25 ya Adele yauza nakala milioni 1.11 kwenye wiki ya pili
Album mpya ya Adele, 25 imeuza nakala milioni 1.11 katika wiki ya pili iliyomalizika Dec. 3 nchini Marekani.
Katika wiki yake ya pili tayari album hiyo imeuza nakala milioni 4.49.
Awali 25 ilivunja rekodi kwa kuuza nakala milioni 3.38 katika wiki yake ya kwanza.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo511 Dec
Album ya Adele ‘25’ yauza zaidi ya nakala milioni 5 wiki ya tatu
![Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2-300x194.jpg)
Album ya Adele ‘25’ inaendelea kununuliwa kwa kasi, mpaka sasa imeuza zaidi ya nakala milioni 5 Marekani kwenye wiki ya tatu.
Katika wiki mbili za kwanza ‘25’ iliuza nakala milioni 4.49, na inakadiriwa imeuza nakala 510,000 katika wiki ya tatu ya mauzo hivyo kufanya mauzo ya jumla kufikia zaidi ya milioni 5.
Wataalam wanabashiri kuwa hadi kumalizika kwa wiki ya tatu inaweza kuwa imeuza nakala 650,000 kwa wiki hii.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...
9 years ago
Bongo530 Nov
Album ya Adele yavunja rekodi Marekani, yauza nakala milioni 3.38 katika wiki ya kwanza
![adele-new-album](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/adele-new-album-300x194.jpg)
Album mpya ya Adele, 25 imevunja rekodi kwa kuuza nakala milioni 3.38 katika wiki yake ya kwanza nchini Marekani pekee, kwa mujibu wa taarifa za Nielsen Music.
Staa huyo wa Uingereza amevunja rekodi hiyo tangu Nielsen ianze kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991. 25 iliyotoka Novemba 20 imekuwa pia album ya kwanza kuuza nakala nyingi zaidi katika wiki ya kwanza.
Kwa Uingereza, 25 imevunja pia rekodi kwa kuuza nakala 800,000 katika wiki yake ya kwanza.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...
9 years ago
Bongo526 Nov
Album ya Adele ‘25’ kuuza nakala milioni 3 Marekani pekee kwenye wiki ya kwanza
![600](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/6001-300x194.jpg)
Album mpya ya Adele, 25 inatarajiwa kuuza nakala milioni 3 nchini Marekani katika wiki yake ya kwanza kwa mujibu wa kampuni ya Nielsen Music.
Hadi November 24 album hiyo ilikuwa imeuza kopi milioni 2.8. Miongoni mwa hizo, milioni 1.45 zimeuzwa mtandaoni kwenye iTunes.
25 imeshazidi hadi rekodi ya mauzo ya album kwa wiki mbili tangu kampuni ya Nielsen ilivyoanza kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991.
Rekodi ya awali ilishikiliwa na album ya *NSYNC, No Strings Attached iliyouza kopi 2,416,000...
10 years ago
Bongo Movies09 Jun
‘Nimekubali Kuolewa’ ya Dr Cheni Yauza Nakala 20,000 Ndani ya Wiki 1
Staa wa Bongo Movies, Mahsein Awadh ‘Dr Cheni’ amesema filamu yake ‘Nimekubali Kuolewa’ ndio filamu yake iliyofanya vizuri kuliko filamu zake zote ambapo tayari imeshauza nakala elfu 20,000 ndani ya wiki moja tangu iingie sokoni.
Dr Cheni ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa hajui ni maajabu gani yametokea mpaka filamu hiyo kupendwa kiasi hicho.
“Kwa kawaida ndani ya wiki moja huwaga tunauza nakala elfu 5,000. Lakini kwenye filamu ‘Nimekubali Kuolewa’ imenifungulia njia,” amesema.
“Toka...
9 years ago
Bongo530 Oct
‘Hello’ ya Adele yawa video ya pili kuwahi kufikisha views milioni 100 ndani ya siku 5
![Adele hello](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Adele-hello-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo531 Oct
Apple yauza iPhone milioni 48 katika miezi mitatu
![iPhone_7_illustration_Yasser_Farahi_1000e](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/iPhone_7_illustration_Yasser_Farahi_1000e-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo504 Nov
Wema Sepetu awa Mtanzania wa pili kufikisha followers milioni 1 kwenye Instagram
![11385131_915960011829242_1002926144_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11385131_915960011829242_1002926144_n-300x194.jpg)
Wema Sepetu amekuwa mtanzania wa pili kufikisha followers milioni moja kwenye mtandao wa Instagram.
Mrembo huyo anachukua nafasi hiyo baada ya ex wake, Diamond Platnumz kufikisha idadi hiyo wiki kadhaa zilizopita. Hata hivyo tofauti yao ni kuwa account ya Diamond iko verified.
Hatua hiyo imekuja siku mbili tu baada ya Wema kuangusha birthday party iliyohudhuriwa na mastaa wote wa orodha A nchini. Pia alizindua brand zake za vipodozi zikiwemo lipstick za Kiss by Wema Sepetu.
Mastaa wengine...
10 years ago
Bongo520 Nov
Album ya Flavour ‘Thankful’ yauza kopi milioni 1 ndani ya siku 5!
9 years ago
Bongo518 Dec
‘Hello’ ya Adele yafikisha watazamaji zaidi ya Milioni 700 Youtube
![adele-25-cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/adele-25-cover-300x194.jpg)
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015, muimbaji kutoka Uingereza, Adele anaendelea kufanya vizuri kutokana na album yake mpya ‘25’.
Ikiwa zimebaki siku nne video ya hit single yake ‘Hello’ ifikishe mwezi mmoja toka ilipowekwa kwenye mtandao wa Youtube, tayari imetazamwa zaidi ya mara milioni 700.
Mpaka sasa video ya wimbo huo unaopatikana kwenye album yake mpya ‘25’ ina views 739,530,188.
2015 umekuwa ni mwaka mzuri kwa Adele ambaye alikaa kimya kwa miaka mitatu toka alpoachia album yake...