine By Me”
3. “Wrist” feat. Solo Lucci
4....