Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Apple yauza iPhone milioni 48 katika miezi mitatu

iPhone_7_illustration_Yasser_Farahi_1000eKampuni ya Apple imeuza simu za iPhone milioni 48 katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita – yaani ni sawa na Tanzania nzima imenunua simu hizo. Mauzo hayo yamesababishwa pia na uzinduzi wa simu zake mpya 6S na 6S Plus mwezi uliopita. Mauzo hayo yameifanya kampuni hiyo kupata faida ya robo ya mwaka kuliko ilivyotarajiwa. Kwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Album ya Adele yavunja rekodi Marekani, yauza nakala milioni 3.38 katika wiki ya kwanza

adele-new-album

Album mpya ya Adele, 25 imevunja rekodi kwa kuuza nakala milioni 3.38 katika wiki yake ya kwanza nchini Marekani pekee, kwa mujibu wa taarifa za Nielsen Music.

adele-new-album

Staa huyo wa Uingereza amevunja rekodi hiyo tangu Nielsen ianze kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991. 25 iliyotoka Novemba 20 imekuwa pia album ya kwanza kuuza nakala nyingi zaidi katika wiki ya kwanza.

Kwa Uingereza, 25 imevunja pia rekodi kwa kuuza nakala 800,000 katika wiki yake ya kwanza.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

5 years ago

MacRumors

iPhone 8 Screen Protector Updated With 'iPhone SE' Compatibility on Apple's Online Store

iPhone 8 Screen Protector Updated With 'iPhone SE' Compatibility on Apple's Online Store  MacRumorsPowerful MacBook Pro Promise Inside Intel’s New Hardware  Forbes2020 iPad Pro first model with microphone hardware disconnect privacy feature  9to5MacApple's 2020 MacBook Air vs. 2020 iPad Pro  MacRumorsApple confirms that WWDC 2020 is going to be big amid rumours of a new MacBook Pro, Apple Air Tags and over-ear headphones coming to this year's conference  Notebookcheck.netView Full coverage...

 

5 years ago

Business Insider

Apple iPhone 9 to be released in 2 sizes replacing iPhone 8 and 8 Plus - Business Insider

Apple iPhone 9 to be released in 2 sizes replacing iPhone 8 and 8 Plus - Business Insider  Business InsiderReport: iOS 14 code suggests Apple is working on an iPhone 9 Plus too  The Next WebApple to introduce iPhone 9 version with a 5.5” screen - GSMArena.com news  GSMArena.comApple is reportedly making a 5.5-inch entry-level iPhone  The VergeUsing iOS 13 to diagnose (and easily repair) an iPhone battery problem  ZDNetView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Forbes

2020 iPhone Shock: Apple Accident Leaks ‘All-New’ iPhone

2020 iPhone Shock: Apple Accident Leaks ‘All-New’ iPhone  ForbesOnly Apple iPhone 12 Pro and Pro Max will get ToF cameras - GSMArena.com news  GSMArena.comiPhone 9 Plus confirmed — and that’s bad news for Pixel 4a  Tom's GuideReport: iOS 14 code suggests Apple is working on an iPhone 9 Plus too  The Next WebRumored 5.4-Inch iPhone May Have OLED Display Supplied by China's BOE  MacRumorsView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Forbes

Apple’s Amazing New Apple Watch & iPhone Feature Just Got Even Better

Apple’s Amazing New Apple Watch & iPhone Feature Just Got Even Better  Forbes14 hidden iPhone and iPad gems: Screenshots, trackpad, better battery charging  CNETApple reportedly working with BMW for CarKey feature, spotted in iOS 14 code  Digital TrendsApple iOS 13.4 Is Causing Serious iPhone Problems  ForbesiPad trackpad support is just the start of iOS 13.4's great features  CNETView Full coverage on Google News

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Ebola kudhibitiwa kwa miezi mitatu

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anayehusika na ugonjwa wa Ebola amesema ugonjwa huo unaweza kudhibitiwa kwa miezi mitatu.

 

9 years ago

Mtanzania

Cazorla miezi mitatu nje ya uwanja

maxresdefaultLONDON, ENGLAND

KIUNGO wa Arsenal, Santi Cazorla, atakuwa nje ya uwanja kwa miezi mitatu kutokana na kusumbuliwa na goti.

Mchezaji huyo alipata maumivu ya goti katika mchezo dhidi ya Norwich, ambao ulimalizika kwa sare ya 1-1.

Hata hivyo, Cazorla alionekana kuwa imara katika dakika zote 90 za mchezo huo, japokuwa alikuwa tayari ameumia goti, ila baada ya kumalizika kwa mchezo hali ilionekana kubadilika.

Klabu ya Arsenal imethibitisha kuwa mchezaji huyo atakuwa nje ya uwanja hadi Machi,...

 

9 years ago

Bongo5

25 ya Adele yauza nakala milioni 1.11 kwenye wiki ya pili

Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2

Album mpya ya Adele, 25 imeuza nakala milioni 1.11 katika wiki ya pili iliyomalizika Dec. 3 nchini Marekani.

Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2

Katika wiki yake ya pili tayari album hiyo imeuza nakala milioni 4.49.

Awali 25 ilivunja rekodi kwa kuuza nakala milioni 3.38 katika wiki yake ya kwanza.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Mwananchi

Katiba ya Tanganyika inawezekana kwa miezi mitatu

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema Katiba ya Tanganyika inaweza kuandikwa ndani ya miezi mitatu tu kwa kuwa maoni mengi yaliyomo katika Rasimu ya Katiba iliyozinduliwa Jumatatu, kwa kiwango kikubwa yametoka kwa wananchi wa upande huo wa Muungano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani