Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Album ya Adele yavunja rekodi Marekani, yauza nakala milioni 3.38 katika wiki ya kwanza

adele-new-album

Album mpya ya Adele, 25 imevunja rekodi kwa kuuza nakala milioni 3.38 katika wiki yake ya kwanza nchini Marekani pekee, kwa mujibu wa taarifa za Nielsen Music.

adele-new-album

Staa huyo wa Uingereza amevunja rekodi hiyo tangu Nielsen ianze kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991. 25 iliyotoka Novemba 20 imekuwa pia album ya kwanza kuuza nakala nyingi zaidi katika wiki ya kwanza.

Kwa Uingereza, 25 imevunja pia rekodi kwa kuuza nakala 800,000 katika wiki yake ya kwanza.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Album ya Adele ‘25’ yauza zaidi ya nakala milioni 5 wiki ya tatu

Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2

Album ya Adele ‘25’ inaendelea kununuliwa kwa kasi, mpaka sasa imeuza zaidi ya nakala milioni 5 Marekani kwenye wiki ya tatu.

Adele 25

Katika wiki mbili za kwanza ‘25’ iliuza nakala milioni 4.49, na inakadiriwa imeuza nakala 510,000 katika wiki ya tatu ya mauzo hivyo kufanya mauzo ya jumla kufikia zaidi ya milioni 5.

Wataalam wanabashiri kuwa hadi kumalizika kwa wiki ya tatu inaweza kuwa imeuza nakala 650,000 kwa wiki hii.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...

 

9 years ago

Bongo5

Album ya Adele ‘25’ kuuza nakala milioni 3 Marekani pekee kwenye wiki ya kwanza

600

Album mpya ya Adele, 25 inatarajiwa kuuza nakala milioni 3 nchini Marekani katika wiki yake ya kwanza kwa mujibu wa kampuni ya Nielsen Music.

600

Hadi November 24 album hiyo ilikuwa imeuza kopi milioni 2.8. Miongoni mwa hizo, milioni 1.45 zimeuzwa mtandaoni kwenye iTunes.

25 imeshazidi hadi rekodi ya mauzo ya album kwa wiki mbili tangu kampuni ya Nielsen ilivyoanza kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991.

Rekodi ya awali ilishikiliwa na album ya *NSYNC, No Strings Attached iliyouza kopi 2,416,000...

 

9 years ago

Bongo5

25 ya Adele yauza nakala milioni 1.11 kwenye wiki ya pili

Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2

Album mpya ya Adele, 25 imeuza nakala milioni 1.11 katika wiki ya pili iliyomalizika Dec. 3 nchini Marekani.

Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2

Katika wiki yake ya pili tayari album hiyo imeuza nakala milioni 4.49.

Awali 25 ilivunja rekodi kwa kuuza nakala milioni 3.38 katika wiki yake ya kwanza.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Adele avunja rekodi ya Youtube kwa wimbo wake mpya ‘Hello’ kupata views milioni 25 siku ya kwanza

Adele, Mwimbaji kutoka Uingereza amerudi kwa kishindo baada ya kuweka rekodi mpya ya Youtube kupitia wimbo wake mpya ‘Hello’ uliotoka Ijumaa Oct.23. Ndani ya saa 24 toka video ya wimbo huo iwekwe kwenye mtandao wa Youtube imetazamwa mara milioni 25, na kuvunja rekodi iliyowekwa na Taylor Swift na Kendrick Lamar ambao collabo yao ‘Bad Blood’ […]

 

9 years ago

Bongo5

‘Hello’ ya Adele yavunja rekodi nyingine ya Billboard

adele-25-coverMwimbaji wa Uingereza, Adele anaendelea kuweka historia kupitia wimbo wake mpya ‘Hello’. Ikiwa ni wiki moja na siku nne toka ‘Hello’ iachiwe rasmi Oct.23, wimbo huo umeweka rekodi nyingine. Wimbo huo umevunja rekodi ya Billboard kwa kupakuliwa mara milioni 1.1, na kuwa ndio wimbo uliopata downloads nyingi zaidi ndani ya wiki moja. Rekodi hiyo hapo […]

 

10 years ago

Bongo Movies

‘Nimekubali Kuolewa’ ya Dr Cheni Yauza Nakala 20,000 Ndani ya Wiki 1

Staa wa Bongo Movies, Mahsein Awadh ‘Dr Cheni’ amesema filamu yake ‘Nimekubali Kuolewa’ ndio filamu yake iliyofanya vizuri kuliko filamu zake zote ambapo tayari imeshauza nakala elfu 20,000 ndani ya wiki moja tangu iingie sokoni.

Dr Cheni ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa hajui ni maajabu gani yametokea mpaka filamu hiyo kupendwa kiasi hicho.

“Kwa kawaida ndani ya wiki moja huwaga tunauza nakala elfu 5,000. Lakini kwenye filamu ‘Nimekubali Kuolewa’ imenifungulia njia,” amesema.

“Toka...

 

10 years ago

Bongo5

Album ya Flavour ‘Thankful’ yauza kopi milioni 1 ndani ya siku 5!

Album mpya ya msanii wa Nigeria, Flavour iitwayo Thankful iliyotoka November 14, imeuza kopi milioni moja hadi sasa, kwa mujibu wa mitandao ya Nigeria. Album hiyo ilitoka bila promo wala matangazo yoyote, kama alivyofanya Beyonce. Kwa mujibu wa kampuni ya Obaino Music, inayohusika katika uuzaji wa album hiyo yenye nyimbo 21, hadi jana Jumatano walikuwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Apple yauza iPhone milioni 48 katika miezi mitatu

iPhone_7_illustration_Yasser_Farahi_1000eKampuni ya Apple imeuza simu za iPhone milioni 48 katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita – yaani ni sawa na Tanzania nzima imenunua simu hizo. Mauzo hayo yamesababishwa pia na uzinduzi wa simu zake mpya 6S na 6S Plus mwezi uliopita. Mauzo hayo yameifanya kampuni hiyo kupata faida ya robo ya mwaka kuliko ilivyotarajiwa. Kwa […]

 

11 years ago

Bongo5

Shakira avunja rekodi kwa kuwa mtu wa kwanza kufikisha ‘likes’ milioni 100 Facebook

Muimbaji Shakira wa Colombia ameweka rekodi mpya kwa kuwa mtu wa kwanza kufikisha likes milioni 100 kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook. Mwezi March mwimbaji huyo wa ‘Can’t remember to forget you’ alitajwa kuwa ‘most-liked musician on Facebook’ kwa kumzidi kidogo Rihanna. Wakati huo alikuwa na likes milioni 86.3. Kusheherekea mafanikio hayo Shakira amepost video […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani